INGIZA (19)

INGIZA 19 🔞

Nilikishika kiuno halafu nikaendelea kuchochea zaidi huku nikitazama alivyokuwa akiyarudi, ghafla nikasikia mlango wa sebule umefunguliwa paaaap, nilipotazama hivi, mume wake alikuwa amesimama pale mlangoni akiwa amembeba mtoto Kassim huku akitutazama kwa macho makali

Niliogopa kiasi kwamba sikuamini kwamba kile ninachokiona ndio chenyewe, mashine yangu ilichomoka kutoka kwenye kitumbua cha mwanamama huyo nikasikia imelia tssthwaaah, halafu alivyo mjinga akalia “ooooh shit” huku akitabasamu “mume wangu” alimuita mumewe na kuokota khanga iliyokuwa chini akaifunga kidogo na kuketi kwenye sofa huku mimi naye nikimuangalia bwana ake asije akaniua

Nilivaa suruali yangu vizuri na kuanza kusogea kwa uoga, mumewe alianza kusogea kule tulipokuwa tumeketi huku akiwa ananiangalia sana, muda wote alikuwa ananiangalia mimi na kutikisa kichwa, akilini mwangu nikajua nimeisha, nilijisogeza nyuma kwa uoga nikaokota simu yangu na kumkwepa

Mara ghafla alitoa kisu, mimi sijui alikuwa amekificha wapi halafu akanitazama na kuanza kuongea kwa hasira

“ms*ng* wewe nilikuambiaje kuhusiana na mke wangu?” aliniambia kwa ukali na kunisogelea, halafu akamuweka mtoto chini, mimi nilisogea nyuma na kwa uoga lakini huko nilipokuwa nasogelea ni hatari zaidi maana ndipo chumbani na ni sehemu ambayo pia alikuwa anapajua vizuri

Mwanamke yule alikuwa haogopi sijui kwanini, nilihisi ulikuwa ni mtego nikamtazama kwa hasira madam Zai halafu nikakimbilia chumbani nikijua naenda sehemu salama kumbe ndipo ninapoenda kujiingiza mtegoni mwenyewe

Niliingia katika chumba kimoja nikaketi kitandani kwa uoga, lakini mwamba pia alikuwa hapa nyuma yangu na kisu halafu akanivamia na kunishika kwa nguvu sikio akalivuta na kutaka kulikata, lakini alisita

“bwana mdogo una miaka mingapi?” aliniuliza mimi nikaogopa zaidi

“miaka 24 kaka” nilisema kwa uoga wa hali ya juu

“kumbe ni kijana mdogo kabisa unajiharibia maisha yako bila kuuliza”

“no kaka naomba unisamehe sitorudia tena” nilimuambia akacheka kwa nguvu

“kosa la kutembea na mke wangu ni kupata adhabu tatu, ya kwanza umeshaipata, ya pili ni kukugeuza mke wangu na ya tatu ni kukugeuza kisusio” aliniambia nikaogopa zaidi

Kwanza niliwaza sana adhabu ya kwanza aliyonipa mwamba yule ni ipi, maana aliniambia ya kwanza ameshanipa, nilibaki ninamshangaa broo yule kwa huruma “broo nisamehe kweli sitorudia amenishawishi nikaingia kwenye mtego

“sasa mitego mingine mibaya mdogo wangu ona sasa maisha yako yapo hatarini” aliniambia nikapata mkanganyiko kwamba anamaanisha nini nilianza kuogopa

“kaka mbona sikuelewi?” nilimuuliza nikaona ametupa kisu chini

“adhabu uliyoipata ni mbaya utateseka maisha yako yote naomba uende ukapime afya yako, mimi na mke wangu tuna ukimwi wote” aliniambia

“Whaaaaat!!!!!” nilishtuka kwa uoga nikamshika kwa nguvu broo yule nikiogopa kitu alichokuwa ananiambia

“ndo hivyo, pole sana katafute ARV sasa uanze kutumia” alisema nikajikuta nimelegea na kupoteza fahamu kabisa

Nilikuja kushtuka niko hospitali ile ile niliyotibiwa siku ile nilipokatwa na chupa sijui kwanini kila nikilala na mwanamke yule nilikuwa naishia katika hospitali ile, niliona daktari yule wa kike ameingia pale akaniangalia halafu akasikitika kidogo na kutoka halafu akaniacha peke yangu nikiwa katika chumba kile nikikumbuka tukio lile la ukimwi, nilijikuta nalia na ndipo nikashuka kitandani na kuona simu aliyoninunulia madam ikiwa pembeni yangu, niliichukua na kuiangalia angalia ilikuwa imezimika, ndipo nilipoiwasha na kukuta baadhi ya message za mage

“Mume wangu uko wapi?”

“nina mimba yako”

“daaah ndo umepotea mazima

Nikajiuliza kwani imepita siku ngapi, niliangalia tarehe nikakuta ni siku tano zimepita niko pale hospitali, nilichanganyikiwa nikaamua kuzima simu nikaona nisimpotezee muda wake.

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!