BINTI MDUNGUAJI (28)

SEHEMU YA ISHILINI NA NANE

ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHILINI NA SABA: alikuwa ni mwanamke mzuri na mrembo hajawai kuona, tokea ameanza kazi yake hii ya udoctor, lakini huyu waleo alikuwa kiboko yao, ilo halikumpa shida sana Doctor Joseph Ndilane, maana alikuwa na mbinu nyingi sana, za kumshawishi mwanamke kufanya nae mapenzi papo kwa papo, pasipo kujari kama mume wake anasubiri nje, yeye aliwenza kusahawishi na kutafuna kitumbua mlemle ofisini kwake, leo anataka kumwingzia dudu Jackline, mwanamke mlembo aliopo mbele yake, tena wawili tu! ENDELEA ……..
Doctor Ndilane, alitumia dakika saba kumsikiliza Jackline, akijieleza kinacho msibu, huku mda wote akiwa aeachia tabasamu na kujilamba lamba midomo kwa uchu, na wakati mwingine alikuwa akimkonyeza mgonjwa wake huyu, ambae alipania sana leo kutafuna kitumbua chake, Dr Ndilane akiwa kama Doctor bingwa, akagunduwa kuwa Jackline ana uja uzito, ilikusibitisha inabidi achukuwe kipimo cha mkojo, lakini yeye akataka kutumia nafasi hiyo kufanya yake, “vpi umekuja na mtu mwingine?” aliuliza doctor, “imekuja na mume wangu” ilo kwa Dr Ndilane alikuwa tatizo, akamwambia Jackline, apande juu ya kitanda kilicho kuwepo mle ndani ya chumba cha Doctor, kisha alale kitandani hapo, akiwa ajuwi hili wala lile, Jackliane aka panda juu ya kitanda ambacho kipo kwaajili ya kuwa laza wagonjwa ambao wana hali mbaya, au kwaajili ya kufanyia uchunguzi wagonjwa kama wakina Jackline, ni itanda ambacho kimesha shuhudia waschana wengi sana wakiingizwa dudu, tena wengi wao wakiwa ni wale waliokuja kwaajili ya kuchungza uzazi au kutoa mimba, “pandisha gauni lake mpaka kifuani” aliongea Dr Ndilane, ambae alikuwa amegeukia kwenye meza anaandika kitu flani kwenye karatasi,”ni kama Jackline akusikia vizuri hiyo kauli ya doctor, akabaki ameshangaa, akikosalakufanya pale juu ya kitanda, akimtazam doctor ambae alipo maliza kuandika, aliweka peni yake kwenye mfuko wa koti lake, kisha akavuta kimeza che mataili kilicho kuwa na tray juuyakeiliyo jaa mikasi na grves, na mkichupa cha mafuta, na Bp machine, akisogezakaribu na kitanda, alicho lalia Jackline, “husiogope dada pandisha gauni mpaka kifuani natakakupima tumbo lako” aliongea tena Dr Ndilane, ambae alianza kumsoma mgonjwa wake kuwa ni mtu wa aina gani, hapo Jackline akahisi kijasho chembamba kikichuruzika, aliona ni aibu sana kupandisha gauni lake kama livyo ambiwa na doctor, akichukulia chupi aliyo ivaa leo ilikuwa ni bikini, na alishaona dalili za doctor huyu kuwa siyo nzuri kwa afya ya kitumbua chake, maana alishamwona alivyo kuwa anamkonyeza, “usijari dada, mimi ni doctor, ni kwaida yangu kutazama vitu kama hivyo, atakama uli sahau kuvaa chupi, walaa usiogope” akauli hiyo ya Docto, siyo kama ilimslimshawishi Jackline, lakini yeye mwenyewe aliamua tu kupandisha gauni lake mpaka kifuai na kujilaza vizuri pale kitandani, akiwa amelala chali, akiachia mapaja yake mazuri ambayo uwachanganya wanaume wengisana japo wanaya shuhudia yakiwa yame fichwa na nguo, ndivyo ilivyo kuwa kwa dor ndilane, ambae alishusha macho kwenye eneo la kitumbua na kuona lime fichwa na mapaja manene ya mrembo huyu kitandani, “kuwa huru mrembo, punguza aibu tumalize kazi” aliongea Dr Ndilane huku akimtazama Jackline usoni, kwa macho yakulegea kimahaba ya kiume, mdomo ni mwake ameachia tabasamu la uchu, na miikono yake akiipitisha tumbo kwa Jackline, akianzia chini ya kitofu, yani ile sehemu ambayo ata akibanwa na mkojo uwa ina uma, nakupadisha paka juu kabisa karibu na matiti, alifannya hivyo kwa kurudia rudia, macho bado ameya kza usoni kwa mgonjwa, Dr Ndilane alienda mbali zaidi na kuanza kuliminya minya tumbo la Jackline, kwa namna ya pekee, wakati mwingine akipeleka mkono wake mpaka kwenye mbavu changa, nakumfanya Jackline ajisikie kutenya, mtekeenyo ulio mpa raha, akajikuta akifumba macho kusikilizia utamu, kwa kurigunduwa hilo Dr Joseph Ndilane akaongeza ujuzi ili kumlainisha zaidi mgonjwa wake, akjipaka mafuta flani kwenye mmikono yake, na kuanza tena kumkanda Jackline tumboni, huku akimtazama usoni, akamwona Jackline ambae alikuwa amefumba macho akiakunja sura kuonesha kuwa dose ina mwingia, hapo Dr akaamua kuingia kwenye atua yap li, nayo ni kumpandisha zaidi gauni na kuyahacha maziwa ya Jackline yakiwa nje ya gauni, kisha Doctor akajifanya kuliminya kidogo kama kuna kitu anaangalia kita toka, alafu akaanza kuchezea chuchu za mrembo huyu, akijuwa kuwa wagonjwa wengi hawajuwi lolote kuhusu vitu kama hivyo, uwafanyia hiyo mpaka wanapo jikuta waziwa na hamu ya kuingiziwa dudu, kumbe tofauti Jackline Michael Nayati alikuwa ameshaona utofauti wa matendo ya huyu doctor, tokea alipo ingia ndani ya ofisi hii, pasipo kujuwa dr Ndilani akashusha mkono wake kati kati ya mapaja ya Jackline, na kupenyeza kidole kwenye kitumbua cha mwanamke huyu, ambacho kilikuwa kimehifadhiwa na kimkanda kidogo cha bikini, kilicho shindwa kuimili na kuruhusu kidole kukifikia kialaghe chake, “vipi unajisikiaje” aliuliza Dr Joseph Ndilane, kwa sauti nzito yenye mikwaluzo, huku akianza kuchezesha kidole chake kwenye kialaghe cha mrembo huyu, na kwa msaada wa mafuta kwenye mikono ya dr kidole kiliteza na kusugua kialaghe hicho, Jackline akujibu kitu zaidi alikuuwa amefumba macho akisikilizia utamu, wa matibabu ya kusaajabisha, japo kitendo hicho kili mshangaza sana Jackline lakini akaamua ngoja kwanza aone mwisho wa hayo mambo ya doctor, kiukweli Jackline akuelewa maana ya Dr kumfanyia vile, maana akuelewa ni vipimo vya namna ile ni vya nini?, au vya ni aina gani ya vipimo?, maana sasa Dr Ndilane licha ya mkono wake mmoja kuendelea kuchezea kikunde, mwingine ulibakia kwenye chuchu, mpaka hapo kengere ya hatari ilisha gonga kichwani kwa Jackline maana alisha anza kuhisi ute ute uki anza kumchuruzikakwenye kitumbua chake, “doctor unani fanya nini?” aliuliza Jackline kwa sauti ya chini, huku alkijaribu kumbua macho na kumwangalia doctor, ambapo macho yao yalikutana, akamwona mwona doctor akiwa ameachia tabasamu lililo mchukiza sana, kama aitosh akamwona Dr Ndilane aki achia chuchu zake na kuingiza mkono kwenye suluwali yake, kisha akaitoa dudu yake iliyo kuwa imesimama vibaya sana ikichuruzika ute ute wa uchu,”Doctor unataka kufanya nini?” aliuliza Jackline kwa mshangao, “usiogope mrembo najuwa inaitaji kwasasa” alijibu Dr Ndilane ambae sasa aliuwa ameshika dudu yake akiiminya minya, akajuwa huyu doctor amesha “ebu towa nguo zote” aliongea dotor huku akimwachia Jackline, aweze uvua nguo zake, “hapana Doctor, siwezi kuendelea”aliongea Jackline akiwa anaijiinua toka kitandani, na kuvaa vizuri gauni lake, tayari kushuka kitandani, na kuondoka zake, hapo dr Ndilani akamshika Jackline na kumkandamiza, kumrudisha kitandani, “lazima tumalizie ndipo utoke, ajawai kutoka mrembo salam humu ndani” ** muda mrefu insp Johnson, jumamosi yaleo alikuwa ofisini kwake akiandaa report juu ya kesi ya mauwaji aliyyopewa kuichunguza, japo ilimuumiza kichwa sana kutokana na mwenendo mzim wa kesi yenyewe, ambayo muda mrefu alikuwa akichunguza mwenendo wa baba yake, akisaidiwa na Busungu, ambae alikuwa akimfwatilia mzee Mathayo, alikuwa amesha gunduwa kuwa, baba yake na wale rafiki zake watatu, wanafanya shughuli zisizo harali uingizaji wa madawa ya kulevya wizi wa magari usafiri shaji wa nyala za serikari, na ile ya baba yake ya usafiri shaji kharamu, aliyo igunguwa toka akiwa kijana mdogo, akisingizia kuwa anavua samaki baharini, pia aligunduwa kuwa kuna vijana wapatao kumi na nne, watatu wakiwa madereva na tisa wakiwa ni watumiaji wa silaha na wenye uwezo wakupambana kwa mikono, walikuwa wakifwatilia jambo Fulani, mbalo baba yake na wenzake lina watatiza sana, maana aliona wae vijana wakitoa taalifa mala kwa mala kwa baba yake na rafiizake, ambao mala nyingi sana walikuwawanakutana na kujadiriana jambo linalo wa sumbua, kitu kingine ni kwamba, Johnson David Masinde alikuwa ameshangazwa kwa ukimya wa muuwaji, ambae aliamini kuwa bado hajamaliza kazi yake ya mauwaji, maana ilikuwa kimya kwa miezi mitatu sasa, kitu kilicho mfanya aamini kuwa, maneno ya baba yake ni yakweli, kwamba yeye ausiki na jambo hilo, maana mauwaji yamekoma, ** huku wakina mzee Masinde walikuwa wakiamini kuwa, muuwaji wao ambae ni Michael Nyati ametambua uwepo wa vijana wao wakazi, hivyo ameghaili kwa kuogopa, ** Jackline alishangaa akikandamizwa na Dr Ndilani, akirudishwa kitandani, hapo hapo Jackiline alishikwa na hasira ya hajabu, “wasalimie kuzimu” ghafla Jackline alirusha ngumi nzito, iliyo tuwa kwenye taya la doctor Ndilane, na kumfanya dr Ndilani apepesuke, huku akishangaa kilicho mtokea, kabla aja kaa sawa, alipigwa na ngumi nyingine nzito iliyotuwakwenye mbavu changa, na kuongezewa pigo linguine la mtindo wa karate, lililo tua shingoi na kupasua kooni la dr Ndilane, na kumfanya ashindwe kutoa sauti, kutokana na kushindwa ata kupitisha hewa, hapo aliongezewa teke la kichwa (kubhi maito) lililo mzungusha dr huyu kisha kumbwaga chini kama kiroba cha mchele toka begani kwa kuli, Haraka sana Jackline alimfwata Ndilane pale chini, huku akivuta mkasi mmoja mezani kwa Dr Ndilane, na kumsindilia dr Ndilane kooni, na kumfanya dr atulie akiwa ameshikilia shingoni, anakoroma kama mbuzi alietolewa wakafara mzimuni ** Denis akiwa amekaa kwenye benchi la kusubiria kuingia kwa dr, pamoja na wagonjwa wengine, mala akamwona Jackline akitoka ofisini kwa doctor, na kusimama mbele ya bechi atua chache toka alipokaa yeye “doctor amesema anaenda kwenye chai muingie baada ya nusu saa” aliongea Jackline kwa namna ya kutangaza, zikanza kusikika sauti za wagonjwa wengine, wakianza ku lahumu kuwa madoctor wana wanyanyasa, Jackline akamfwata Denis alipo kaa, huku tabasamu limetawala usoni kwake, husinge zani kama kuna jambo kubwa limetokea ndani ya ofisi, “dr amesema hawana vipimo, niende hospital binafsi” hapo Denis akainuka na wakashikana mikono na Jackline, na kuondoka zao, “najihsi kuchoka, yani natamani uni bebe” aliongea Jackline kwa sauti ya kujidekeza, usinge amini kama ndie yeye aliekuwa anafanya yale mauwaji kule kwenye chumba cha doctor, “husijari mama ukitaka nikubebe nitakubeba tu” alisema Denis huku akitania kumnyayua, wote wakacheka huku wakielekea nje, moja kwa moja kwenye gari lao, na kuondoka zao, walifwata njia ya kuelekea diamond jubilee, kisha makaburi ya tambaza waka kata kulia na kuelekea fire, wakati wana subiri mataa ya fire yawa ruhusu, ghafla wakaona magari na pikipiki za polisi, zikitokea kaliakoo, kwa mwendo wakasi sana, huku askari wenye silaha, wakiwa wame jaa kwenye magari hayo, na ving’ola viki lia kwa sauti ya juu, kuashilia kuna tukio limetokea kule wanakoelekea ambako ndiko waliko tokea wao, hapo Jackline Michael Nyati alitabasamu kichini chini, huku wakiyatazama yale magari yaposi yakipotea, kuelekea upanga, ** kumbe dakika chache zilizopita insp Johnson akiwa ametulia ofisini kwake ndani ya jengo kubwa la kituo kikuu cha polisi, akiwa anamalizia kuandika report yake ya kesi ya mauwaji mfurulizo, ambayo bado aija pata ufumbuzi, huku akiwa amesha anza kuamini kuwa mauwaji yame koma, na kwamba baba yake ausiki na mkasa huo, alipokea report toka kituo kidogo cha police, kilichopo karibu na hospitali ya muhimbili, kwamba doctor bingwa wa magonjwa ya kinamama, Dr Ndilani amekutwa ameuwawa Ndani ya ofisi yake, kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali shingoni, hapo ndipo Insp Johnson alipo chukuwa vijana wake wachache, akiongezea na askari wengine, ambao awakuwa katika kikundi chake cha kumsaka muuwaji, kwa sababu kutokana na kutotokea mauwaji kwa muda mrefu, alikuwa ana wagawa makundi askari wake, kwa kuwapa zamu za kupumzika majumbani kwao, yani nusu kwa nusu, wakiwa wamesha bakia nane, baada ya mmoja kuuwawa kwa risasi pale buguruni, siku ya kuwaaga marehemu, na busungu kupewa kazi ya kumfwatilia mzee Mathayo, kwa mwendo wakasi sana, polisi waliingia muhimbili hospitali, na kuelekea kwenye chumba cha Dr Ndilane, wakamkuta amelala sakafuni juu ya bwawa la damu, zilizo chuluzika, kutoka kwenye shingo lake, huku sehemu zake za siri, zikiwa nje, kama aliekuwa anataka kujisaidia haja ndogo, baada ya kuwahoji maswali machache, wagonjwa na madoctor, waliokuwepo eneo ile, insp Johnson akiulizia muonekano wa mgonjwa wa mwisho kuingia kwa doctor, akaelekezwa jinsi huyo mngonjwa alivyo, “ni mdada mmoja hivi mzuri mzuri, anashepu, alikuja na mume wake, alivyotoka alisema doctor amesema waingie baada ya nusu saa, ameenda kwanza kwenye chai” alielekeza mgonjwa mmoja wakike, kisha jamaa moja alievalia koti la kidoctor, akadakia, “ina semekana huyo dada alikuwa ndie mgonjwa wa mwisho kuingia kwa Dr Ndilane, mimi nilipo fika hapa nikakuta wagonjwa wanalalamika kucheleweshwa, nikaamua kuingia ndani ya chumba hiki ilikujuwa dr anatatizo gani, ndipo nilipo mkuta yupo hivi” insp Johnson akamwambia yule mtahalamu wa alama za vidole, kutoka police achunguze mwili wa marehemu, kisha yeye akatoka na kwenda kutulia ndani ya gari la police alilokujanalo, na kuanza kutafakari, kwanza alitafakari jinsi alivyo elekezwa mwonekano wa huyo mwanamke wa mwisho kuingia kwa Dr Ndilane, maana alifanana kabisa na picha ya mwanamke alie ipata kule full dose, pia anafanana na mschana ambae alielekezwa na Busungu, miezi michache iliyopita pale buguruni, siku ya kuaga miili ya marehemu wachungaji, pili aliwaza juu ya mwonekano wa doctor baada ya kuuwawa, alikuwa ameziachia sehemu zake za siri nje, inamaana alijaribu kumbaka huyo dada, maana nilimwona kwaacho yangu, ni mrembo sana yule demu, sijuwi kwanini anafanya kazi kama hii, alafu inasemekana alikuja na mume wake, anaweza kuwa Michael Nyati ndie mume wake”, pia akawaza kama nikweli yeye, je? atakuwa ameanza tena kazi yake ya mauwaji, na kama ndiyo inawezekana huyu Dr Ndilani anafahamiana au anaurafiki na baba yake, au ndio kamanilivyo waza mwanzo kuwa marehemu alitaka kumbaka huyu dada kama wale vijana watatu wa manzese, maana inasemekana huyo mwanamke ni mrembo aswa,” mpaka hapo Johnson akakosa jibu, kama mauwaji haya ya nausiana na mauwaji ya wanzo ya wachungaji na watu wengine? au hapana, aliwaza kwa muda kidogo, kisha akapata wazo la kumpigia baba yake na kumwuliza kama anamfahamu Dr Ndilane, Johnsoni akfanya hivyo mala moja, lakini mzee Masinde alisema amfahamu, na wala ajawai kusikia jina kama hilo, hapo insp Johnson akatulia nakuendelea na tafakari za kuumiza kichwa,** Vijana wawili kati ya wale walio tumwa kumfwatilia muuwaji, ambae anawasaka wakina mzee Masinde, walikuwa maeneo ya mbezi stend ya zamani, kwenye bar moja ndogo, iliyopo jirani na dispensal moja kubwa ya Dr Stella Matumaini Disppensal (soma story ya SHANGAZI ANATAKA) wakinywa bia huku wakisubiri nyama choma waliyo agiza, hiyo ndiyo ilikuwa taratibu yao ya maisha, wakitumia fedha nyingi wanazo lipwa na mabosi wao, kwa kazi wanazo zifanya kila siku, na sasa walikuwa wanakula pombe na nyama tu, ni baada ya kukaa muda mrefu, bila kumwona mwanamke wanae mtafuta, na kukata tamaha, ndipo walipo anzisha ratiba ya kufanya starehe, na wakati mwingine kukaba watu usiku, na kujipatia fedha za ziada, kwa ajili ya starehe zao, leo wakiwa hapa mbezi wakiendelea kunywa bia, mala wakaona gari aina ya toyota noah, likisimama kwenye maegesho ya Dispensal ya Matumaini, inayomilikiwa na mwanamama mrembo Dr Stella, kisha wakashuka watu wawili, mwanamke na mwanamume, walionekana ni mtu na mtu na mke wake, vijana awa wawili awakumtazama sana yule mwana mume, ila walivutiwa na mwanamke alie kuwa ameongozana na yule mwana mume, “ebwana heee! unamwona yule mwanamke jinsi alivyo bomba?” alikuwa ni mwanamke mzuri na mrembo sana, “duh! ni noma, tena yule ukimpata, unamgongea konyagi” aliongea mwinine huku wakiendelea kumtazama yulemwanamke mrembo wakati huo akiongozwa na mume wake kuingia ndani ya jengo la Dispensali, walpo fika kwenye ngazi na kuingilia waka simama idogo kisha yule mwanamke akageuka na kutazama upande wao, kama kunakitu anatazama, “mh! hivi, huyu demu mbona kama nimewai kumwona sehemu” sura yake aikuwa ngeni kwao, japo awakujuwa walimwona wapi kwa mala ya kwanza, wali shuhudia wawili hao wakiingia kwenye dispensal ya Dr Stella, vijana hao wakatazamana usoni, kama wanatafakali jambo, “niliwai kumwona wapi huyu dada” kila mmoja aliumiza kichwa kimya kimya, baada ya dakika chache, kila mmoja akakurubuka na ingiza mkono mfukoni haraka sana, wakatoa karatasi, ambazo zilishaanza kuchakaa, kutokana na kutembea nazo kila walipo enda, kila mmoja aka likunjua na kuitazama picha iliyopo kwenye karatasi ile, hapo wakapata jibu moja, kuwa yule ndie mtu wanae mtafuta sikuzote, hapo wakaona kuwa kazi yao imeisha, maana mtu wao yupo mbele yao, wote kwa pamoja wakainuka na kuelekea Despensal kwa Dr Stella (shangazi yake Jayden) huku wakiwapigia simu wenzao, kuwa waje haraka sana mahali hapo, maana waicho kuwa wakikitafuta kipo mbele yao, na kwa mwonekano wa mschana huyu, akuwa na umwonekano wa kuweza kupigana kaa inavyosemekana, labda yule mwanaume alieongozana nae, lakini waliamini kuwa wakijikusanya wote itakuwa lahisi kumteka yule mwanamke, atambele ya mwanaume wake, ** ndani ya despensal hiyo wagonjwa walikuwa wengi sana, kutokana na hudumanzuri, inayo patikana hapo, Denis na Jackline walipo fika Jackline akajiandikisha na kukaa foleni, wakati wote Jackline aki jidekeza kwa Denis, kama wafanyavyo wanawake wengine wanao wapenda sana wapenzi wao, mara aushike mkono wa Denis na kuulaza mapajani kwake, kisha kuanza kumchezea vidole, mala ajiegemeze kwe kwenye bega la mpenzi wake, na vitu kama hivyo, kumbe muda wote kuna vijana wawili, walio kuwa wamekaa atuwa chache toka walipo kaa wakina Denis, wakijichanganya na watu wengine waliopo mahali hapo, walikuwa wametulia waki waangalia, na kuwafwatilia kwa umakini sana, huku wakijadiri mawili matatu, kutokana na kuamini kuwa yule mwanamke awezi kuwa muuwaji, waliamini kuwa Denis anaweza kuwa ndie muuwaji, anae wawinda maboss wao, hivyo wakajuwa fika wakifanikiwa kumkamata Jackline, ita wasaidia kupata yule mwanaume kilahisi, baada ya kujadiliana kwamuda kidogo, huku wakimsomea ramani Jackline, huku wakiendelea kuwasiliana nawenzao kwa njia ya meseji na wanzao wakiwa sisitiza kuwai, ** askari mmoja alikuja kumwita insp Johnson, aliekuwa bado yupo ndani ya gari akitafakari, kwamba majibu yapo tayari anaitwa akayatazame, hapo insp Johnson akatoka kwenye gari, na kukimbilia ndani ya ofisi ndogo ya uchunguzi, iliyopo mle ndani ya hospital ya muhimbili, baada ya kukabidhiwa majibu akaoyatazama kwa muda kisha akaomba file lilolo ifaziwa majibu na report ya uchunguzi wa alama za vidole, za vifo vya wachungaji Kileo na Chilumba, baada ya dakika chache, zilikuwa mezani mbele yake, baada ya kuzipitia kidogo akagunduwa kuwa muuwaji ni yule yule, ambae sasa anamfahamu kwa sura maana alishawai kumwona buguruni, report ilionyesha licha ya kuchomwa na kitu chenye ncha kali shingoni, pia alipigwa na kitu kizito kwenye taya lake, kichwani na sehemu za mbavu, ambayo ilisababisha kuvunjika kwa mbavu tatu, kilicho mshangaza insp nikwamba, zaidi ya kukuta alama ya vidole kwenye mkasi uliokita shingoni kwa Doctor, pia alama nyingine za vidole, zilipatikana, kwenye sehemu alizopigwa na viu vizito, kasolo kichwani, “ngumi, huyu mwanamke anauwezo gani?” hapo Johnson akagongameza kwa nguvu, huku akiachia tusi la nguoni, akainuka na kuamlisha askari wake, waingie kwenye magari na kuondoka zao, kuelekea kituo kikuu cha polisi, maana alishajuwa kuwa kwa jinsi anavyo mfahamu yule dada, hawezi kuwepo eneo ilo, mpaka mda huo **Ni kweli, maana sasa Jackline alikuwa ndani ya ofisi ya Dr Suzane akihojiwa kuhusu afya yake, kabla ya kupata vipimo, ambapo Dr Suzane alimwelekeza aingie kwa Dr Stella, kwa ajili ya melekezo zaidi, akiwa amemwandikia bahadhi ya mambo ambayo Dr Stella akiona, atajuwa aongee nae vipi, pale nje wale vijana walimwona Jackline akitoka na kuingia kwenye ofisi nyingine, ambako akukaa sana akatoka akiwa na kibahasha cheupe mkononi, uso wake ukiwa na tabasamu akamfwata Denis moja kwa moja, alipokaa na kumwambia jambo, wote wakaonyesha furaha, kisha wakainuka na kuanza kutoka nje, na wale jamaa wakasimama haraka, wakina Denis walitembea kidogo, lakini ghafla Jackline akasimama, na kumwambia Denis kuwa, anataka kwenda chooni mala moja, kabla awaja ondoka, Jackline akamkabidhi kile kibahasha cheupe Denis, na Denis akarudi na kukaa kwenye benchi, akimwacha Jackline akiulizia upande vilipo vyoo, alionyeshwa na kuelekea huko, nyuma yake wale vijana waliigeuka na kuanza kumfwata Jackline, wakijuwa kazi yao imekwisha kiulaini kabisa, walimfwata huku wakimshuhudia Jackline akiingia chooni, upande wa kike, nao wakaongeza mwendo na kuzama kwenye jengo la choo upande wa wanawake, ambao ulikuwa na vyumba sita, vya watu kujisaidia, awakujuwa yule mwanamke ameingia mlango hupi, wakaanza kusikiliza choo ambacho kitasikika sauti au uwepo wa mtu, ndani yake, lakini awakufika mbali, ilikuwa kama mzaha kwao, ni baada ya kusikia sauti ya kike nyuma yao “nipo hapa, si mnanitafuta mimi” itaendelea ………

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!