INGIZA 15 🔞
Mara ghafla akatua Mage ndani ya chumba kile na kusimama sebuleni “samahani mume wangu nimekuwekea chakula mezani, laki……” aliongea kwa mkato baada ya kuniona nikiwa napapasana na mtoto.
Niliogopa sana kwa sababu nilikuwa sijui kama ni Mage ndo kaniwekea chakula pale mezani, nilishtuka mpaka nikamsukuma yule demu akainuka na kumtazama Mage aliyekuwa amesima huku akifunga kanga yake kibwebwe na sura ikionesha kwamba mtoto huyo amefura
Yule binti aliyekuwa amenikalia aliinuka na kumtazama Mage kwa uoga “shikamoo dada” alisema binti huyo huku akilishusha dera lake vizuri lililokuwa limekunjamana
“we kiroboto” alisema na Mage kumsogelea binti yule akamvuta kwa nguvu na kutaka kumpiga ngumi.
Ilibidi niinuke na kwenda kuwaamua “niaaache please nikonyeshe dawa ya hiki kimwanamke” alisema Mage ikabidi mi nimshike yule mwanamke mwingine ili asipigwe maana alionekana dhaifu kwa Mage
“Zai sasa kwanini unataka kumpiga mwanamke mwenzako jamani” niliuliza kwa jina la Zai maana mwanzo aliniambia kwamba anaitwa Zai lakini nimesikia watu wakimuita Mage nikajua lazima alikuwa amenidanganya jina
“wewe unamjua huyu demu au unataka kila mwanamke upite naye tu?” aliniuliza swali nikakaa kimya “mwanaharamu huyu alikuwa ananuka mikojo juzi tu leo anataka kushindana na mimi, halafu asikie sio kisa katembea na Nick akadhani na wewe nitakuachia chansi, wewe ni mume wangu lazima unioe penda usipende” alisema Mage maneno yaliyonifanya nikajua yule demu ni kichaa
Alituparamia mimi na yule msichana ikabidi wote niwashike kwa nguvu ili wasipigane. “Mage sikiliza, mimi sitaki ugomvi”
“kama hutaki ugomvi ulitaka kumgonga wa nini kama sio umalaya unataka kuleta” alisema binti yule halafu nikamuachia yule mwenzake na kupiga magoti chini huku nikijua yeye ndo wa muhimu ndio maana ameniletea chakula pale ndani
“naomba unisamehe Mage ni tamaa tu ila mimi nakupenda sana” nilisema ka hisia na kumshika miguuni mtoto huyo aitwaye Mage
Mage alimnyooshea binti yule kidole “unasikia wewe mwanaharamu mimi ninapendwa kuliko wewe, haya toka nje utuachie nyumba yetu tuinjoy” alisema mage na yule binti alimtii maana ni kama vile alimuogopa mtoto yule halafu Mage aliniinua na kunikumbatia
“beby” alisema mtoto yule na mimi nikamuitika huku nikimzungushia mikono mgongoni “wenzangu wote wameshaolewa yaani mimi ninataka niolewe nimebaki peke yangu, naomba unioe nitakupa chochote unachotaka” alisema kwa huruma masikini ya Mungu mtoto yule alikuwa na stress za kuolewa
Sikupenda kumjibu chochote ila tu nilimvuta karibu yangu nikaketi naye halafu nikampaka huku nikiivuta meza yenye chakula nikaanza kula huku nikimsifia mtoto wa kike yule kwa mapishi yake bora
Alinishika shika halafu nikaanza kumlisha kijiko baada ya kijiko “baby naomba usinisaliti tena” alisema binti mimi nikamuangalia kwa huruma
“sitoweza kukusaliti tena naomba unisamehe ninakupenda”
“kweli baby hauna mwanamke mwingine zaidi yangu?” aliniuliza
“kweli sina mke wangu, ninakupenda wewe tu my darling penzi lako limekuwa kivutio kikubwa kwangu sina uwezo wa kulikwepa na tangu nije tanga sijawahi kulala na demu mwingine zaidi yao kipenzi” nilimdanganya
Jamani waooo, ninakupenda sana” alisema mtoto yule kwa furaha akanibusu halafu akachukua ndizi iliyokuwa kwenye wali, akaimenya na kuanza kuinyonya kama vile anainyonya tunguli ya mwaume. Nilimtazama alikuwa amefumba macho huku anainyonya ile ndizi kwa hisia, nikajua lazima atakuwa na hamu mtoto yule. Nilianza kudindisha nna kuanza kumpapasa mtoto wa kike yule
Alijitoa katika mapaja yangu akashuka chini na kupiga magoti halafu alivyo akaifungua suruali yangu na kuitoa ndizi yangu ya nyama akaitazama na kuishika shika halafu mimi nikajifanya sijali, nikiendelea kula
Aliizamisha mdomoni na kuinyonya kama ananyonya bomba la maji hakika nilisikia raha, akaichia ikalia mmmwah
“ooooh shit” nilijikuta nimechanganyikiwa halafu nikaacha kula na kumshika kichwa ili airudishe tena mdomoni
“bhaan…..we endelea kula bana beiby” aliniambia huku akiutoka mkono wangu kichwani mwake.
Nilijaribu kuendelea kula lakini akili zote za kichwa cha juu ziliamia kwenye hiki kichwa cha chini, nilisikia ameizamisha tena mdomoni mwake halafu akaanza kuhangaika nayo mdomoni mimi nikasema ooooh shit kwa utamu uliokuwa umepitiliza
Round hii hakuiachia aliendelea kuimung’unya mimi nikazidi kupagawa bila kujua nifanye nini maana sio kwa utamu niliyokuwa nikiusikia kutoka kwa mtoto huyo wa kike alikuwa fundi hasa, nilikuwa nikitafakari kwanini alikuwa haolewi lakini wakati ana maujuzi ya hali ya juu yaliyokuwa yananizuia mimi kurudi mtwara.
Niliacha kula nikawa nampapasa yeye akiinyonya na kuibana na mdomo huku akifanya kama vile anaing’ata, ilinipa raha hasa, nikajikuta napiga vikelele vya ajabu ajabu halafu nikamvuta kwa nguvu akakataa kuitoa mdomoni
Alinitesa sana siku ile kwani hakupenda kuiachia, mda wote ulimi wake ulikuwa ukipita juu ya kichwa cha mashine yangu na kuutekenya nikawa napata raha sio za nchi hii.
Alivyokuwa fundi alikuwa akinishika shika katika kiuno changu, kitendo kiilichofanya nianza kukata viuno huku ikiwa bado ipo mdomoni, nilikatika sana na kusikia raha za ajabu lakini hakuiachia, nilishuhudia zikija taratibu nikamshika kichwa ili nimtoe hapo kwenye mashine yangu ili nisijemkojolea mdomoni lakini kamwe hakuniruhusu niiitoe mdomoni
“baby bhan, aash mimi nakojoa mdomoni itoe uuuuh” nilisema kwa hisia huku nikichanganyikiwa
Mikono yake yote miwili ilikuwa imeshikilia kiuno changu, alikuwa akikipapasa kiuno nikazidi kusikia raha na kukatika mboo yote ikawa inaingia mdomoni mwa binti mpaka mwishowe nikajikuta nimekojoa mdomoni kule ndani kabisa
Mtoto wa kitanga yule hakukubali kuuachia mtarimbo wangu, aliendelea kuunyonya hivyohivyo na shahawa zake mi nikabaki nimelegea kabisa sina kitu cha kufanya nimeshafika kileleni
Aliilamba lamba halafu mwisho wa siku akaiachia na kuifuta kwa khanga yake, akairudisha ndani ya suruali yangu halafu akafungazipu na kuinuka akaketi kwenye sofa huku akinitazama kwa aibu
Nilishindwa hata kumuongelesha, nilibaki nikimshangaa tu maana sikuwahi kupata mapenzi matamu kiasi hicho tangu nizaliwe
“mume wangu” aliniita mwanamke huyo huku akitabasamu, mimi nilimuangalia tu usoni “nimefurahi kuzionja ni tamu” aliniambia mimi nikajilaza vizuri kwenye sofa
“baby asante ni tamu pia kunyonywa na wewe” nilimuambia nikaona amenilalia kwenye bega
“naomba uendelee kula maana kinachofata ni shughuli nzito”
“dah, kwani dada yako leo hayupo?” nilimuuliza maana dada yake aliniletea kwere siku moja nilipokuwa na binti bafuni tukidinyana
“hayupo” aliniambia
Niliendelea kula chakula alichokuwa ameniletea mtoto wa kike huyo aliyekuwa anataka nimuoe, mpaka nikakimaliza chote, nilikuwa nimeshiba hatari, nilitoka na kwenda kutafuta maji nikasukutua vizuri halafu nikawatazama wadada waliokuwa barazani wote wakaniangalia kwa kushangaa
Mi sikujali, nilirudi zangu chumbani nikaketi pembeni mwa mtoto wa kike, niliona amenisukuma yule binti bila taarifa nkajikuta nimelala na yeye amejilaza juu yangu huku akinyonya masikio yangu na kuniingizia ulimi wake sikioni akawa ananitekenya tekenya
Niliishika khanga yake nikaitupa kule halafu akabaki kama alivyozaliwa, akajipanua miguu na kunilaza vizuri huku akikatikia usawa wa mashine yangu lakini kumbuka nilikuwa nimevaa nguo
Ghafla simu yangu iliita kwa nguvu halafu alikuwa amenilalia kifuani, sikujali niliendelea kumpapasa mtoto wa kike sehemu zake za mwili mpaka simu ikakatika,
Uume wangu ulisimama, nikawa tayari nataka nikamuonyeshe maujuzi katika chumba kinachofata lakini simu iliita kwa mara nyingine ndipo binti alipomaindi
“ni nani huyo anayekusumbua” alisema Mage
“sijui” nilisema
Mtoto wa kike hakuweza kuvumilia alishuka kifuani mwangu na kwenda kuitazama simu kule chaji, akakuta namba inayopiga nimeisevu Vida, akashtuka halafu akanitazama
“huyu vida ni nani?” aliniuliza mim nikakaa kimya “nakuuliza usikute ni yule Vida anayependwa kufi…wa nyuma” alisema mimi naye nikashtuka kidogo
“hapana sio yeye” nilisema
“ahaa ngoja nipokee” alisema binti yule nikashangaa kweli amepokea halafu akaweka laudi spika
“jamani mume wangu mbona umenisusa hivyo uko wapi nije maana mku….unawasha sana unifanyie tena kama juzi” ilitoka sauti ya Vida kwenye simu nilishtuka nikasema kwa hasira za mage leo nimekufa…….ITAENDELEA
All Rights Reserved © | Simulizi TAMU