INGIZA 08 🔞
Tulipoishia
Nilimgeuzia binti macho nikamuuliza kwa kumnong’oneza “wewe ni mwanafunzi” akatikisa kichwa kusema hapana maana nilijua mwanafunzi ndo kesi mbaya na nyingine “Umeolewa” niliuliza binti akatikisa kichwa kwa ishara ya kukubali. Nikajua tayari nikaanza kutetemeka kwa uogaa siku moja tu nimekaa nakutana na majanga
Endelea
“Fungua mlango weweee” sauti ya ukali ilitoka kwa nguvu ikabidi nimwambie binti avae nguo haraka haraka naye akanitii bila shuruti na mimi nikavaa
Tulifanya haraka haraka lakini kabla hatujamaliza vizuri kuvaa nilisikia mlango umepigwa kwa hasira kali akazama mmoja wa mgambo kule ndani ya chumba kile
Ilibidi nijifanye nimemaind
“Oya baabu vipi mbona unaharibu kazi za watu hapa tupo kazini mzee” niliongea akaja akanikwida shingoni kwa hasira halafu akanivuta hadi nje ndipo tulipokuta na watu kibao pamoja na mwanafunzi mmoja aliyekuwa amesimama pale akilia sana wa kike
“Zuwena ndo huyu?” walimuuliza yule mwanafunzi
“Hapana sio huyo ni mwingine” alisema mwanafunzi huyo
“Anaitwa nani?” aliuliza mgambo
“Anaitwa Nickson” alijibu binti ndipo nikagundua wanamtafuta kaka yangu nikajawa na wasiwasi
“una uhakika? Anafanya kazi hapa?” aliuliza mgambo
“ndio” alijibu binti na mimi nikajawa na kiburi
“Niachie kwenye shingo yangu mzee” niliongea kwa hasira ndipo akaniachia na kwenda karibu na yule binti akamshika mkono na kumvuta kwa nguvu
“Tuambie kwake ni wapi?” aliuliza
“Hukoo” walianza kuongozana kuelekea geto kwa kaka mimi sikuelewa kitu kinachoendelea.
Nilirudi ndani na kumkuta binti ameketi pale mezani anawaza sana “Wametukatia uhondo” niliongea na kutabasamu na kumgusa binti kifuani kwenye manyonyo mara SMS ikaingia kwenye simu yangu nikaifungua na kusoma
“Oy vipi kuna watu wamekuja hapo?” ilikuwa SMS kutoka kwa Nick
“Yaap boss, vipi tena mbona mwanafunzi wamekuja naye?” nilihoji
“Aah kana mimba yangu mzee sasa naona bifu limeshakuwa kubwa mimi sirudi tena huko”
“Upo kabuku?” niliuliza
“Ah wapi nilikuzingua, niko kwenye gari naelekea Moro mzee, bifu likitulia nitaibuka hapo, lakini mama mwenye salon hiyo atakucheki maana nimeshampa taarifa”
“Ok powa powa” nilijibu kwa furaha baada ya kugundua ameniachia uwanja.
“Baby tuendelee au?” nilimuuliza Vida
“Hapana ngoja niende home kwanza mume wangu asiwe karudi akaniua bure” alisema binti
“Poa mi nipo nipo hapa”
Vida alitoka nje ya chumba kile bila kunipa hata mia halafu akasepa, mi sikujali maana nilikuwa nimeshapata gemu hivyo nafsi iliridhia kabisa kwa utamu wa binti.
Niliketi kwenye kiti cha kuzunguka na kuanza kutafakari masuala mbalimbali, nilikuwa natamani sana kujua kunyoa ili saluni iwe ya kwangu moja kwa moja maana broo ashakimbia bifu mimi sijali
Niliingia YouTube na kuanza kutazama tutorials za kunyoa nywele za wanaume, wakati naendelea kuangalia niliona Erica ameingia pale saluni akiwa analia, nikashtuka nikajua labda vida ameshamwambia kwamba nimebomoa
“Erica vipi tena jamani” niliuliza
“Eti mama ananinyima nisije kwako mpenzi” alisema na kupiga magoti akakilaza kichwa chake kwenye mapaja yangu huki mkono akiuegesha kwenye plaizi ya suruali yangu akaanza kuipapasa huku akilia
“Kwanini hataki sasa” niliuliza huku mashine ikiwa inasimama mdogo mdogo kutokana na jinsi alivyokuwa akiishika shika ndipo akatulia kimya na kuendelea kuigusa gusa bila kunijibu
Ghafla mama yake yule kibonge alitokea akiwa ameshilia lirungu, na kuingia salon akampiga mgongoi “Wewe malaya umekuja tena huki mshenzi wewe?” mama aliuliza kwa hasira
Ilibidi Erica asimame akatoka nduki mama naye yuko hapo nyuma halafu mimi nikainuka kwenye kiti na kuchungulia
Niliona Erica anaishia kwenye kona lakini mama yake alikuwa anarudi pale salon na kutupa lifimbo chini halafu akanifuata
“Hivi wewe una nini kijana mbona binti yangu anakung’ang’ania amegundua kitu gani kwako” aliniuliza na kunitazama kwenye suruali bado kulikuwa kumetuna
“mama mbona mi kama siwaelewi hivi jamani” niliuliza kama vile sijui kitu
Yule mama aliingia moja kwa moja hadi chumba cha kufanyia massage akapanda juu ya meza maalum na kuniita
“Embu njoo unionyeshe ulichomfanya hadi akapagawa ni nini maana nashindwa kuelewa” alisema ikabidi niogope”
Nilimtazama na unene wote ule nikajiuliza je ntaweza kweli? tena nimetoka kufanya kimoja muda sio mrefu mi na Vida.
Nilimsogelea chumbani nikamkuta amejilaza kifudi fudi akiwa na nguo zake zote alizokuja nazo ikabidi nitabasamu kwa dharau maana nilijua hajawahi kwenda massage.
Niliusukuma mlango taratibu ili nifunge kumbe lile limgambo lilikuwa limeuvunja nikaulazimishia hivyo hivyo na kuweka hapo kiti cha kuzuia
“Sasa kwani mama mbona hujavua nguo?” nilimuuliza
“Ndo univue wewe, kwanza ni sh ngapi massage” aliniuliza
“10,000/=” nilijibu
“Ok nivue kwa 5000 nikupe 15000” aliniambia nikaona hizo ndo fursa nikamsogelea nimguse ili nivue nikashika blauzi yake kwenye kiuno niivute nikasikia “Mmmmh ssssh”
“nini sasa au hutaki nikuvue” nilisema
“Hamna mikono yako inateleza hafu ya baridi jamani mwanangu” aliniambia…….USIKOSE KIFUATACHO
All Rights Reserved © | Simulizi TAMU