
SEHEMU YA 11
Sec kama mbili tu geti likafunguliwa bwana akatoka mussa amevaa Pensi na vest ana mwili wa kume mashaallah 🥰🥰🥰🥰
Nikasema aibuu yaan linatoka Lodge limevaa hivi kwahiyo watu wanajua amevua kabisa kabisa😔😔😔😔 niliona aibu akampa hela yule kaka wa piki piki akaondoka akanambia Haya njoo mrembo
Nikasema mie hata siingii ndani nawahi nyumbani 😫😫
Akasema weee yaan mie nimepika kabisa halafu unataka kwenda kwahiyo ale nani ??, nikasema mmh we vipii yaan Lodge unapika vipi wakati hapa hata jiko hakuna
Akacheka kweli akanambia wapi lodge nikamwambia si hapa au😔😔😔nikajifanya kununaa 🤣🤣🤣alicheka akasema siwezi kufanya huo upuuzi baby embu njoo
Akanishika mkono basi natembea kwa kuvuta hatua et sitaki kuingia ndani wakati moyo unataka 🤣🤣🤣
Akaniinua juu juu🤣🤣 nikawa napiga miguu bwana nishushe nishushe naona aibuu hatari akarudisha geti kwa mguu wake akanipeleka mpaka sebleni
Kumbe sio Lodge bwana ilikuwa ni nyumba yaan pale sebleni kumepoaa🤔🤔pazurii bonge wa seblee aisee 🙌🙌🙌
Akaniweka kwenye kochi akani kiss mdomoni 😘😘
Hata sikumbuki kama nilitongozwa🤣🤣🤣🤣🤣lakini shetani amenipitia gafla hivyoo
Akanambia mhuu nikupe kinywaji gani?? Nikasema chochote akanambia humu kwangu hakuna chochote kuna soda wine na vingine vingine
Nikacheka kwa aibu nikamwambia basi nichagulie akaniletea sijui ndio wine sijawahi hata kunywa
Akaweka kwenye glass nae akaweka
“Karibu hapa ndio tumejihifadhi kwenye kibanda chetu”
Et kibanda 🙌🙌😫😫 yaan ni mjengo mjengo wa hajaa
Nikatabasam tu huku nakunywa nyie kunywa wine mie hata sijui 🤣🤣daah 🙌🙌🙌
Akanisogelea karibu na nilipo keti akanishika mkono wangu yaan hapa na hapa ananukia huyo amepoaa
“Unajua Dina we kama malaika,Kuna muda Nafikiri kama umetoroka mawinguni”
🤣🤣🤣🤣Daah yaan mie nilijikuta kweli nimekuwa malaika huyu kaka akanakumbatia mie natetemeka nahema hatari
“Dinna” akaniita kwa sauti ya chinii kama anatetemeka flani mmh
“Mmmh”
🤣🤣🤣nilishindwa hata kusema abee akanambia unaniamini nikasema kidogo akanitoa pale kifuani kwake akasema Why unaniamini kidogo mmh why
Nikamwambia mie sikujui akasema tujuane leo basi eeh 🥰🥰akanikiss kwa mdomo ile Deeply 😜😜Ndimi kwa ndimi 🙈🙈🙈🙈🙈🙈🙈
Mie nikabaki kimyaa mwenzangu akaniramba rambaaa🤣🤣 mwisho akaanza kunipapasa vinyonyo mara kwa bibiii mmmh kuna kitu kichwani kikanambia we makalio unaliwa hapooo
Nikataka kumsukua wee likichwa hata halitoki kaning’ang’ania tu nikasukuma tena hatoki sasa na mie nikaanza kusikia raha😜😜
Nikasahau mama atanikagua na hiyo ndio kawaida yake
Mimi jamani sio mara** lakini 🙈🙈nikaliwa kwa kochi kabisaa ilikuwa mara yangu ya kwanza lakini sikuumia zaidi nilienjoy sanaaaaa🥰🥰🥰
“OMG!!! Dinna I can’t believe ,yaan yaan oooh hata sijui niseme ninii!!”
Yaan alivyoongea hivyo ndio nikakumbuka sasa maneno ya mama yangu nilianza kuliaa
Hapo ndio ukisikia majuto ni mjukuu mie ndio nayaona sasaaa ,
Akanambia unalia nini Dinaa nikasema mama yangu ataniuwa endapo akijua hili mama ataniuwa mie nitafanya niniii??
Akasema mungu wanguuu dinaa nisamehe mke wangu Nisamehe 🙏🙏🙏
Nilitamani hata nimpige mangumi et et samahaniii?? Yaan Samahani kirahisi hivyoo enhee
Nililia hatari hatariii aliomba msamaha mpaka akakoma ,nimekuja kunyamaza karibu jioni kabisaa
Akaniletea chakula na nilikuwa na njaa hatar nilikula kama nafukia
Baada ya kula akanambia
“Dinna naomba nikuombe msamaha wa dhati kabisa kutoka moyoni kwa nilichofanya haikuwa ndani ya mipango yangu lakini nimejikuta nashindwa kabisa kujizuiaa”
“Lakini mimi umeshaniharibu”
“I know but sorry”
Khaa niliskia hasiraaa sory sory sory ya Ny***ko😫😫😫😫😫 mpuuzi kweli
“Hiyo Sorry yako ndio inasaidia nini sasaa??” Nilijikuta nimemjibu kwa hasira mjinga huyu badala hata anibembeleze basi hata anidanganye Vyovyote anavyojua mie naona yaan hachukulii kiuzito kabisa hili swala
“Noo!! Unajua Dinna yaan aah , embu nambie nikupe nini iwe kama zawadi au nambie nifanye niniii??”
“Mama yangu alinambia atakae chukua usichana wangu ni mume wangu kwahiyo uwe mume wangu”
“Dinna Noo ,Siwezi Dinna!!” 🙄😡🙄🙄🙄🙄🙄🙄
“Niniii weweeeee!!!!! ?????” 😭😭😭😭
All Rights Reserved © | Simulizi TAMU