CONNECTION YA BALTASAR (04)

SEHEMU YA 04

mama akanionya onya hapo akanichamba kuhusu kumuibia hela akasema ndio maana alikuwa anapoteza hela kumbe mimi ndio naiba 🙄 Sijawahi  hata kumuibia helaa huyu mwanamke jamani mungu shahidi lakini tafanyaje sasa sina pa kuipeleka hii mihogo 🤦‍♀️

    Hela iliyobaki mmh nikaona bora kula miguu ya kuku mwenyewe  huyu mwanamke  asije kuniua buree😟😟😟 na Itkadi zake ngumu ngumu  ….

  Na ka hela kaka isha habari tena za kuweka bundle  nikasahau na vile nilikuwa nishamaliza shida yangu  ya kuona Chululu ya Kaka mia nne akaaa🤣🤣🤣 sikuwa na shida tena 

      Usiku kuna namba ngeni ikanitext , hapo zilikuwa zimepita kama siku tatu  hivi tangu ninunue mihogo au nipewe hela na yule mtu asiejulikana

(Mamboo)

(Nanii??) 

(Mmmh vibaya  hivyo  wenzio wanaitikia hata salamu kwanza mrembo)

Mmh nikawaza hili li nani hilii  nikaandika kwa hasira (bwana weeeh kama huwezi kusema we nani kausha mxeeeeww) 
  Haikupita muda simu ikaanza kuita namba ile ile  iliyotuma sms nikapokea nimekunja sura hatari

“Halooo” 
Nikasikia sauti ya kiume kwanza nikatulia kuitafuta na zile hasira kidogo  zikanywea

“Mambo” akanasalimia tena amechamgamka hatari

:poa”

“Uko poa”

“Ndio”
Yaan  hapo najibu kifupi huku naivuta ile sauti kama niliwahi kuisikia sehemu

“Hujanijua??” Nikataka nimjibu kwa karaha yaan ananiuliza hijanijua wakati hata kujitambulisha hajajitambulisha nikajikazaaa

“Ndio”

“Okay let call It Friend “

“Sijasoma kaka angu kama huwezi kuongea kiswahili basiii”

Hapo kaba likanishinda ananiletea English wakati mie ni Form 4 felia Mxeeeew
  Akaanza  kucheka akacheka kwelii mie nipo kimyaa namsikiliza  akanambia  embu acha hasira bwanaaa  mie musaa”

“Mussa gani?? “

“Mmmhhhh hapoo sijui nikutambulishe vipi okay mie yule nilikutext Ma juzi  kati kule  fb kuna kitu ulikuwa unahitaji nikakutumia jina langu ni mussa”

Ohoooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣nilicheka kwa aibuuu nikamwambia kumbe wewe akasema ndio  we mkali mpaka umenitisha daah nikasema hamna bwana mie hata sio.akasema mmh lakini una sauti nzuriii kweli nilijua naongea na katoto nikasema hee kwahiyo nilimtumia matusi.mtoto wa watu🤣🤣🤣
. Daah nikasema mie sio mtoto bwana nimemaliza mpaka  4m4 ujue akanambia  kwahiyo una miaka mingapi nikasema 17 akanambia  we bado mtoto bwana kumbe upo Under18 halafu mie nikakutumia vitu vya Kumi na nane plus (18+)  daaaah 🤣🤣
Nikamwambia bwana sio  mie mkubwaaa

Akanambia  umeolewa eeh?? Nikasema mmmh anioe nanii miee akasema kwa sauti hii Hope utakuwa mzuri zaidi ya hii sauti yako mie  nikachekaa si unajua wadada tukiwa tunasifiwa huwa nguvu zinaisha kabisaaaa😂😂😂 mwili unakuwa unatetemeka kwa Rahaaa

Basi tukaongea tukaongea tukaongeaaaa usiku hapo unaenda tu kaka ana story huyu sijawahi kuonaaa🤗 Mpaka ukaingia usiku sanaa mie nasinzia yaan akiongea najikuta sijasikia yote nilikuwa nimesinzia

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata