
SEHEMU YA 08
Shuhuri ikaisha tukabeba mke , muoaji Alikuwa wa huko huko mtaani kwetu kwahiyo harusi tulikuwa tunapeleka mtaani kwetu
Kukawa na ngoma usiku zinakesha unajua mie ni dada wa mtaa na mama anajua vizuri mie kwa shuhuri sijambo kwahiyo hakunizuia kabisa 🤗🤗🤗🤗
Akanipigia simu mussa kwenye ile namba aliyonipigia ile mchana kuacha ile mama aliibrock
“”Babyy ushalala??” Akaniuliza yaan mie nacheka tu 😀😀
“Nilale wapi nipo jirani hapa kuna ngoma”
“Mmm mama hakukatazi ??”
“Ameniruhusu “
“Naweza kuja kukuona “
Mmmhhhh🤗🤗🤗🤗Nikamuuliza unaweza huku moyoni natamani ajee🤣🤣 yaan tangu nimuone ile mchana oiii nashindwa kumsahau natamani nimuone tena na tenaaa
Akanambia we sema su mie dakika kumi nyingi nipo hapo😀😀 nikasema Su akanambia kwahiyo ndio Ameniruhusu hivyoo?? Nikamwambia Zisizidi dakika Kumi zikizidi usije
Akasema oyyyyy😀😀😀 usitake nipae we bint nipunguzie tatu sawa nipo hapo
Akakata simu mie nikabaki nacheka tu yaan huyu kaka mh🤗🤗🤗🤗🤗
Huwezi amini nilikuwa natizama tu njia huyu mtu anakuja au hadi nahesabu dakika , muda unaenda mtu hata haji nikawa natamani kumtext 😀😀😀
Moyo unanambia we mtoto shika adabu yako khaa😫😫😫
Karibu li saa zima likapita nakwambia nilikasirika et 😀😀kama mpumbavu nikatamani kumtumia li sms usije tu lakini sina hayo mazoea nae sasaaa
Nimekaribia kukata tamaa ndio simu inaita akanambia nipo karibu nielekeze nikamuelekeza mtaani kwetu nikamwambia sehemu ya kusubiri asije huku maama asije pelekewa umbea buree😜
Nikaenda nikawakuta wawili yeye amevaa Track kulikuwa na baridi baridi hiyo siku , na mwenzie amevaa Kawaida kwanza hata sikumfatilia mie
Akanambia nimechelewa eeh ?? Mie nikacheka aibuu kama zoteee 🙈 nipo tu nainama inama akanambia yule aliekuja nae sule huyu ndio Dina nilikwambiaa
Yule mwenzie akanambia et nashukuru kukufahamu shemu
🙄🙄heee Shemmmmmm??? Nilishtukaaa musa akacheka akasema embu acha utani bwana Sulee
Akanambia huyu ndugu yangu anapenda sana utani achana nae , nikacheka
Akanambia Dina huyu ndugu yangu anaitwa Suleiman ni mdogo wangu kabisaaa nimemwambia anisindikize mana huku mitaa ya watu naogopa nisije kuvunjwa mguu buree
Kama kawaida yangu nacheka tu ,yule sule akasema Bro nakuja mara moja ngoja nicheck check mazingira
Kumbe ndio anatuacha hivyo wawili ila mwanzo sikuwa nimeelewa kabisaaa🤗🤗🤗🤗 alivyoondoka tu
Mussa akanishika mikono yangu mie hata kuitoa siwezi nilijikuta kama ndezi akinipeleka hivi nipo naenda tu ujanja ule kwa wanaume ninao kuwa nao leo sina pyeeee kimekwishaa
“Dina we ni mrembo sanaa hivi unajijua”
🙈🙈🙈🙈”Hapana”
“Boyfriend wako ndio hajawahi kukuambia kwani??”
Huyu kaka mnafika et boyfriend wangu hapo yupo ananipapasa mikono yangu🙈🙈 hako ka fillings najisikia sijawahi jisikia kabisaaa
Nikamwambia mie sina Boyfriend 🤗🤗🤗akanambia haya Ex wako
Nikasema mie sina Ex…. mmmh kwahiyi hujawahi jiingiza kwenye mahusiano….ndio…..aaaah ya kweli hayo Dina….. ndio… kwahiyo wewe badooo mwalii eeh…….🙈🙈mi sijui…..embu nitazame kama unasema kweli …..🙈🙈Sitaki bwanaa….embu nitazameeeee….
Ananilazimisha kumtazama bado ananivuta vuta ile nageuza Tu uso upande wake akani kiss😘🥰🥰🥰🥰Mdomoni ile ya pap pap😅😅😅 haina kuganda lakini lips zake zikabaki kwenye lips zangu nikawa nasikia kiubaridi flan hivii ,,,,mama nae si ndio wacha apige simu aliogopa hatari akanambia weee hajatuona kweli mie natetemekaaa hata sikumjibu nilikimbia mbio z hatari
Sikupokea simu ya mama nikaenda kwenye ngoma kwanza kumtazama sikumkuta nikaenda nyumbani natetemeka
Nikamkuta hana hata habar anataka zake kulala akanambia haya muda wa ngoma umeisha funga mlango kulala huko
Nikasema sawa nikampita kwenda chumbani kwangu akaniita we Dina nikaitika kwa kujiamini abee mama akanambia mbona unanikia hivyo umetoa wapi hayo marashii??
All Rights Reserved © | Simulizi TAMU