
SEHEMU YA ISHILINI NA SABA
ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHILINI NA SITA: aliongea Jackline akionyesha kunogewa na kale kamchezo, huku akimka takauri Denis, asiweze kuongelea tukio lile, “weweeeee! yani wewe ni mtamu, mpaka najilaumu kwanini atukujuwana mapema, alafu sasa tulivyoanza umesha jikomboa, yani baadae utasikia utamu mpaka basi,” aliongea Denis wakati wana ingia bafuni nakuanza kuoga, huku Denis akiwaza juu ya umaili alio uonyesha huyu dada mama ntilie, “hivi ulisha wai kujifundisha ngumi?” endelea………
aliuliza Denis ambae alikuwa ambakiwa na kisi kidogo cha pombe ichwani mwake, ** mzee Soud alikuwa amesha mweleza Michael Nyati nia na dhumuni la ujio wake mjini Songea, alimweleza kila kitu, juu ya yeye Michael ku usishwa na mauwaji, ya wakina Kileo na Chilumba, na kwamba hofu imetanda kuwa kunauwezekano kuna wengine wana subiri kufa kama wenzao, pia mzee Soud akamweleza juu ya yule kijana Johnson, mtoto wa mzee Masinde anaye fwatilia uchunguzi wa mauwaji hayo, hivyo mzee huyu akataka kusikia chanzo cha Michael kufanya hivyo, na kama yupo tayari kusitisha mauwaji na kukaa meza oja na wakina Masinde ili kumalizana nao kwa njia ya amani, aidha kama kuna kitu anawadai , basi wamlipe, na kama kunakosa walimfanyia, basi wasameheane, lakini Michael akakataa kabisa, kuusika na mauwaji hayo, licha ya mzee Soud kumpa vigezo vinavyo mfanya yeye kushukiwa, n akuhusishwa na mauwaji hayo lakini Michael alikataa kabisa, “Michael, kumbuka wewe ndie unae miliki silaha iliyo muuwa Chilumba, sababu ndiyo pekee uliyo potea nayo mwaka 1988, pia kumbka wewe na wenzio baada ya kurudi toka congo, japo ulirudi tofauti na wenzako, lakini wote amkurudi jeshini, na mmerudi na utajiri mkubwa” aliongea mzee Soud akionyesha umakini mkubwa sana, “kwahiyo hiyo silaha mpaka sasa hapa nchini ilibaki moja tu?, pia kuhusu utajiri wao mimi sifahamu chochote, zaidi mimi niliamua kuacha jeshi nakuwa mkulima baada yakuona nimeesabiwa kama mtoro” aliongea mzee Nyati, akisisitiza kuwa ausiki na mawaji yoyote, kitu alicho mweleza mzee Soud ni kwamba, wakina masinde wenyewe ndio wanao juwa chanzo cha mauwaji na wao ndio wana mfahamu muuwaji wao, ** Ilisha timia saa mbili usiku Jackline na Denis akiwa sebuleni, wamechangamka kwa ulevi huku wakiendelea kunywa vinywaji vyao, mavazi yao yalikuwa ni bikini kwa Jackline na taulo kwa Denis, vifua vyao vikiwa wazi kabisa, mavazi yaliyowapa ulahisi wakufanyiana mizaa ya kimahaba, huku Jackiline akiichezea Dudu ya Denis, ambae alionekana kumzowea sana, tofauti na siku zilizopita, na ye Denis akichezea chuchu na kitumbua cha Jackline, michezo iliyosababisha ata waiijari Tv iliyokuwa inaonyesha taarifa ya habari, wote walikuwa wamesha pata hamu ya kurudia kula utamu, hapo Jackline alijilaza kwanza kwenye kochi, na kumvuta Denis kwake, huku kiikamata dudu ya Denis na kuilengesha kwenye kitumbua chake, “ingiza taratibu, si umesema aita uma tena?” aliongea Jackline akiwa amesha anza kuipenyeza dudu kwenye mashavu ya kitumbua chake, Denis aliitikia kwa kichwa, huku akiikandamiza dudu yake taratibu, kuipenyeza ndani ya kitumbua kidogo kilicho bana cha Jackline, huku akiwa makini akihofia kufyetuliwa na teke kamailivyo kuwa kule chumbani, naye Jackline akaipokea kwa kuisikilizia kama itauma tena, kwa bahati nzuri, huku akisaidiwa na wine iliyo tawala kichwani mwake, japo alisikia maumivu kidogo, lakini baada ya viuno viwili vitatu, akaanza kusikia utamu, hapo mchezo ukakolea na kila sekunde zilivyo zidi, ndipo Jackline alipozidi kujitutumua kwa kukata kiuno, japo hakuwai kuona wala kujifundisha sehemu, lakini jinsi dudu ilivyosugua mashavu na alaghe nayeye alijikuta akiifwata, na kucheza na biti ya dudu, akizungusha kiuno taratibu, ikafikia kipindi akawa anapiga kelele za utamu, kama ana tolewa mwiba unyayoni, ** vijana wakazi pamoja na wazee wote wanne walio bakia kuuwawa, walisikia juu ya tukio lililo tokea leo mchana mjini dar es salaam, maeneo ya buguruni na na jinsi polisi walivyo achwa kwenye mataa, mchana kweupe pale kaliakoo, huku polisi watatu wakiuwawa kwa risasi, na maelezo yalisema wame uliwa na mwanamke ambaye alihisiwa ndie muuwaji, wa watu kumu na moja, pamoja na askari awa watatu, akiwaacha wengine wawili wakiwa hoi, inamaana polisi walificha kitende cha polisi mwenzao kuwatandika risasi polisi wenzake, pia taharifa hiyo ilimfikia Michael Nyati, ambae muda wote alikuwa amekaa mbele ya Tv pamoja namgeni wake wakiangalia Tv huku wakiongea mawili matatu, na kubwa ambalo Mzee Soud alikuwa anaulizia, ni kwanini aliamua kutoroka jeshi akiwa congo, na kuanzisha maisha mengine, lakini Michael ambae alisha anza kuchanganyikiwa juu ya tukio alilo liona kwenye Tv, akamjibu kuwa, jibu sahihi analo major Masinde, kitendo kilicho zidi kumshangaza na kumpa jibu mzee Soud kuwa hisia zake ni kweli, juu ya uusika wa Michael Nyati kwenye mauwaji ya wakina Kileo, na haya yanayoendelea “hoo! unaona, leo sijuwi ilikuwa zamu yanani?” ali stuka mzee Soud alipo iona ile taharifa ya habari, ikionyeshwa kwenye Tv, “mh! kwani wamewekeana zamu?, Kwanini wasi ongee na huyo mbaya wao” aliongea Michael akiingizia masihara kidogo, na kumfanya mzee Soud acheke sana, kwani aliona jinsi Michel mtu mzima alivyo juwa kucheza a hakili yake, ** taharifa hiyo iliwakuta Denis na Jackline wakiwa wamesha maliza round mbili, pale pale sebuleni, na sasa wamepumzika wanafanyiana asikhara yakimapenzi, ni kama walikuwa wametoka jela, maana ilikuwa ni badika bandua, Jackline alionekana kufurahia zaidi dudu, mwazo wa tendo alisikia vimaumivu kidogo, lakini kila alipoendelea alisikia utamu, “hivi wewe hukuona ilitukio pale kaliakoo?” aliongea Denis akiinua remote na kuongeza sauti ya Tv, hapo Jackline ambae alikuwa ameikamata dudu ya Denis akiichezea kichwani kwa vidole vyake, akajifanya akuwa anaisikia ile habari, “mh kwani ndiyo wale polisi walio mkamata yule Dereva wa taxi?” aliuliza huku akiendelea kuichezea dudu, ambayo ilisha anzakusimama tena, baada ya kumwaga mzigo mala mbili, “ndiyo, tena unaambiwa, baada ya kumsimamisha yule dereva, wakakuta muuwaji hayupo, cha ajabu ata yule Dereva akujuwa muuwaji ameshuka saa ngapi” Jackline akuonyesha kujari taharifa ile, ndio kwanza kamnyang’anya remote Denis na kuizima Tv, “tumesha wachoka bwana, kila siku habari hoyo hiyo” wakaendelea na mambo yao ya kupeana dudu, ** insp Johnson David Masinde, alikuwa amekaa nyumbani kwake akiwaza na kuwazuwa juu ya tukio la leo, asa kitendo cha kuikuta picha ya baba yake kwenye gazeti, ikiwa imezungushiwa duara, inamaana baba yake alikuwa auwawe leo hii, alijuwa kabisa kama ato mtumia mzee Soud, itakuwa ni nguvu sana kwake kumshawishi baba yake kueleza ukweli wa jambo hili, lakini aliamini kama mzee Sod ndie pekee anae weza kumshawishi baba yake, ili wawenze kum’baini muuwaji, na kumkamata kilahisi, licha ya kujuwa kuwa wanao takiwa kuuwawa ni wakina nani, lakini akutaka mtu yoyote ajuwe jambo hilo, maana lazima wange taka kujuwa chanzo cha mauwaji na sababu ya mauwaji hayo, sasa kama sababu ni mbaya lazima baba yake angeingia kwenye matatizo, maana ata kazi anayo ifanya baba yake wakati huu, baada ya kustahafu anaijuwa, na malanyingi sana amesha msaidia kwa kumfichia maovu au kumtaalifu juu ya operation zilizo kuwa zinaendeshwa baharini, hivyo mengi yange gundulika na kumfanya baba yake aingie matatizoni, baada ya kuwaza sana akapata wazo, ni baada ya kukumbuka kuwa anayo namba ya mzee Soud, aliyopewa kule kwenye kikosi mahalumu cha operation za siri, akachukuwa simu yake na kuisaka namba ya mzee Soud, akaipiga ** mzee Soud ndio kwanza alikuwa ameingia kwenye chumba cha kulala ambacho alionyeshwa na mwenyeji wake, alikuwa amekikagua sana, lakini licha ya kuto kuona camera au vinasa sauti mle chumbani, lakini akuwa naimani sana na mwenyeji wake, ndipo alipo sikia simu yake ikiita, akaitazama namba ya mpigaji aliandika Masinde polisi, katabasamu huku anaangalia huku na huku, kama kuna camera mle ndani, maana ile simu ilimpa kihoro, akaipokea na kuiweka sikioni, huku bado anapepesa macho huku na huku, kiukweli alie kutangulia kakutangulia, kumbe kweli Michael alikuwa amtengesha vinasa sauti nyumba nzima, mbavyo aliviweka kwenye vinyago vilivyo tengeneza kwa mti wa mpingo, kama tea set, nakuwekwa juu ya trey, nalo la kinyago cha mpingo, akiwa chumbani kwake aliweza kusikia simu ya mzee soud ikiita, kisha akaona kimya, mlio ulikata, alafu akasikia sauti ya mzee soud “nimesafiri kidogo” kisha kimya kidogo alafu “ya ongea na kusikia” hapo kimya tena kama dakika tano, alafu akaongea tena mzee Soud “nisikilize kwa umakini, nenda kwa baba yako, yeye atakupa majibu yote, ukishindwa subiri nirudi, tutaongea, nikifika tu, nita kujulisha ili uje nyumbani” baada ya hapo akasikia akiaga na kukata simu, Michael akuelewa maongezi yale ya lihusu nini, na kilicho sababisha ni hile nenda kwa baba yeye atakupa majibu, jambo ilo la kuwa mzee Masinde ndiye mwenye kujuwa ukweli ata Johnson alikuwa analijuwa, lakini kitu alichukuwa anaitaji kwa mzee Soud, ni kingine kabisa, ni kumshawi mzee huyu kwenda kuongea na baba yake, ili kumnusuru na janga hili, ** ilisha timia saa moja kasoro asubuhi, simu ya Denis ilikuwa inaita sana, Jackiline alikuwa amelala juu ya kifua cha Denis, wakiwa watupu kama walivyo zaliwa, walikuwa wamelala sebuleni, juu ya kochi (sofa), ndipo Jackiline alipo stuka toka usingizini, na kufumbua macho, akiwa amestuliwa na mlio wa simu ya Denis, akanyoosha mkono mezani na kuchukuwa simu, akaitazama kwenye kioo, akaona jina Mahadhi, akamtazama Denia, bado alikuwa amelala, katazama dirishani akaona mwanga wajua, ikiashilia kulisha kucha zamani sana, akatazama saa ya ukutani, ilikuwa saa moja kasoro dakika tano, akajuwa Denis amesha chelewa kazini na huyu ni rafiki yake ambaye alisha wai kumtaja siku ile ya tukio la muhimbili, akajiinua taratibu toka kifuani kwa Denis na kuingia chumbani, akapokea simu, ** Upande wapili Mahadhi aliakuwa ameweka simu sikioni, kasimama jirani kabisa na boss wao, akimpigia simu Denis, kama alivyo shauliwa na boss wake, kujuwa kilicho msibu mwenzao, ambae mpaka muda huo alikuwa ajawasiri kazini, na siyo kawaida yake kutofika kazini bila taharifa, pia licha ya ulevi wake akuwa mtegevu wa kazi, akiwa bado ame weka simu sikioni, na boss akiwa anasikilizia mjibu toka kwa Mahadhi, mala Mahadhi akasikia simu ikipokelewa na sauti tamu ya kike ikasikika, “hallow habari?” hapo Mahadhi mwili uka msisimka ikiambatana na mshangao, “nzuri samahani naomba kuongea na mwenye simu” alisema Mahadhi huku kichwani akijiuliza, “leo imekuwaje cha pombe kuwa jirani na mwanamke, tena asubuhi kama hivi, inaonyesha alilala naye, usiku kucha” wakati anawaza hayo, akastuliwa na sauti tamu ya kwenye simu, “amelala, anajisikia vibaya toka jana, alikuwa analalamika kichwa kina muuma,” mda wote boss alikuwa amemkaziamacho Mahadhi, akijaribu kuvuta picha, kitugani mahadhi anaambiwa na mpokeaji wasimu, “ok! sasa wewe ninani yake” hapo Denis akataka ushaidi, kama kweli rafiki yake amepata mwanamke, au ni jrani yake tu,“mimi ni mke wake” hapo Mahadhi nusu acheke kwa sauti, alicho fanya ni kumuaga haraka haraka, na kukata simu, kisha aka anza kucheka sana, kiasi boss akabaki ameduwaa asijuwe kijana wake anacheka nini, “atimae kipofu kaona mwezi” ** asubuhi ya siku hiyo mzee Soud alipanda basi liendalo Dar es salaam, baada ya kushindwa kumshawishi Michael Nyati, kuachana na mauwaji ya wakina Masinde, ila kichwani kwake alipanga akifika Dar es salaam, kazi ni moja tu! kumtuma Insp Johnson akaongee na baba yake, ili amweleze ukweli juu ya kitu walicho kifanya kuhusu Michael, na kuidanganya serikali kuwa Michael ametoweka, na leo hii yeye mzee Soud, amemwona kwa macho yake, mzee Soud aliamini kabisa kuwa, kuna jambo kubwa sana lilitokea kimpindi hicho, ndiyo maana Michael ambaye kipindi hicho alikuwa kijana mdogo, ameamua kuwa fyeka, mmoja baada ya mwingine, aliwaza hayo mzee Soud huku safari ikiendelea, ** huku nyumbani kwa kina Denis, sasa Denis alikuwa amesha amka akimkuta Jackline anamalizia kuchemsha soup ya ng’ombe, maana baada ya kuongea na Mahadhi akaongea na baba yake, na kupeana report juu ya kilichotokea jana, kule buguruni, pia akamwambia juu ya wasiwasi wake kuhusu kutambuliwa sura yake na polisi, hapo Michael aka msihi sana, kuepuka kuzurula hovyo, na awe makini sana na kila mtu, pia atulie kwanza asifanye mauwaji mengine, kwa muda mpaka polisi watulie na kusahau, ndipo kazi iendelee, Denis alistuka sana baada ya kujikuta akimka saa mbili, ameshachelewa kazini na akutowa taharifa yoyote, ata ya uongo, akakimbilia jikoni, akamkuta Jackline anaendelea na mapishi, “kwanini huku niamsha” aliuliza Denis akionekana kufadhaika sana, Jackline alimwambia Denis asiwe na wasiwasi kuusu kazini, maana walipiga simu na ameongea nao, amewaambia anaumwa, Denis alifurahi sana, akajiona amepata mke makini sana, tena alifurahi zaidi baada ya baadae kupiga simu kwa boss wake, na kuambiwa kuwa auguwe pole, na awe anawapa taharifa juu ya afya yake, pia akiwa natatizo lolote anaweza kuwapigia simu wamsaidie, mwisho alimlaumu kwa kuto kuwajulisha kama anaishi na mke, ** Basi siku hiyo Denis na Jackline walishinda pamoja nyumbani, kiukweli na kama dudu ingekuwa ni sabuni, na zani siku hiyo Denis angekuwa ameimaliza kabisa, maana ilikuwa ni bandika banduwa, huku wakipumzika kidogo kwa chakula na kinywaji, tena siku hiyo walipunguza kiasi cha pombe, walikunywa kidogo sana, mpaka inafikia saa moja jioni walisha fanya mapenzi zaidi mala nane, huku muda mwingine wakiutumia kucheza pamoja, kama vile kufukuza na wakiwa uchi kabisa, maana siku hiyo walishinda wakiwakiwa watupu kabisa, ** mzee Soud aliingia Dar es salaam saa mbili usiku, akamkuta Johnson pale stend ya ubungo, ndani ya gari lake akimsubiri, ni baada ya kuwasiliana toka mzee Soud akiwa njiani, dakika chache baadae walikuwa njiani, wanaelekea kigamboni kupitia poster kisha kivukoni, mzee Soud alimweleza Johnson kuwa, mwanye ukweli ni baba yake mzee Masinde na wenzake, ivyo akamshauri akaongee na baba yake, ili aseme ukweli na yeye Johnson apate mwanzo wa kuweza kuzuwia mauwaji, ambayo yanaweza kumkuta ata baba yake mzee Masinde, walikuwa wakiongea hayo huku safari ikiendelea, “lakini mzee nazani una mwelewa vizuri huyu mzee, sizani kama anaweza kunieleza ukweli, nilizani wewe anaweza kukueleza ukweli” aliongea insp Johnson, akionyesha kukata tamaha ya kuweza kupata ukweli na kumtia nguvuni muuwaji, “unajuwa Johnson, hapo ni jambo moja tu! utapo mwonyesha baba ya ko kuwa una fahamu bahadhi ya mambo juu yake, lazima atakubari kukueleza kilakitu” waka kubaliana kumsubiri, mzee Masinde arudi toka mazishini Tanga, ili wajaribu kumdodosa, ** siku zilianza kwenda, maisha ya Denis na Jackline ya lizidi kuwa matamu, maana kila mala wanapo kuwa pamoja, kazi ilikuwa ni kupeana dudu, na siku zote Denis aliakikisha anawai kurudi nyumbani, akiwa amesha nunua bia zake na wine ya mpenzi wake, hapo watafurahi pamoja na na mwishoe ni kupeana dudu, walizoweana mpaka ikafikia kipindi Denis, akaanza kuongea na baba yake Jackline, kwa simu akizani kuwa anaongea na mzee mkulima aishie mashambani huko Songea vijijini, nae mzee Michael Nyati alikuwa ameshaliona jambo la mwanae kuzama kwenye mapenzi na kijana mlevi, ambae Jackline alimtetea sana, jamaa anajielewa sana yupo makni na mambo yake, siyo mdadisi kuhus mambo yake, Jackline alidai pia Denis amepunguza pombe kwa kiasi kikubwa sana, ni kweli licha ya Denis kununua pombe kila siku, lakini alikuwa anakunywa bia kumi mpaka kumi na sita, tofauti na zamani ange weza kumaliza ata kreti nzima, Michael na mkewe Anitha walikubaliana na mtoto wao kwamba aendelee kuwa na Denis, lakini asisahau kazi iliyo mpeleka dar es salaam, akazidiwa na mapenzi, Jackline akasema atoweza kusahau kazi yake, ni lazima ifanikiwe,** huju nako baada ya mzee Masinde na wenzake kurudi mazikoni, insp Johnson alijaribu kuongea na baba yake, lakini mzee Masinde akuonyesha ushilikiano wowote, alikataa kabisa kuwa akuwa anajuwa chochote juu ya mauwaji yanayo endelea, licha ya kumweleza na kumwonyesha lile gazeti lenye picha yake, ikiwa imewekewa alama, lakini alikataa kuwa ausiki, kabisa na mkasa wowote, “baba kumbuka huyu tu ni hatari sana, lolote linaweza kutokea iwapo atujakutana na mtu huyu, nakuongea nae, pia fahamu kuwa nime vunja miiko ya kazi yangu, maana ilibidi niwashikilie wewe na rafikizako ili kuisaidia polisi katka uchunguzi, lakin kwa sababu umesema hujuwi chochote wacha polisi wafanye kazi yao” aliongea Johnson, akionyesha kuwa sasa ameshindwa kubembeleza, hapo ndipo Johnson alipo amua kuachana na baba yake, na kuanza kuchunguza yeye mwenyewe juu ya huusika wa baba yake katika kisa hiki, huku akimtumia Busungu kumfwatilia mzee Mathayo, ambae nayeye alisha rudi toka mtwara, ** ilikuwa imepita miezi miezi 3, pasipo kusikika mauwaji ya aina yoyote, jiji la Dar es salaam lilikuwa limetulia kabisa, amani imetawala, Polisi nao walikuwa wamesha anza kuamini kuwa muuwaji amesha amua kuacha kazi yake, pengine ni kwa sababu amesha maliza au ameogopa polisi, baada ya kupambana nao sikuile buguruni, kipindi hicho ndicho Jackline alipo alianza kuona mabadiliko kwenye mwili wake, kichefu chefu na uchovu mwingi sana, asa katabia ka usingizi wa mchana, Denis akaona bola ampeleke mke wake hospital, akacheki malalia, ilikuwa jumamosi saa tatu asubui, Denis na Jackline walikuwa wanatoka nyumbani kwao kibamba, kuelekea Hospital ya Muhimbili, waki ndani ya gari lao Toyota noah, wakati wanataka kuingia bara bara kuu itokayo mikoani, mala wakashangaa wakisa limiwa na dada mmoja mrembo hivi, mwenye shepu ya nguvu, alievalia suluali ya jinsi, nakuruhusu shepu yake kuonekana, vyema kabisa, huku nyuma akiwa amebeba makalio makubwa, vijana wanaita chura, “habari jamani” alisalimia kwa kupita dirisha la upande aliokaa Jackline, “safi habari yako” aliitikia Jackline, “samahani jamani sijuwi mnaelekea mbezi, nilikuwa naomba lift” aliongea yule dada, ambae atasura yake ilikuwa ni ya kulidhisha, “ok! ingia twende” alisema Jackline, na yule dada akashukuru huku anafungua mlango wa nyuma, na kuingia ndani ya gari, safari ikaanza, huku yule dada ambae alikuwa ni mwongea ji akianza kwa kumsemesha Denis, “alafu kaka nakuonaga sana manzese, ndipo uanapo fanyia kazi?” lilikuwa ni swali, “yah! ofisi zetu zipo pale MAZAO BUILDING” alijibu Denis huku ,acho yake yakiwa mbele, akitazama barabara, jibu la Denis alikumfurahisha Jackline, “ok! mimi mwenyewe ninafanya kazi Kamanga plaza kwenye duka la simu, nitakuwa nawai lift, na kaa Mbezi, nyuma ya kituo cha mafuta cha mbezi shule, huku nilikuwa nimekuja kumtazama rafiki yangu anakaa pale pale kibamba njia panda” alijieleza yule dada mwenye mmsambwanda wa maana, “ok! aina tatizo, japo uwa sinaga mda maalumu wakutoka ofisini” alieleza Denis pasio kutazama pembeni, wakati huo anasimama kwenye kituo cha polisi cha zamani, cha mbezi, “poajamani nashukurusana kwa lift, tutaonana kesho kutwa” aliongea yule dada wakati anashuka toka kwenye gari, “haya, siku njema” safari hi alijibu Jackline ambae alikuwa kimya mda wote akionyesha kuto kupendezwa na maongezi ya Denis na yule mwanamke, “inamaana, ulikuwa na umuhimu wa kumtajia unapo fanyia kazi” aliuliza Jackline akionyesha kama alikuwa na kawivu flani, wakati huo gari lilikuwa limesha anza kuondoka, “samahani mke wangu, lakini siyo kwa nia mbaya” alijibu Denis, huku akiachia mskanio na kuchezea nywele za Jackline, ambae alicheka kidogo, “wewe siunaliona linaonekana linakutamani” aliongea Jackline kisha wote wakacheka, ** huyu dada anaitwa Sablina, ni kwelii anafanya kazi kwenye duka la simu la kampuni ya simu ya Mambo tell, anaishi Mbezi shule na hawala yake Rusajo, ambae kwa sasa wanamiaka mitatu, wakiwa pamoja katika mausiano yao, Rusajo ni mtu wa diri, na wakati mwingine umshirikisha mpenzi wake Sablina kwenye diri zake sa wizi na utapeli, nikweli Sablina alikuwa anamfahamu vizuri sana Denis, na siyo tu kwa kumwona pale manzese, alikuwa anamfahamu kuwa ni mlevi sana, hivyo leo alipo pata nafasi ya kuwa pamoja, aka aamini kuwa ni lahisi kwao yeye na mpenzi wake Rusajo kumwingizamjini, hivyo lengo lake ni kujenga ukaribu na Denis ili afanikiwe kumwingiza mtegoni, maana Sablina na Rusajo walisha waingiza mjin watu kibao kwa kutumia umbo matata la Sablina, *** ilisha timia saa nne na robo Denis na Jackline, walikuwa muhimbili hospital, Jackline alikuwa ameshaingia kwa Doctor wa magonjwa ya kinamama, alikoelekezwa mapokezi baada ya kujieleza anavyo jisikia, tayari kupata vipimo, Doctor Ndilani, ambae ni mtu mzima, alistuka sana baada ya kumwona mshana mrembo akiingia ofisini kwake na mapigo ya moyo kuongeza kasi, maana akuwai kutibu mgonjwa mrembo kama huyu, liiicha ya kuwa hudumia na kuwaingizia dudu wa gonjwa wake wangi sana, lakini huyu alie ingia ofisini kwake leo, alikuwa ni mwanamke mzuri na mrembo hajawai kuona, tokea ameanza kazi yake hii ya udoctor, lakini huyu waleo alikuwa kiboko yao, ilo halikumpa shida sana Doctor Joseph Ndilane, maana alikuwa na mbinu nyingi sana, za kumshawishi mwanamke kufanya nae mapenzi papo kwa papo, pasipo kujari kama mume wake anasubiri nje, yeye aliwenza kusahawishi na kutafuna kitumbua mlemle ofisini kwake, leo anataka kumwingzia dudu Jackline, mwanamke mlembo aliopo mbele yake, tena wawili tu! itaendelea ……….
All Rights Reserved © | Simulizi TAMU