KATOTO KA FORM ONE πŸ”ž (23)

KATOTO KA FORM ONE πŸ”ž

SEHEMU YA 23
SIKU YA JUMATATU SAA NNE NA DAKIKA 20 ASUBUHI
β€œShoga angu yalonikuta mwenzako natetemeka, nataka niondoke kwa yule mama” Nurat alimuambia mwenzake Madina

β€œTatizo nini kipenzi?” aliuliza Madina

β€œYule dada wa kazi niliokuambia anafanya kazi pale nyumbani, kaniletea timbwili yaani acha tu”

β€œkivipi?” Nurat aliuliza na kufunga sketi vizuri huku akitembea kuelekea eneo fulani kununua vitu vya kutafuna

β€œYaani, aliamua atoke na yule mkaka, Denis, halafu na mimi si nikawa nataka nimlipize nitoke na houseboy Omar”

β€œAkakufuma?”

β€œHamna, yaani katika kumtega nikajisahau nikadondosha khanga nikijua bado yupo kumbe baba ndo yuko pale sebuleni hafu nikabaki uchi wa mnyama kabisa” alisema Nurat

β€œMungu wangu! Mbona imekuwa pambe, sasa itakuwaje?” aliuliza Madina

β€œNilikimbia ila alikuwa ameshaona kila kitu, hadi tamu yangu maana niliinama nikamgeuzia makalio ikarudi nyuma yote mi nikijua namuonyeshea kijana yule houseboy”

β€œPole, sasa hapo ondoka uhamie kwetu, ila sio siri yule kaka wa Bagamoyo anajua kukuna shoga” alisema madina huku akiwa anagonga na Nuu

β€œBhana usinikumbushe nitawashwa” alisema wote wakacheka na kuingia kibandani wanataka mihogo

Upande wa nyumbani pia baba na mama Denis baada ya kujadili kwa kina walifikia hitimisho wamuambie mzazi wa binti kwamba mtoto wao anamiliki simu isijekuwa wamemruhusu au wamnyang’anye

Mapema, Baba Denis alichukua simu na kumpigia mzee Mpili

β€œEe ndugu yangu umenikumbuka leo?” Mzee mpili alisema baada ya kupokea simu

β€œNaam, ukiona hivyo ujue kuna tatizo”

β€œTatizo gani tena?” Mzee Mpili aliuliza kwa mshtuko kidogo, hisia zilimpeleka moja kwa moja kwa bintie maana alijua ndiye aliyekuwa mikononi mwa Ba Denis

β€œacha tu, lakini salama huko?”

β€œSalama sana, huko kwenu vipi?” aliuliza mzee Mpili

β€œHuku salama pia, ila…”

β€œIla nini?”

β€œTumeona tusijelaumiana baadaye, hivi una taarifa kwamba binti yako anamiliki simu?” aliuliza

β€œSimu?!!! Simu gani??! Binti yupi? Nurat au?” mzee aliuliza maswali mfululizo alihisi anachanganywa tu

β€œNdio, Nurat nimegundua ana simu ila kabla sijachukua maamuzi nikaona nikupigie isije ikawa wewe ndiye uliyemruhusu” alisema

β€œSiwezi mimi fanya huo ujinga! Sikiliza kama kweli anayo tafadhali mpige sana halafu ipasue halafu mwambie aje tuongee naye huku nyumbani mpumbavu huyo, mwana izaya mkubwa” Mzee mpili alifoka

β€œSawa mzee wangu hamna tatizo nitajua namna ya kufanya”

β€œHaya, ninaomba ufanye haraka, yaani timu yangu leo inacheza lakini yeye ananiletea ujinga ananiharibia hamu ya kuangalia mpira kabisa shenzi”

β€œUsikasirike sana tutayamaliza”

β€œSawa nitashukuru”

β€œHaya msalimie mama”

β€œNawewe pia msalimie huyo mama huko”

β€œHaya, zimefika”

Ba Denis alikata simu kwa hasira halafy akaondoka pale alipokuwa na kwenda moja kwa moja hadi nyumbani ambapo alimkuta mkewe na kumueleza kila kitu

*
Baba Denis naye alimuita Winifrida

β€œAbe….”

β€œNjoo toka huko chumbani” alisema

β€œnakuja baba” alisema binti

Ndani ya sekunde kadhaa binti alitoka chumbani na kumfuata mzee sebuleni akiwa na mama, mama aliketi ila mzee alisimama

β€œSasa sikiliza Winnie” Ma Denis alianza

β€œNdio mama nakusikiliza”

β€œUnajua huyo msichana anahifadhi wapi simu?” aliuliza

β€œNdio ninafahamu”

β€œExactly, tuletee hapa sasa hivi” alisema Baba Denis

β€œeeh, akija kuniuliza?”

β€œUmuambie tumeingia tumapekuwa ndani, kwani nyumbani ya nani hii?” aliuliza mama

β€œni ya kwenu”

β€œTuna mamlaka ya kuingia chumba chochote”

β€œSawa mama nawaletea” alisema Winnie na kugeuka akapiga hatua kuelekea chumbani kwake

β€œSasa hivi……right now”

Winnie alienda chumbani na kukagua simu ipo pale pale alipozoea kuikuta, alivyo na makusudi Winnie aliitoa hadi password na kuwapelekea maana alishaikariri kutokana na kumuona binti akiitoa mara kwa mara

Alimpa mzee, mzee akaitazama na kisha akampatia mkewe ndipo akaikagua akakuta picha kibao za uchi za mtoto yule, pia akakuta jumbe chafu sana alizochati na wanaume tofauti tofauti

β€œHeeh, huyu mtoto ameharibika jamani sasa picha gani hizi?” aliuliza kwa mshangao halafu akainuka na kwenda nayo chumbani kuihifadhi

Winnie alifurahi sana baada ya kuona kisasi chake kinaendelea kutiliwa mkazo na wazazi…..JE NURAT AKIRUDI NYUMBANI ATAFANYA NINI? USIKOSE SEHEMU YA 24

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!