INGIZA (18)

INGIZA 18 🔞

Kiukweli kwa namna nilivyokuwa nimepamiss instagram, facebook na WhatsApp sikujua nimepanda saa ngapi kwenye pikipiki naelekea Kabuku kununuliwa simu na huyo mmama ambaye ashawahi kunipa utamu mara moja, sikuwa na mpango wa kwenda kufanya mambo mengine kabisa, ila nilijiamini maana mumewe nilijua nimeshamuacha kule salon hivyo hamna shida kabisa

Ilichukuwa muda mrefu kidogo kufika kule Kabuku maana kulikuwa mbali kidogo kutoka maeneo niliyokuwa nikiishi. Lakini yote tisa, kumi nilifika salama tena nikiwa ninafurahia maisha ya tanga kulivyopambika kwa warembo wa kila aina wakikatiza pembeni yangu

“hallo, nimeshafika Kabuku wewe uko wapi?” nilimuulzia mama yule baada ya kumpigia simu

“ah nisubiri hapo dakika tatu tu nije nikuchukuwe” alinijibu

“ok powa” nilimjibu kwa furaha huku nikiwa naangalia mdada mmoja aliyekuwa anapita pale akiwa amevaa kanga moko sijui hata alikuwa anaenda wapi “haiiiii” nilimsalimia

“hi, mambo” aliniambia na kutabasamu ndipo nilipofanikiwa kuuona mwanya wake

“pouwa mrembo” nilimjibu nikatazama kalio linapishana kabisa yaani

Haikupita hata dakika tatu, nilimuona madam Zai akiwa anakuja pale nilipokuwa, alikuwa amefuatana na mtoto mdogo wa kiume ambaye alionekana mwenye umri wa miaka 4 kushuka chini

“madam shikamoo” nilimsalimia kwa nidhamu kidogo

“mambo” badala aitikie salamu yangu yeye alinibandika yak wake juu juu halafu akamuangalia mtoto
“safi sister” nilisema “huyo ni mtoto wako nini?” niliuliza

“yaaah yani ni mboni yangu sina mwingine kabisa”

“oh toto mambo” nilisema na kumbeba mtoto yule juu “unaitwa nani?” nilimuuliza

“kachimu” aliniambia

“nini???” nilimuuliza kwa mshangao baada ya kushindwa kuelewa alinitajia jina gani

“amesema anaitwa Kassim” Madam alidakia

“oooh sawa, nimeelewa” nilisema na kumuweka chini

Madam Zai aliingiza mkono kwenye ziwa lake na kutoa kitita cha pesa, alinikabidhi “shika hii nenda kanunue simu hapo dukani ya laki mbili, mimi siendi huko watakuja kusema nahonga vibenten” aliniambia

“ok ma asante” nilimjibu kwa furaha na kuondoka huku moyo ukiwa hauamini kile nilichokuwa nakifanya na kukiona na kukisikia

Nilienda hadi katika duka alilonielekeza halafu nikaongea na muuzaji anipe simu yoyote ya laki na nusu ili nikibaki na elfu hamsini iwe ya kwenda kula

Mtaalam alinitolea kasimu kadogo aina ya Samsung J1 nikakaangalia nikakata tamaa nacho halafu nikakaacha nikamwambia anipe tu tecno W3 kama niliyokuwa nayo.

Alinikabidhi nikampa hela yake halafu nikaondoka na kwenda moja kwa moja hadi pale mama yule alipokuwa ananisubiri.

“embu simu yako” aliniambia ndipo nikamtolea na kumuonyesha akaitazama halafu akatikisa kichwa “hapana hii siitaki nenda mwambie akupe infinix ya laki mbili kama hii ya kwangu bwana, shika nenda nayo” alinipa mtihani mipango yangu yote ikafeli

Niliondoka na kwenda moja kwa moja mpaka pale dukani “asee broo, mtu aliyenituma simu ameikataa, anataka kama hii” nilimuambia na kumkabidhi zile simu mbili

“hii hapa ni laki mbili sasa” aliniambia

“daaah sasa kanipa laki na themanini anaomba umsave” nilisema

“ok powa” alisema

Nilimkabidhi pesa iliyokuwa imebaki nikamkabidhi naye akafunguka na kunitolea simu nyingine nikaicheki ilikuwa nzuri sana, hivyo nikabaki na 20000 mfukoni, nikawa nimeshaponea chupuchupu

Nilirudi tena kwa madam na kumshukuru sana akaniambia haina shida.

Sasa katika akili yangu nilikuwa nataka niondoke nirudi zangu mkata maana kilichonileta kilikuwa kimekamilika.

“mimi niondoke sasa madam, nafikiri tutawasiliana” nilimuambia

“hapana Bonny kwa kweli ulivyosema unakuja nilikuandalia chakula kizuri sana nyumbani naona tuende tukale maana kiliwekwa kwa ajili yako” aliniambia nikaogopa maana yule ni mke wa mtu
“weee unataka nife?” nilimuuliza

“ufe kwa nini sasa?”

“mumeo akinikuta kwako nafikiri ni kesi kubwa mno ambayo itanipeleka pabaya au kufa kabisa” nilimuambia

“mh, hawezi kuja kabisa muda huu, kwanza yule ni Malaya yaani pale anapofanya massage najua atawala sana leo yaani acha” aliniambia, kweli nilielewa maana hata asubuhi nilimkuta akifanya mambo na Vida

“daaah unanipa mtihani” nilimuambia

“usiogope wewe twende hamna shida kweli unaenda kula tu naomba usinikatili mpenzi” aliniambia na mimi nikajikuta nimelainik nikaongozana naye mpaka tulipofika kwake.

Ilikuwa ni nyumba nzuri sana tena ya kung’aa, juu alipiga paa la kisasa lililozungukwa na bati la msauzi

“hivi wewe unafanya kazi gani?” nilimuuliza

“hahaha, mimi ninafanya kazi TRA” Alinijibu na kufungua geti tukazama ndani.

Tulifika sebuleni nikaketi huku nikisubiri alichoniitia halafu nikachukua simu yangu nikaanza kuiset maana ilikuwa mpya, yeye na mtoto walikuwa kwenye chumba kingine tofauti na kile, walikaa kama dakika tatu hivi, ndipo nikaona ameleta sahani na machungwa mezani halafu akarudi ndani akakaa dakika moja ambapo alirudi na hotpot mbili, akaziweka kwenye sehemu ya kulia chakula

Aliketi pale na kumuita mtoto wake kwa nguvu “we Kassim……kassim njoo” aliita kwa nguvu halafu akanigeukia huku nikiwa nakausha kwamba niko bize na simu kumbe njaa inaniua na akili yangu ilikuwa yote kwenye kula

Kassim alikuja pale sebuleni, niliona mama yake ameinuka akampakulia ubwabwa, akamuewekea nyama na kipande cha chungwa halafu akanitazama
“karibu ni muda wa kula sasa achana na simu” aliniambia nikavunga kama vile sitaki.

Alinifuata pale nilipokuwa akaninyang’anya ile simu na kuiweka pembeni halafu akanivuta nikainuka tukaenda wote mezani na kunipakulia chakula, aisee aliniwekea nyama nyingi, nikapenda sana maana ni mud asana nilikuwa sijala nyama

Alipakuwa chakula chake na yeye akaanza kula, tulikula weeeeee nikaona ameweka nyama mdomoni halafu akanisogezea mdomo na mimi nikapokea na kuitafuna halafu akanibusu mdomoni.

Tulikula pole pole kwa muda mrefu hadi Kassim alimaliza kabla yetu akaenda kulala kwenye sofa huku akionekana kulegea.

Mama yake aliinuka akaenda chumbani akatoka na noti ya shilingi buku “Toto” alimuita mtoto wake “nenda kanywe choda ee” alimuambia Kassim ndipo alipoipokea akatoka nduki na kwenda moja moja kwa moja nje, alikuwa anaenda kutafuta soda

Mwanamke huyo alitoka nje akalifunga geti halafu akarudi moja kwa moja na kuhamisha vyombo pale mezani akaingia navyo chumbani halafu akakaa kwa dakika kama saba au nane hivi, mimi nikabaki nachezea simu yangu aliyoninunulia

Ghafla nikiwa pale niliona amezama pale chumbani akiwa amevaa khanga, mwili wote ulionekana kung’aa kwa kupakwa mafuta, mimi sikuelewa, alienda hadi kwenye sub-woofer yake na kuwasha muziki akaweka nyimbo ile ile aliyokuwa akiipenda ya Hainaga ushemeji

Ilipokuwa ikianza alikuja mbele yangu akajiinamisha na khanga yake halafu akaanza kukatika kama sekunde kumi hivi huku akicheka cheka kimahaba na kung’ata ng’ata mdomo kwa hisia, nilimtazama tu

Alifungua ile khanga na kuitupa chini, macho yangu kidogo yapofuke maana nilishuhudia kalio kubwa lenye mvuto likiwa uchi kabisa,lilikuwa limepakwa mafuta likaloa kabisa, sijui ni mafuta ya aina gani yale nahisi ni yale ya massae, kitobo kilionekana cha kwanza juu na kingine kwa chini kikiwa kimepakwa mafuta kikaloa.

Alianza kulizungusha kalio lile kama feni, mara tukasikia geti linagongwa kwa nguvu huku sauti ikiita “mamaa maamaa”

“ni nani huyo?” niliuliza

“ni Kassim achana naye akacheze na wenzake” alinijibu na kuendelea kuyarudi vibaya sana nikasema mh simuachi lazima nimkunjue vizuri maana sio kwa mvuto ule.

Niliinuka taratibu na kumsogelea halafu nikalipapasa lile kalio halafu nikashusha suruali yangu chini na kuilengesha mashine kwenye kitumbu cha mwanamke huyo

Nilikishika kiuno na kuizamisha mpaka mwisho, halafu nikaichomoa na kuipiga piga juu ya makalio ikiwa imelowa tepe tepe, alibaki akihema tu,

Niliingiza tena kwa mara ya pili nikasikia amehema kwa nguvu, haaah aaaaah oooh shit.

Nilikishika kiuno halafu nikaendelea kuchochea zaidi huku nikitazama alivyokuwa akiyarudi, ghafla nikasikia mlango wa sebule umefunguliwa paaaap, nilipotazama hivi, mume wake alikuwa amesimama pale mlangoni akiwa amembeba mtoto Kassim huku akitutazama kwa macho makali………….ITAENDELEA

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!