BIKIRA YA BIBI HARUSI (68)

SEHEMU YA SITINI NA NANE (68)


ILIPOISHIA SEHEMU YA SITINI NA SABA (67) “nikuambie kitu” ilisikika sauti ya kike iliyo zidiwa na nyege za kimahaba, toka ndani ya chumba namba kumi na saba, hapo wopte wawili, nikama wali tega sikio kusikiliza, jibu la mtu alie ulizwa, “sija wai kuacha kukusikiliza, ilikuwa sauti ya kiume nzito, iliyo ambatana na pumzi nzito, toka ndani ya chumba hicho, namba kumi na saba, “jaribu kuingiza taratibu, mwezio natamani kufanya” Endelea……
Maneno hayo yaliyo sikika kwa sauti ya kike, iliyo legea na kuwa kama inatokea puani, iliwasisimua wakina Erasto na binti Salma, ambao walijikuta wakitazamana usoni, huku Salma akiishia kuona aibu na kugeuka kisha kuondoka zake, Erasto akijaribu kumfwata, lakini akamwona binti huyu chotara akisimama mbele ya mlango wa chumba namba kumi nane, na kutoa funguo yake kisha akaanza kufungua, mlango, “samahani dada mbona unaondoka kabl…” alisema Erasto huku anamfwata Salmapale aliposimama, lakini akuweza ata kumalizia sentesi yake, maana tayri Salma alisha fungua mlango na kuingia ndani, kisha akaufunga mlango,ikionyesha kuwa alisha ijuwa shida ya Erasto, ambae alibakia pale mlangoni, lakini upande wa nje, “dada ungenisikiliza kidogo mwenzio” alilalama Erasto akiwa amesimama kwenye mlango wa chumba namba kumi na nane, jilani kabisa na chumba namba kumi na saba, ***
“yamepatikana maganda ishini tu! ya risasi” aliongea OC CID wa wilaya ya Songea mjini, ambae alipewa jukumu la kusimami uhesabuji wa maganda hayo, makamanda wa polisimikoa na bahadhi ya asari wakatazamana kwa mshangao, “jamani maganda yote yale mmepata ishilini tu!?” aliuliza RPC Ruvuma kwa mshangao, “mme akikisha kuwa mme yaokota yote?” safari hii aliuliza RPC Iringa,nae kwa sauti iliyo jawa na mshangao, “aande kama unavyoona akuna ganda lililo bakia” alisema OC CID, huku akimulika kwatochi ile sehemu ambayo mwanzo ilitapakaliwa maganda ya risasi, “atuwezi kushindwa,” alijiwazia RPC Iringa huku akitmbeza macho yake kumtazama mtu mmoja baada ya mwingine, ambapo aliwaona wakiwa katika mshangao, kasolo watu wachache, wakiwepo Kingarame, ambae uso wake ulionekana kuwa wenye tabasamu la ushindi, hapo hakili ika mcheza RPC wa Iringa,na kuunganishamaneno yay a yule askari alie mfwata chumbani kwake, masaa machache yaliyopita, na kumweleza kuwa marehemu PC Elisha, mala yamwisho alikuwa na SSP Kingarame, “jamani ebu tuondoke, tuwwape wenzetu naafasi ya kuwasaka hao majambazi, maana inaonyesha awapo mbali” alisema RPC Iringa, huku akiondoka na kuelekea kwenye gari lake, huku wenzake wakifanya kama yeye.
Makamanda wote sita wakaondoka zao, na kumwacha SSP Kingarame, na wale askari wake, njiani RPC Iringa alikuwa mwenye mawazo mengi sana, akijaribu kuunganisha matukio mawili matatu juu ya Kingarame, ukiachilia hili la kuwai kiwandani, piaakakumbuka jioni alivyo kuwa anataka kupitiliza kwenda makambako, alafu akakumbuka tukio la gari kuungu moto kule porini, “ebu ona hizi damu, inonyesha watu awa wai uwawa nje ya gari” alikumbuka maneno ya Kisona.***
Kisona na kundilake wakati huo walikuwa wanatokezea barabara kuu, uswa wa njiaya kuelekea hotelini, ndipo walipo wakuta wakina mzee Anderson, wakishangaa pasipo kujuwa waelekee wapi, lakini walipo waona wakina Kisona, mama Mona akahomoka mbio kumfwata mzee Mbogo, “niambie kama mwanangu ame kufa, niambie si umeamua kuja kumsaidiamwanao kuniulia mwanangu” alipiga kelele mona, zilizo changanyika na kiliocha kilevi, lakini kabla aja mfikia mzee huyu, mwenye uchungu wa mwanae, akadakwa na askari mmoja wa jeshi la ulinzi, “shemeji ni vyema ukiwa mtulivu, walioshambuliwa ni watu wengine” alisema Kisona, na hapo wakina mzee Misago waka shusha pumzi, huku mama Monalisa, akitulia na kuacha vurugu, “nawashauri twende Hotelini, hii siyo sehemu salama kwenu, maana mpaka sasa polisi nao hawajuwi nani anafanya muwaji haya” aliongeza Kisona huku naanza kuongoza Hotelini, akifwatiwa na askari wake,hapo wakina baba Monalisa, awakuwa na cha kusubiri, waka liunga kuwafwata wakina baba Edgar.
Safari ilikuwa kimya kimya, sasa askari wawili wa jeshi la ulinzi walikuwa nyuma kabisa ya kundi, wawili kati kati, na baba Edgar Kisona na Katembo walikuwa mbele, na awaraia wema walikuwa kati kati ya kundi, ata walipo fikia eneo la hotel, wakakatiza kwenye geti dogo, la kuingilia pale Hotelini, na wakati huo wakayaona magari yapolisi, yakiingia pale Hotelini, na awakuyajali sana, wakaingia kwenye uzio wa hotel, na kuanza kutembea bembezoni mwajengo hili, kubwa la hotel wakielekea kwenye ukumbi wa vyakula na vinywaji, huku wakisikia mikoromo toka kwawapangaji wa hotel hii ambao sasa walikuwa wamelala, “assss!hooossh! chea hapo hapo najisikia utamu” ndicho kilicho sikika kwenye masikio ya watu wote walio kuwa wana pita nje ya chumba namba kumi na saba, sauti hii ya kike iliyo legea na kuonekana kuwa mwanamke mwenye sauti hii, alikuwa hoi tahabani, kwa kile alicho kuwa anafanyiwa,”tatizo wanaacha madirisha wazi” aliwaza Kisona, huku anapita zake lakini kabla awajafika mbali, na wengine awaja maliza kulivuka dirisha la chumba namba kumi na saba, mala wakasikiatena,**
Edgar alikuwa amekaa juu ya Monalisa, kama vile anapiga push up kwa mkono mmoja, huku mkoni wa pili ukiwa umeikamata dudu yake na kuisugua kwenye kikunde cha kitumbua cha Monalisa, ambae alikosa utulivu,alichezesha kiuno chake taratibu akifwata mwendo wa dudu iliyo endelea kusugua kikunde chake, kwakutumiasehemu ya hini ya kichwa cha dudu hii, ambayo sasa ilisha simama mpaka, ikawa ngumu kama kisiki cha mpingo, ambacho kilikuwa kinateleza kwenyekikunde hiki kikisaidiwa na utelezai uliojaa kwenye kitumbua kile, ambacho ungebahatika kukiona, ungesema kilipakwa mafuta kwa jinsi kilivyo ng’aa, kwa ute ute, Edgar akuacha kufanya hivyo maana licha ya kumfanya Monalisa ajisikie raha, pia na yeye alihisi mtekenyo flani kwenye kichwa cha dudu yake, kila alipokisugua kikunde cha mwanamke ambae nikama wandoto yake toka utotoni.
Edgar baada ya kuonaKitumbua sasa, kikageuka bwawa, akiwa ameikamatadudu yake ., ambayo sasa nayenyewe ilisha anza kutoa vijimachozi laini kama vinayo taka kufanana na vile vilivyo mkatoka Monalisa, akaisogeza dudu yake chini kidogo ya kikunde nakujaribu ingiza kwenye tundu la kitumbua, hapo akakutana na upinzani flani, ukiachilia ugumu wa kuingia ndani ya kitumbua, pai Monalisa alipeleka mkono na kushika dudu, “usiingize kwanguvu, mwenzio nita umia,” alisema Monalisa, kwa sauti ambayo bado ilionyesha kuwa inaitaji dudu, “usijari siwezi kukuumiza,” alisema Edgar, huku anajuwa kabisa kuwa, anamdanganya Monalisa, maana tukio hili alijawai kumwacha mtu bila maumivu, sijuwi niujinga wakihasi gani maana Monalisa akalengeza mkono, na kutanua mapaja vizuri kabisa, hapo Edgar, akahesabu, kama vile antaka kurusha jiwe, kilicho fwata hapo ni zaidi ya kelele za uzazi**
Erasto alikuwa amesimama nje ya mlango wa Salma, akisilikilizia kama ata jibiwa, mala akasikia, sauti ya kilio kikali cha uchungu, toka chumba namba kumi na saba, ikifwatia na “haaiiii! naumia naumia naumia! toa kwanza mwenzio inauma” Erasto akatega siko vizuri, ilikujuwa kinacho endelea, “vumilia kidogo, utasikia utamu” ilisikika sauti ya kiume, hapo ikaendelea miguno ya maumivu, “haaa!bado inauma fanya taratibu” ilisisitiza sauti ya kike, “pumbavu, wewesindio ulisema unataka kufanya” alijisemea Erasto, huku anaendelea kusikiliza yanayo fanyika kule ndani.
Sijuwi kilifanyika nini, maana ikasikika ile sauti ya kike ikisema, “hapo hapo, inatosha aiumi sana” inaonyesha dume lilijiinua kidogo, na kubakiza sehemu ndogo ya dudu ndani ya kitumbua, kisha likaendelea kupump taratibu, nikweli yulemschana, alionkana kuwamtulivu, na kuacha kulalama, zaidi ilianza kusikika kelele za kitanda, na pumzi nzito nzito, huku kila dakika zilivyo enda ikaanza kusikia, hassss! mhhh! ingiza tena kidogo, aiumi tena” ilisikika ile sauti ya kike, “inamaana huyu demu alikuwa bikira, au ?” alijiulia Erasto na kumfanya aanze kuwaza juu ya mchumba wake Monalisa, ambae nae ni bikira, “nazani yeye atapiga kelele mpaka mtaa mzima usikie” alijisemea Erasto huku akiendelea kusikia miguno ya taratibu iliyo kuwa inatoka mle chumba namba kumi na saba, “nifanye taratibu mimi nimepenzi wakopeke yako, simpi mwingine” yalikuwa maneno ambayo yalionyesha kuwa huo ndani watu walikuwa katikati ya kina cha raha, na utamu, Erasto akajikuta akizidi kupeleka mawazo yake kwa Monalisa, na kuvuta picha ku8waEdgar ana mfanyia kama huyo mwanamke anavyo fanyiwa, “pumbavu ndio mtupigie kelele mpaka huku nje tunasikia?” nikama zile sauti zilimkela Erasto, ambae aiendelea kusikia mlio wa kitanda sambamba na miguni ya watu wanao kula muwa, na maneno yaliyo ashilia sasa mwanamke huyo alikuwa anajisikia uroda, “kumbe tamu… usimpe mwingine jamani” aloisikika yulemwanamke, na kuzidi kumchukiza Erasto, ambae wivu changanya pombe vilizidi kumtia hasira, “hii sasa kelo, inamaana wenzenu tusilale” alisema Erasto huku anauwata mlango wa chumba namba kumi na saba” **
Na huku upande wa nje, yani dirishani, ambako wakina mama Mona walikuwa wanakatiza, kila mmoja alizisikilizia kimya kimya, zile kelele, na kwakuwa ni watu wazima, walijuwa kinacho endelea, alie kosa uvumilivu alikuwa mzee Misago peke yake, “pumbavu kwani umelazimishwa” ilimtoka huyu mzee kwasauti ya kilevi, huku wana lipita lile dirisha na kuelekea, kule kwenye ukumbi wa vinywaji,ambako waliwakuta makamanda wapolisi, wame kaa kwenyemez yao, ata mzee Anderson na mke wake walipotaka kwenda kuuliza kinacho endelea, waliuiliwa na kuambiwa kuwa makamanda awa walikuwa kwenye kiko cha zarula, na wao wakarudi kwenye meza yao kumalizia vinywaji vyao, kisha wakalale, “nazani tuvute kama lisaa hivi, kisha tukapumzike, alishauri kisona, mala baada ya kukaa, kwenye meza yao waliyo kuwa wame kaa mwanzo.***
“niwazi kabisa kuna mchezo mchafu unaendelea kati yetu” aisema RPC,Iringa wakiwa kwenye kikao chao chadharula, “na kama nihivyo,basi polisi kutoka songea mnausika moja kwamoja” alisistiza RPC Iringa ambae alikuwa ndie mkubwa kuliko wote, “inawezekana kweli aande, yani polisi wote toka songea tuhusike na jambo hili?” aliuliza RPC Ruvuma, kwasauti ya mshangao, akimwona mwenzie toka Iringa, amechanganyikiwa, “sidhani kama wote mtakuwa mme shiriki huu mchezo, ila inawezekana kuna bahadhi yenu wana tuchezea hakili” alisema RPC Iringa, kisha wote wakatazamana, bila majibu yoyote, “ok! nivyema kama tutaliwekea umakini hili swala, sababu ata vifo vya wale watu kule mtaani, majibu yake sija yakubari, kabisa” alisema RPC Iringa kisha akainuka na kueleka kwenye jengo kubwa, akiwaaacha wenzake wana kodoleana macho.***
Edgar alikuwa juu ya Monalisa, dudu hipo ndani ya Kitumbua,cha moto cha binti huyu, akiendelea kupiga nje ndani, taratibu kabisa, huku macho yake yakiutazama uso wa monalisa ambae alikuwa anauma midomo yake ya hini, huku ameikunja sura yake kwa kuugulia utamu, sasaalimwona inti huyu anaanza kumbana kwanguvum na kuongeza kaki ya kukata kiuno, hapo na yeye akaongeza kidogo, huku macho yake usoni kwa Monalisa, ambae sasa alikuwa kama anangaika kuinua usowake, huku mdomo ame uacha wazi, ikionekana alikuwa anaitaji kitu flani, Edgar aka msogezea wakwake, huku kitumbua na dudu, vikiendelea kukandamizana, “tamu tamu ingiza tu siumii tena” alisema Monalisa huku akiendelea kumng’ang’ania Edgar kwa nguvu, “tamu…..unatoka… mkojo unatokaaaaaa, lakini tamuuuu” alilalamika Monalisa, ambae alikuwa kama ame jikakamalisha hivi na kubana makalio yake, na kuganda kwa muda, huku Edgar akiendelea kutwanga, akika Edgar nae akuchelewesha mambo, maana sekunde tano mbele, akawasikia wazungu wana sogea mlangoni, na kumwagawatoto ndani ya kitumbua cha Monalisa, wakati huouhuo ghafla wakasikia mlango wachumba chao unagongwa kwa fujo kama zote….itaendelea hapa hapa

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata