SEASON 2: JOGGING MASTER (21)

JOGGING MASTER ๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž 21
(Master of Love ๐Ÿ’—)
๐Ÿ’—๐Ÿ’—๐Ÿ’—๐Ÿ’—๐Ÿ’—๐Ÿ’—๐Ÿ’—

Nilirudi mpaka pale room ambapo Jarred alikuwa kajilaza kitandani vile vile na nguo zake huku miguu ikiwa chini ……alionekana mwenye stress sana tukio la kule restaurant lilimvuruga sana kuliko hata kimi niliyemwagiwa mchuzi wa samaki ๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”

sasa hapa natokaje jamani ,kitaulo kifupi namba ile ๐Ÿ˜”…..okay naayway sikujali anione vipaja vyangu kirahisi nmna hii ….

nilinyata kama nyau ๐Ÿ˜‚mpaka kwenye ule mfuko wa nguo , nikachukua taratiiiibu asisikie …..nikaukwapia pwaaa Ili Jarred asishtuke na kuona utupu wangu ๐Ÿคฃ

kitaulo chenyewe kimini mno aisee hahaha
hee sijakaa sawa Wala kugeuza mguu
mara paap Jarred huyu hapa ……. aliinuka akakaa vizuri na kunitizama …….

“come here”aliniita akitanua mikono yake kunitaka niende ๐Ÿ˜”,niende kwenye ufalme wake ๐Ÿ˜”
“Mimi.? nikaukiza swali la kijinga, nimeshachanganyikiwa ๐Ÿ˜‚sikutegemea kama angegeuka namna ile …nafanyaje sasa …..

nilimsogelea nikiwa navutavuta kile kitaulo kishuke chini zaidi ilimradi tu asione vipaja vyangu kama shoka๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

nilimfikia nikiwa macho chini ,akili Ina load minyanduo tu kwa wakati ule ๐Ÿ˜”…..

alinivuta nikwangukia kifuani kwake ,then akajilaza nikawa nimejilaza juu yake๐Ÿ˜‚ Yan nikamlalia kwa juu zero distance ๐Ÿ˜‚


“how do u feel ? akaniuliza

Sina la kujibu natizama chini moyo ukiwa mbio hatarious…..
“unaogopa ? akaniuliza Tena

“Yeah”nikamjibu

“Usiogope maana tutalala hivi for the rest of our lives”

๐Ÿค” unamaanisha Nini ? nilimuuliza kana kwamba sijaelewa anamaana Gani

okay bas tuondoke we have to Go alisema akiniinua nisiamin kama nimeachwa nikiwa salama salmini ๐Ÿ™Œ

Niliinuka nikabeba ule mfuko nikakimbilia washroom kuvaa ๐Ÿ˜‚ nani anataka kuchunguliwa subutuuuu

niliivaa nikamaliza nikatoka ,Jarred alikuwa off mood kabisa maskini ๐Ÿ˜ข

aliinua simu yake na kuipiga sehemu ….
nadhan ilikuwa ni hospital kwa dactari wake ….

“hallo doctor”

“Naam Mr Jarred , nilikuwa nakupigia saa hivi ila umeniwahi …alisema doctor…..

“ndiyo doctor niambie”anaendeleaje kijana wangu ?


“kijana wako ameamka na Yuko sawa kabisa ,unaweza kumfuata tu tumeshamruhusu alisema dactari

“okay namtuma Dereva aje amchukue amlete nyumbani alisema Jarred na kukata simu

alimpigia dereva wake na kumwambia akamchukue mwanae shule na kumleta nyumbani “


muda huo nimeshajiaandaa Jarred alinishika mkono na tukatoka zetu
Pale sebuleni palikuwa na mama Mtu mzima kidogo ambae ndo alikuwa maalum kwa kumlinda Jiden……

wakati tunaingia yule mama hakuwepo ,basi tulivofika Jarred alimsalimia yule mama kwa adabu zote โ˜บ๏ธ


hamjambo wanangu ?

“we are okay” alijibu Jarred
Jiden anakuja utamuandalia chakula chake anachokipenda najua unamjua vzr kuliko Mimi ,alisema Jarred

“Ni jukumu langu mwanangu Wala usijali ” alijibu yule mama aliyekuwa akionekana ana adabu mno na ustaarabu wa Hali ya juu ….


“Meet my friend Fenny”โ˜บ๏ธ Jarred alinitambulisha

“welcome Fenny” alisema yule mama

thankyou mom ,nilijibu huku nikiwa nyuma ya mgongo wa Jarred nikiwa nimemuwekea mikono yangu kwenye bega lake Moja โ˜บ๏ธ….

Fenny ,aliniita
“yes Jarred

met my beautiful mom and grand mom of Jiden ,she is mama Linus”alisema Jarred

“nice to meet her” nilimjibu na baada ya pale tukaondoka zetu na kuahidi tutarudi badae kidogo ….
tuliingia kwenye gari Jarred akadrive nisijue tuendako ๐Ÿ™„

itaendelea dears

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

UTAMU WA JAMILA FULL

BINTI MDUNGUAJI FULL

THE CHIEFโ€™S DAUGHTER FULL

BIKIRA YA BIBI HARUSI FULL