BINTI MDUNGUAJI (58)

SEHEMU YA HAMSINI NA NANE

ILIPOISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA SABA : akafungua mkanda wa suluali na kuipekenyua chupi ya mume wake, kisha akaitoa dudu ya denis, na kuanza kuikagua, “nikikuta metumika hii atanitambua” aliwaza Jackline ambae wakati anaendelea kuikagua dudu ya mpenzi wake akaiona ina stuka na kusimama akatabasamu na kuiachia dudu ikiwa bado imesimama, ulijuwaje kama nina hamu?” alinong’ona Jackline au mama Frans, huku ana pandisha gauni lake juu mpaka usawa watumbo, na kuvua nguo yake ya ndani, endelea ……….
Kisha aka enda na kupnda juu yakochi, usawa wa mpenzi wake alie kuwambali nae kwa miezi tisa, akachuchumaa uswa wa dudu ya Denis iliyo kuwa bado ime simama, na kuikamata akiilengesha kwenye kitumbua chake, kisha akaigusisha kwenye kitumbua chake na kuipitisha pitisha kwa kuisugua kichwa cha dudu hiyo kwenye kikunde ambacho kili sikia mtekenyo flani uliosababisha kitumbua kizima kianze kulowa ute, na ata Jackline alipo amua kuikalia dudu aikuwa shida, iliteleza taratibu na kuzama ndani, hapo Jackline akaaza kuchezesha kiuno chake taratibu, sambamba na kelele za utamu, ** ilisha timia saa sita za usiku, leo Denis akuwa na ratiba ya kurudi nyumbani, ukizingatia mke wake alikuwa amesafiri kwenda Zanzibar, kwenye harusi ya wifi yake dada yake mahadhi, iliyotarajiwa kufungwa wiki moja mbele, hapo hapo nyumbani kwao Mombasa kiembe samaki, hivyo leo alikuwa mitaa ya kimara nwisho, kwenye bar moja kubwa sana, ndani ya chumba kimoja kizuri kilichopo kwenye ghorofa ya pili, kwenye guest house, ya bar hiyo kinywa bia sambamba na binti mmoja mrembo sana, alie kutana nae njiani wakati anarudi, na kumpa lifti pale ubongo stendi kuu, na baada ya kurusha doano yake binti mrembo akaingia mazima, mahadhi aka tuliza na kuingiza chumbani, na sasa walikuwa kama walivyo zaliwa, ni baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza wa kupeana dudu, kwenye meza ndogo iliyopo mle ndani, zilionekana bia kadhaa zikiwasubiri, waliendelea kunywa taratibu huku wakifanyiana michezo ya kimahaba, iliyo sababiisha dudu ya mahadhi irudiwe na nguvu kwa haraka sana, “hivi nikweli Nifah, auna mume wewe, tusije kufumaniwa” aliuliza Mhadhi akimtaja jina mwanamke huyu alie mfahamu jina wakati wanaandikisha kenye kitabu cha mapokezi, “mimi single mpaka nimalize chuo, ndio nitafikilia kuolewa” alisema Anifah, huku akiichezea dudu ya Mahadhi alie jilaza chali, “mh! au nataka nikuowe mke wa….” kabla mahadhi aja malizia kauli yake, wakastuka mlango wa chumba chao ukigongwa, hapo wakatanzamana kwa uoga, kila mmoja akizani amekuja kufumaniwa kwa wizi wake, wakati Denis akizani aliegonga ni mume wa huyu dada, yule dada alizani kuwa mke wa bwana Mahadhi ndie alie gonga hodi, “nani?” aliuliza Mahadhi, akijitahidi kujikaza asionekane kuwa anaogopa, “manage hapa naomba kukuona mala moja” ilisikika sauti toka nje, Mahadhi aka inuka na kujiviligia shuka kisha akenda kufungua mlango, ile anazungusha funguo, akashangaa mlango ukisukumwa kwanguvu, na kumbamiza, kiasi cha kumsukumia chini, na kujibonda kiuno, nukta chache zilitosha kwa polisi watano kujaa ndani ya chumba kile, wakiwa na silaha mkononi, huku wameongozana na manage, aliyekuwa ameshia kitabu cha wageni, “haya angalia chumba namba saba gholofa la pili, jina nani,” ilikuwa nisauti ya ukali sana yenye rafudhi ya kikulya, inayomilikiwa na koplo wa jeshi, “mahadhi Idd” aliongea Mahadhi huku akiwa pale chini alipodokea, baada ya kusukumwa na mlango, yule binti mrembo alikuwa juu ya kitanda ame jikunyata vibaya sana, kwa uoga akizuwia maziwa na kitumbua chake, kwa kujikunyata, alishuhudia wale polisi wakitazama kwenye kile kitabu cha wageni, kisha wakamtazama Mhadhi, “lete kitambulisho” ilisikika ile sauti ya Koplo, Mahadhi akajizoa zoa na kuifwata suluali yake, kisha aka ingiza mkono mfukoni na kutoa wallet ambayo ilionekana wazi kusheheni noti za fedhaakachomoa kitambulisho na kumpatia mmoja wa polisii wale, huku wengine wakikodolea macho wallet ya mahadhi, ambae aliwaona wakipokezana kile kitambulisho cha kazi cha mahadhi, kisha waka mrudishia, “na huyu dada akikisha kama jina lake ndio hilo, kwenye kitabu” aliongea yule koplo, na meneja akasoma jina la yule mwanamke “Anifah kazumali kazi DSJ” hapo yule polisi akamtazama Anifah, “lete kitambulisho unashangaa nini?” hapo ukawa mtihani, kwa binti huyu, maana shuka tayari alikuwa nalo Mahadhi na yeye asinge weza kuinuka ata kidogo, hapo mahadhi akausogelea mkoba wa Anifah na kuufungua akapekua huku akifwata maagizo ya Anifah mwenyewe, akatoa kitambulisho, akwapa polisi wakakitazama kidogo kisha waka warudishia vitambulisho vyao, lakini bado polisi hawa walionekana kutamani fedha za Mahadhi, “nyie ni wanandoa” aliuliza yule polisi koplo, “hapana” alijibu Mahadhi ambae alikuwa na uakika kuwa awakuwa na tatizo lolote kwa uwepo wao mle ndani, “kwahiyo nikisema mna kosa la kulala hapa ikiwa amjafunga ndoa nitakuwa nime waonea” mpaka hapo Mahadhi alisha juwa ni polisi wameingia tamaha, “huyu ni mchumba wangu, bado kufunga ndoa tu!” kiukweli polisi yule alitoka mle chumbani akiwa bado anatamani kutafuta sababu ya kumiliki fedha za Mahadhi, baada ya polisi wale kutoka nje ya chumba kile hapo Mhadhi akamwambia Anifah kuwa mahali pae siyo pazuri kabisa, waondoke zao na kwamba wata tafutana kesho, na kweli walijiandaa na kutoka nje, lakini walicho kiona kwenye kolido la guet ile kiliwafanya warudi ndani, na kujifungia mlango, maana polisi walikuwa wame tanda, hali hiyo ilikuwa mpaka nje ya guest polisi walizunguka, jengo zima, wakiwa na silaha zao, hivyo ndivyo ilivyo kuwa katika jiji zima la dar na vitongoji vyake, watu wengi walikamatwa kwa kuandika majina fake kwenye vitabu, lakini mpaka inaingia asubuhi, akuna polisi alie fankiwa kumkamata Jackline Michael Nyati, insp Johnson alizidi kuchanganyikiwa, *juma mosi asubuhi Denis aliamka na kujikuta yupo juu yakochi, peke yake, lakini alishangaa kuona TV na redio zime zimwa wakati sikuzote uzima asubuhi baada ya kuzinduka, Denis akutaka maswali, akajizoa zoa huku akishindana na lock na kuelekea chumbani, akajiandae tayari kwenda kazini lakini ile anaingia chumbani akashangaa kuona kuna mtu ame lala kitandani, “mh! nani huyu au naota” aliwaza Denis kwa suti ya chini kabisa, huku akinyemelea pale kitandani, ile kutazama vizuri, akamwona mke wae Jackline, “heeeeeee! mke wangu amerudiiiiiiiii” Denis alipiga kelele kwa fujo zote, na kumfanya Jackline astuke na kuinuka haraka akaenda kumziba mdomo Denis, “uta mwamsha mtoto wewe” aliongea Jackline huku akiwa bado ame mziba mdomo mume wake, ambae alimvuta na kumkumbatia, “mke wangu nilizani ndio ume nitoroka” aliongea Denis kwa furaha kubwa, “siwezi kukutorka mume wangu,” aliongea Jackline huku anajitoa kifuani kwa Denis, “haya mume wangu nenda kajiandae uende kazini , tutaongea baadae” aliongea Jackline kwa sauti iliyo jaa upendo wa hali ya juu, “leo siendi kazini leo tuna enda kaliakoo kununua vitu kwaajili yako na mtoto” aliongea Denis huku akichukuwa mswaki na kuingia bafuni,* saa mbili kamili habari za vifo vya boda boda zilikuwa zimeenea nchi nzima, kila mtu akitoa maoni yake wapo walio unga mkono kitendo hicho, na wao walio kilahani kitendo hicho, wakati huo insp akiagiza yule kijana moja alie kutwa kwenye eneo la tukio alindwe mpaka atapo weza kuongea, maana mpaka mida ile alikuwa anaweweseka kama alie changanyikiwa, mada wote alikuwa anajikunyata na kujibanza kwenye kona ya hukuta, utaani anaogopa kitu flani, huku akisema “huyo! huyo! anakuja, mshikeni huyoo!” hali hiyo ilimchanganya sana insp Johnson, “kiukweli huyu mwanamke ni hatari sana, na nisiipo angalia nitakufa ata mimi mwenyewe” aliwaza Johnson huku picha ya waendesha pikipiki ikimjia, “dah! sijuwi nifanyaje, nasizani kama baba atakubari kujiweka wazi kwa waandishi wa habari” wakati huo Insp alikuwa anamsubiri mkuu wakitengo cha upelelezi alekuwa ndani ya fisi ya mkuu wa jeshi la polisi, wakijadiliana juu ya tukio la ghafla linalo semekana limetekelezwa na watu wanao sadikiwa kuwa ni wanawake, waliokuwa wanaandamwa na vijana hari sana waendesha pikipiki, ambao walisha sabisha vifo vya wananchi kadhaa, “swala la mzee Nyati inabidi niliweke kapuni hapa nitaongelea kuhusu Jackline” nusu saa baadae mkuu wa upelelezi alisha tooka ofisini kwa mkuu wa polisi, na kukutana na Johso, “umepewa kibari cha kuunda kkikindi maalumu na kuchagua silaha zote utakazo itaji, ili kuanza kumsaka huyo mwanamke sehemu yoyote nchini, na usionge na chombo chochote cha habari juu ya swala hili” wakati insp akipewa jukumu la kumsaka huyo mwanamke muuwaji, anae sadikiwa kuwa ni binti wa mzee Nyati, huko mitaani habari ilikuwa ndiyo hiyo, ** ata Denis na mke wake wakiwa njiani wanaelekea mjini kwenye manunuzi, na mtoto wao Fransis alie anza kutembea kwa kushikilia vitu mbali mbali, kama viti na ukuta, walisikia habari hiyo, “hiii jamani inawezekana kweli mwanamke akawa na roho ngumu hivyo?” aliuliza Jackline alie mshikilia mtoto, “ata mimi inanishangaza kwakeli au walimwona vibaya, ila nampa big up sana” aliongea Denis, “mh! baba Fransi unamsifia muuwaji?” aliuliza kwa mshangao Jackline, “sasa wewe unashangaa nini, kwani ujuwi bodaboda wange mkamata huyo dada wange mfanya nini?” aliuliza Denis kwa hisia, “mh! na wewe akikumata inafanyaje?” aliuliza Jackline huku safari ikiendelea, “sasa mama Fransi, mpaka aje kuni twanga mimi nime mkosea nini, hivi unajuwa huyo mwaamke amechokozwa ndio maana ame wamwaga damu, yani huyo mwanamke nginge mjuwa ningeo mlipa ili awe mlinzi wenu” aliongea Denis kama vile anauakika na habari anzo ziongea, “wewe unasema tu! unajuwa nivigumu sana kuwa karibu na huyo mwanamke” aliongea Jackline Michael Nyati huku akimtazama mume wake jicho la pembeni, “sasa ugumu wake nini?, sababu huyu kama hauja mkosea, yeye akufanyi chochote” aliongea Denis kwa usibitisho kabisa, hap Jackline nusu aangue kicheko, mala ghafla Jackline kajikuta ameuliza bila kutegemea, “hivi Denis, ukigunduwa kuwa mimi ndie huyo mwanamke uta fanyanini?” hap Denis akageuza kichwa chake kumtazama Jackline kwa mshangao, itaendelea ………

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata