CONNECTION YA BALTASAR (07)

SEHEMU YA 07

 basi nikaendela na shuhuri huku namsubiri huyo mtu sijui ni mkaka au mbaba mie hata sijui  haikupita hata muda akanipigia simu nimuelekeze nilipo mana yupo tayari alikuwa amefika nikamwambia akanambia  basi ngoja nikupe boda umuelekeze nikasema poa

Mana yeye alikuwa yupo kituoni kabisa  na sie tulikuwa  ndani ndani huko uswahilini

Akanipigia nikamuelekeza huyo Boda haikupita muda akanipigia simu amefika ila amesimama mbali kidogo na kwenye  shuhuri

Sasa mie nikatafuta nafasi  ya kuchomoka sikutaka gazeti likauzwe kwa mama na waswahili buree mama anitoe kichwa akhaaa


  Nikatazama tazama watu wapo bize nikachomoka kama nipo vilee , nikamtext kumuuliza amevaa aje akanambia  we ukimuona mtu kavaa kama chizi chizi hivi ni mimi but Tshirt ni Blue  ndo mimi huyoo 😀😀 nikacheka kwa emoj moyoni nikasema ngoja nikutane na muokota makopo walai nitazimia kihele hele kitaniisha mieee kilanga choteee🤣🤣

Nikaanza kuwaza nikikutana na muokota makopo namkwepajee?? Nikasema mie sijitambulishi nikimuona kwa mbali yupo hovyo namkwepa shwaaa🤣🤣 mie mwenyewe  nilivyo pisi kalii aah halafu anizingue akhaa hata sitaki

Basi nikatembea kidogo  nikawaona watu wawili  mmoja boda na mwingine ni mkaka yupo pembeni ya Boda amevaa Tshirt ya Blue lakini anaonekana ni Expensive  hatari 🙄🙄 mpaka nikaogopa kumsogelea
. Nikawa  bado sijawafikia ila nikatoa simu kumpigia nisije bure kuchanganya na file 
   Akanambia  babyy ni mimii  jamaniiii “

🤣🤣🤣akaongea sauti ya kutia huruna ile na utani hapo hakupokea simu yaan alinambia kwa mdomo  nikawaza huyu kanijua mie jamani nilitaka kumpita mama niliona hata siendani nae

Basi nikasogea kwa aibu najichekesha chekesha akanambia  mambooooo
Mie nacheka  tu aibuu hatari nikajibu poa huku nimeinama chini

Akanambia  Waooh  mzuri kama ka tootoo 😀😀 nikacheka et waaohh so Cuteee😘 akachumu ile yas,  mbali yaani mwaah

   Mi naona aibu mana anaonekana ni mkubwa huyu miaka 30_36 Nilivyomkadilia hazidi hapo wala hapungui hapo , amevaa nguo nzurii mwenzangu  sio kama za vijana wa mtaani kwetu.halafu sasa ananukia huyooo  harufu nzurii imepoaaa mpaka rahaa

Sasa mie jamani nina jasho hatari na kile kigoma cha shuhirini ndio uwiii , lakini kwa Uzuri tu mashaallah  mie ni kazuri mno
Ndio mana mama yangu ananilinda na mapanga ningekuwa mwamba angeniachia ili nipate yeyote tu🤣🤣🤣maana angejua hapa mwanangu  hakuna mwanaume mwenye Tamaa kiasi hicho

  Sema mie mrembo hata shule nilikuwa  nasifika nilikuwa wa kwanza kwa urembo shule nzima lakini kichwani ndio sifurii kabisaa mie akili za shule Hata sikujaaliwa 😥😥😥😥😥😥

    Akanambia  nimefurahi kukuona sana sanaa Dina nikamwambia  usijali akanambia  twende basi tukale hata kidogo  mie nina njaaa nikasema wapii.? Akhaa mie siendi  akasema ooooh jamani  kwahiyo nife njaa ?

Nikamwambia walaa mie umeshaniona we nenda tu ,,,,,mmmmh vibaya hivyo Dina ujue  ….  hapana siku    ingine….linii?? ….sijui…. umeniahidi mwenyewe  si ndio… mie nikacheka hapo nikashindwa kujibu 

  Basi alinipigisha story  nyingii kaka anaongea huyuu🙌🙌🙌lakini haboi hata kidogo  anachekeshaa yaan una enjoy sio wale wanaume anaongea yeye kero unaona wewe akhaa

  Tulikaa hapo mpaka nilipoona shuhuri inakaribia kuisha nikaondoka akasikitikaaa et nimemshindisha njaa🤣🤣🤣jamaniii🙌🙌🙌

Mie nikaondoka zangu akanivuta mkono akanambia  Chukua basi hii utakunywa hata soda  weee nikamwambia akhaaa sitaki nilikataa hela yake hapo huku natembea sikutaka hata kusimama mwenzangu mbeleeee😟😜

Nikamuacha ananitazama kwa nyuma na kijora changu basi najizuia kutembea mana mie nikitembea kwa kujiachia huku nyuma utasema yanaanguka 😜😜Siwapangi Serious kabisa nikawa nabana miguu ili kuzuia mitikisiko ya makalio

  Sikugeuka nyuma mpaka nilipo sikia mlio wa piki piki unaondoka nikageuka ndiio inaishiaa nikabaki nakumbuka visa vya huyu kaka nacheka  tu mwenyewe 

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata