BINTI MDUNGUAJI (20)

SEHEMU YA ISHILINI

ILIPOISHIA SEHEMU YA KUMI NA TISA : na pia maziwa yake mazuri yalionekana kusimama vyema, yakiinua kishati alicho kiva, unaweza kusema chuchu zake, zinaweza kutoboa ile nguo, wanaume wangine walinaswa vibao na wenza wao wakike, kwaajili ya kukodoa mimacho, kumshangaa Jackline, mmoja kati ya watu walio kuwa wakimkodolea macho Jackline, ni yule mdada muhudumu wa vyumba, wa mapambano guest house, alimwona Jackline na kumtambua mala moja, ENDELEA………

Moja kwamoja Denis alimpeleka Jackline kwenye mlango wa choo, Jackline akainia chooni akimwacha Denis anamsubiri mlangoni kwa nje, Jackline ambae akiwa amemwona yule mwanamake wa Mapambano bar, mle chooni akiwa peke yake, aliwaza kidogo juu ya hisia zinazo mnyemelea juu ya Denis, akajilazimisha kukojoa, japo akubanwa na haja hiyo, mwisho wasiku akapotezea mawazo yake na kutoka nje, akimkuta Denis bado ana msubiri, ambae alimshika tena mkono, nakuanza kurudi walipokuwa wamekaa mwanzo, kiukweli kitendo cha kushikwa mkono, kiliusisimua mwili wa Jackline, ambae toka amejitambua, wanaume anawaona akama maadui, kutokana na kauli za baba yake, lakini usiku huu wa leo atamapigo yake ya moyo, yalimwenda kasi, Huku nako dada muhudumu wa vyumba, alikuwa anamtazama kwa umakini sana Jackline, alijiuliza kama anamfananisha au ndiye mwenye, kilicho mchanganya, leo anaonekana tofauti na siku ile alivyomwona kule mapambano, maana siku ile alionekana kuwa ni mwanamke mwenye uwezo duni kimaisha, kutokana na mavazi aliyokuwa ame vaa siku ile, lakini leo anaonekana zaidi ya mwanamke mrembo mwenye maisha mazuri, yule dada aliwaangalia Denis na Jackline, mpaka walipokaa kwenye meza yao, akawaza anamna ya kwenda kumtazama vizuri, ili kumtambua kama ndiye au siye, alisubiri kama dakika tano kisha akainuka alipo kuwa amekaa na kuanza kutembea kuelekea usawa wa walipokaa wakina Denis, wakati huo Jackline alikuwa ameshikwa mikono yote miwili na Denis, “vipi Jackline, maisha unayaonaje pale kwang?” aliuliza Denis, akimtazama Jackline usoni, wakati huo alikuwa ana suguwa sugua viganja vya mikono ya Jackline kwa kutumia vidole gumba, kitendo kilicho zidi kuusisimua mwili wa Jackline na kumfanya ashindwe kumtazama Denis machoni, “mazuri tu,” alijibu Jackline kwa sauti nyororo, yenye kulegea sana, huku muda wote tabasamu mwororo likiwa alibanduki usoni kwa Jackline, wakati Jackline anakwepesha macho yake yasitazamane na yale ya Denis aligeukia nusu ya upende wake wakulia, yani nyuma upande wa kushoto wa Denis, macho yake yaka muona mtu, mwanamke akisogelea pale walipo, akamtambua mala moja, ni yule muhudumu wa vyumba, pale mapambano bar, moyo wa Jackline ukastuka, asa alipomwona anakuja upande wake, japo alikuwa gizani kidogo lakini aliweza kumshuudia yule dada akikazia macho upande wake, Jackline akajuwa alishaonekana muda mrefu, ila huyu dada anachotaka ni kusibitisha tu!, sa kwa namana alivyo mwona, Jackline akatulia kama ajamwona, akajifanya yupo busy na Denis, kwa macho ya ujanja sana, Jackline alimwona yule dada akipita karibu yao huku macho ameyaelekeza kwake, akamshuhudia yule dada akitoa macho ya mshangao na mstuko, kisha ghafla akageuka alikotoka, jackline alimtazama yule mwanamke mhudumu akitembea moja kwa moja, na kutoka nje, alionekana wazi kustuka baada ya kumwona Jackline, hapo Jackline alitabasamu “ho! Denis ngoja kwanza kidogo, naona kama tumbo linaanza kuuma, wacha niende chooni mala moja nikirudi tuondoke zetu” alisema Jacklie akiinuka huku akishika tumbo, Denis naye akainuka iliamsindikize chooni, lakini Jackline akamzuwia “pumzika wala usijari” Denis akatulia, Jackline akatoka na kuelekea upande wa vyoo, lakini akufika mbali, akageuka nakuelekea nje ya bar, kilikuwa kitendo cha haraka sana, kiasi kwamba Denis akuona, ukizingatia na mtungi ulisha kamata sehemu kubwa ya kichwa cha Denis, baada ya kutoka nje ya ile bar, Jackline alivuta atuwa za haraka kuelekea kwenye maegesho ya magari, ambayo ndiyo njia yakutokea mahali hapo, mala atuwa chache mbele yake, akamwona dada mhudumu, akitembea haraka kuelekea bara bara kuu, lakini kabla haja amua la kufanya akamwona yule dada akimsimamisha mwanaume mmoja aliekuwa anaingia pale bar, Jackline akajibanza ubavuni mwa gari oja wapo lililokuwepo karibu yake, ** dada mhudumu wa vyumba wa mapambano, akiwa anaamini kuwa yule dada muuwaji ajamuona kabisa, alitoka nje bar lengo ni kukimbilia kituo cha polisi, kutoa taharifa ya uwepo wa mwanamke muuwaji, alianza kutembea kwa mwendo wa haraka sana kufwata barabara kuu iendayo morogoro, ni mita kama mia tano mpaka kilipo kituo cha polisi cha mbezi, lakini wakati anaendelea kutembea, atuwa chache toka Full dose pub, eneo la maegosho ya magari, akamwona jamaa moja ambae ni mteja mkubwa sana wa ile bar, ambae anamfahamu kuwa ni Polisi, akaona bora amwambie yule polisi anaye julikana kwa jina la Masoud, alikuwa amevalia kiraia, alimweleza jinsi alivyo mwona yule dada, na kuwa anauakika ni yeye kabisa, Masud akatoa simu yake toka mfukoni na kupiga kituoni, akiagiza waje askari wakutosha kwa ajili ya kumkamata muuwaji, akiamini ndiye anayetafutwa na insp Johnson David, toka kituo kikuu cha polisi, baada ya kupiga simu walibaki wakijadirina namna ya kwenda kumwonyesha huyo muuwaji, ili ibakie kumkamata tu!, mala polisi wengine wakija eneo lile, kiukweli Jackline alikuwa atuwa chache sana toka waliposimama Masud na yule dada, aliwasikiliza wakipanga mikakati yao, hapo Jackline akajuwa kuwa endepo ata chelewa, lazima mambo yatazidi kuaribika, maana huyu mwanamke ndie pekee aliewai kumwona uso kwa uso, hapo Jackline Michael Nyati aka jipapasa kiunoni tayari kutoa zana za kazi, lakini akakumbuka kuwa siku ile akutembea na silaha, sababu akuwai kufikilia laka kuna kitu kama hiki kitatokea, Jackline akainama kidogo na kupapasa kisigino cha kiatu chake, akakuta kisigiono hicho chini kipo bapa (flat), akikuchongoka vile anavyo taka, hivyo kisingefaha kwenye kazi yake, muda una zidi kwenda, Jackline aka zidi kutazama chini sehemu inayo mzunguka, akaona kuna chupa ya bia iliyo vunjika, aka inama na kuchagua kipande cha chupa ambacho kingemfaha, wakati huo Masud na yule dada mhudumu, walisha afikia makubaliano ya kurudi ndani, ili akamwonyeshe alipo kaa muuwaji, lakini basi ilewana geuka tu! ghafla kama upepo, yule polisi alimshuhudia mwanamke mmoja mrembo, aliye pendeza kweli kweli, akiwa amewatokea mbele yao na kuupeleka mkono wake shingoni kwa yule dada muhudumu wa vyumba, hapo alimshuhudia yule muhudumu akishikilia shingo sehemu ya koo, huku akiyumba yumba kama mrevi, na damu zina churuzika nakupenya kwenye vidole vya yule dada, na kumwagika kama maji kwenye bomba lililo toboka, polisi Masud kuona hivyo akajuwa kumbe muuwaji yupo mbele yake, Masoud akarusha ngumi kali sana kumlenga yule mrembo muuwaji, ambayo ilipita bule, na kumfanya Masoud ayumbe kidogo kutokana na nguvu aliyoitumia kurusha ngumi ile, kuwa kubwa sana, ile anataka kukaa sawa alikutana na kitu chenye ncha kali, kikizama shingoni kwake na kwenda kukita kwenye koo lake, na yeye akashikiria shingoni, na kuanza kuyumba yumba, kabla ya kujibwaga chini kama mwenzake, kisha kuaza kukukuluka kama kuku alie ponyoka kwa mchinjaji, ** Huku ndani ya bar Denis pombe ilisha mkolea kichwani, mawazo yake sasa yalikuwa ni juu ya Jackline, atamaliziaje kumlainisha mdada huyu, ili awe demu wake, maana aliona kuna dalili kubwa ya mgeni wake kuelewa somo, wakati anawaza hayo, mala akamwona Jackline anarudi toka chooni, mikono yake ina dalili ya kulowa maji, lakini Jackine safari hii hakukaa kwenye kiti chake, “vipi hukai nimelizie bia” aliuliza Denis huku akiinua chupa yake ya bia nakuiweka mdomoni, Jackline akiwa bado amesimama akamwambia Denis, kuwa tumbo bado lina msumbua, hivyo anaomba amrudishe nyumbani haraka sana, Ilikuwa saa tatu kasoro za usiku ndipo Denis na Jackline walipo ondoka Full dose pub, baada ya kununua bia za kopo na soda za cola, kisha waka elekea nje ya pub, wakati wanatoka wakapishana na vijana watatu wakiingia ndani ya pub, mmoja kati ya wale vijana watatu, alisimama na kumwangalia sana Jackline, adi alipo ingia kwenye gari, hakujuwa ni kwanini, lakini kuna kitu kilimvuta juu ya Jackline, ambacho kilimpelekea kujaribu kuzishika namba za lile gari, Jackline hakuwa makini na yule jamaa, mawazo yake yalikuwa ni kuondoka haraka mahali pale, kabla polisi waliopigiwa simu awaja fika, Denis akaondowa gari taratibu akiifwata barabara kuu ya morogoro, wakati wanaingia barabara kuu waka shuhudia gari la polisi, defender likiingia kwa mwendo wa zima moto, huku polisi wengi wakiwa wananing’inia juu yake, huku mikononi wakiwa silaha zao aina ya smg, wa mwela wanaita sub machine gun, Jackline kwa kutumia side mirror aliweza kuliona defender liki simama nje ya full dose pub, na wao waka shika njia na kuondoka eneo lile, ** huku ndani ya Full dose Pub, wale vijana watatu walipo ingia ndani ya bar, wakachagua meza moja nakukaa, walikaa sehemu waliyo toka wakina Denis, maana ata baadhi ya vinywaji vyao viikuwa bado mezani, yule kijana mmoja alionekana bado anamawazo juu ya alichho kiona wakati wanaingia, kama aliekumbuka jambo flani, akatowa karatasi mfukoni mwake, lenye picha ya Jackline na kuitazama, akasibitisha kuwa, yule aliemuona wakati anaingia, ni yeye mwenyewe, akawaambia wenzake, “jamani huyu demu tumepishana nae mlangoni,” kwanza wenzake walishangaa kidogo, kisha wakamcheka sana, wakiamini kuwa, mwenzao anamawenge, japo kijana yule alisisitiza sana juu ya alicho kisema, lakini walizidi kumcheka, wakati huo huo waka shangaa polisi wanaingia mle ndani na kutowa amri kwamba hakuna mtu kutoka nje ya bar, wala kunyanyuka pale alipokaa, waka ambiwa sababu kuwa hapo nje kuna mauwaji yametokea, polisi mmoja na raia mwema wameuwawa, wote waka duwaa, ata wale vijana watatu nao waka shangaa, walizid kushangaa zaidi baada ya muda mfupi, walipo gunduwa kuwa, yule waliokuja kumtafuta, naye ameuwawa, ** Denis na Jackline walifika nyumbani salama, wakaingia ndani, Jackline akajifanya kupitiliza chooni na Denis akabaki sebleni anakunywa bia, Jackline kule chooni (choo cha chumbani, alikolala jana na mwenyeji wake) akukaa sana, akatoka na kurudi sebleni, ambako alimkuta mwenyeji wake ana piga mtungi taratibu, akakaa kwenye kochi sambamba na Denis, “vipi tumbo limepoa?” aliuliza Denis, sasa kwa sauti ya kilevi zaidi, “ndiyo limepoa” alijibu Jackline kisha akaongezea swali “hivi Denis mbona hujaoa?” Denis akastuka kama ametajiwa kitu cha ajabu, kiasi cha kusababisha Jackline aanze kucheka, “weeee! tena wewe sijuwi umenipa dawa ya wapi, mpaka najikuta nakupenda hivi,” alisema Denis akimalizia kwa kuutetemesha mwili wake, kama mtu alie sisimukwa kwa kuona kitu cha kusisimua, au kumwagiwa maji ya baridi, au kunywa juice ya ndimu, “kwa nini, au unawachukia wanawake?” aliuliza Jackline, na Denis akamsimulia ile story yake ya binti wa mzee Mapande muuza bucha, mpaka anamaliza Jackline alikuwa amecheka sana, ghafla Denis akainuka na kuelekea chumbani, akimwacha Jackline sebuleni, dakika zika pita pasipo Denis kurudi Jackline kajiwazia pengine mwenyeji wake tayari ameshaenda kulala, akainuka nakuingia chumbani, akumwona kitandani mwenyeji wake, Jackline akaangalia upande wabafuni, ambako alikuwa anasikia maji yana mwagika kutoka kwenye bomba la juu, akajkuta anashikwa na mshangao wa mwaka, akaduwaa, macho yakamtoka, akajaribu kukwepesha macho yake, na kutazama pembeni, lakini moyo wake ukamshawishi kutazama tena, akaangalia tena kule bafuni, kweli aliweza kumwona mwenyeji wake akiwa bafuni, alikuwa uchi kabisaaaaaa!, anaoga, Jackline aliweza kuona kila kitu kwa uwazi kabisa, aliweza kuona dudu ya Denis ikiwa ime simeme vyema, ikidondokewa maji ya bomba la mvua, kiukweli katika maisha yake Jackline, akuwai kushuhudia dudu live, ikiwa katika hali kama hiyo, aliangalia kwa sekunde kadhaa huu akiona mabadiliko flani kwenye mwili wake, ghafla akainuka na kurudi sebleni, pasipo Denis kumwona, Jackline alikaa sana pale sebleni baada ya dakika kumi, akamwona Denis akiingia pale sebleni akiwa amevalia bukata nyepesi, licha ya kuoga lakini alionekana wazi kuwa bado pombe ime mzidia, muda wote macho ya Jackline yali tazama sehemu ya mbele ya bukta ya Denis, lakini sasa hivi aliona dudu ikiwa imejichora kwa mlalo, ndani ya bukta, ikionyesha aija simama, kama ilivyo kuwa bafuni, lakini ilionekana kutuna kwenye bukta nyepesi ya Denis, ambaye akuwa anajuwa lolote, linalo wazwa na mgeni wake, na sasa alikuwa amekamata kopo la bia na kuanza kuigugumia, kabla ya kulishisha na kumtazama mgeni wake “lete story Jack, unasema baba na mama wapo songea?” Jackline alistuliwa na sauti ya Denis, akiondoa macho yake kwenye usawa wa dudu ya Denis, “ndiyo! tena si’umesema kesho utapatia ela nikawatumie?” aliongea Jackline akijuwa fika kuwa, wazazi wake awaitaji fedha yoyote, tena wanauwezo mkubwa kifedha, “tena umenikumbusha, dah! nilisha sahau,” waliongea mengi sana huku Denis akiendelea kunywa pombe, na Jackline aliendelea kuwaza juu ya mwanamume huyu, na jinsi alivyo mchungulia kule bafuni, alianza kuhisi kutamani kitu flani, ** kule Full dose baada ya polisi kushindwa kupata chochote walitowa taharifa kituo kikuu, moja kwa moja ikamfikia insp Johnson David Masinde, naye akaamrisha vijana wake kumi, kuingia kwenye magari na kuelekea mbezi, *** saa tano za usiku, Denis alikuwa amelala fofofo kitandani, kazidiwa na pombe, anakorma ajitambui kabisa, “ngoja kesho nita muuliza kwanini anapenda sana pombe” aliwaza Jackline ambae alikuwa amesimama pembeni ya kitanda, akimtazama Denis pale kitandani, akaona jonjisi alivyo lala, bila kujifunka shuka, huku dudu ikionekana kusimama sana, na kukinyanyuwa kile kibukta chepesi, Jackline alitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatoka nje ya chumba nakuelekea seuleni, huku simu yake ikiwa mkononi, alipofika sebuleni akampigia simu baba yake, ambae alimweleza kilicho mtokea kule mbezi Full dese pub, na kulazimika kupoteza maisha ya watu wawili, “ok! umefanya vizuri, maana unge ondoka bila kufanya hivyo, huo mwanamke angekuwa tatizo kwako, sasa jitahidi kuwa mkini, na kubadiri mwonekano wako mala kwa mala unapo kuwa umetoka nje ya nyumba hiyo, pia uwe makini na huyo mnweji wako, asijuwe lolote juu ya mambo yetu” alisisitiza mzee Nyati, kabla ya kumaliza maongezi na kukata simu, hapo Jackline akarudi chumbani na kusimama tena pale ale alipo kuwa amesimama mwanzo, akamtazama tena Denis ambae alikuwa amezidi kutopea kwenye usingizi, akaitazama dudu, akaiona bado ime simama vile vile, hapo akatabasamu kidogo, huku ana peleka mkono wake kwenye usawa wa kitumbua chake, ambacho kilikuwa ndani ya suluwali yake ya jinsi, Jackline alipanga kujaribu kufanya jambo flani, kwa kumtumia mwenyeji wake Denis, Jackline akausogeza mkono wake kwenye shavu la Denis, kisha akajaribu kumfinya, akaona ametulia anaendelea kukoroma, huku mapigo yake ya moyo yakimwenda kasi, Jackline akaulaza mkono wake juu ya dudu ya Denis, ikiwa bado ndani ya nguo, akauchezesha kidogo mkono wake, akaiona inazidi kusimama, akautoa mkono wake haraka, akamtazama Denis usoni akamwona bado amelala fofofo, Jackline akatabasamu huku anajilamba midomo, Jackline huku akimtazama Denis usoni akaikamata bukta ya Denis na kuishusha taratibu, adi alipoiona dudu ya mwenyeji wake, ipo nje kabisa ya kibukta,

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!