JOGGING MASTER (12)

JOGGING MASTER πŸ’žπŸ’ž12
(Master of Love πŸ’—)
πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—

“Ni Jogging master? aliuliza Maombi

Niliitikia kwa kutikisa kichwa changu

Maombi alitabasam 😊

“He is a good person right ? aliuliza

“I dont know amenipa lift tu nothing else …nilimjibu

“It’s okay sasa ukapumzike then jion tutaongea ….naenda library maramoja alisema Maombi na tukaachana

Nilienda hostel nikajilaza nilikuwa hoi aisee hoi bin taaban hahahahaha

Nilipitiwa na usingizi hapohapo Nililala balaa kuja kushtuka saa Tano usiku watu wako kufanya discussion mule room legendary ndo naamka πŸ™Œ

Nakutana na pakti nne za chupi pale kitandani kwangu nzuri hizo hatarious

Alaf Maombi hakuwepo

Niliziangalia tu na kusubr Maombi aje tuongee

Kumbe alikuwa washroom alikuja na tukaanza kuongea

“Nimeagiza hizi tuanze kuuza kwaajili ya ada yako rafiki angu mzuri , alisema

Kila moja ni 4000 maana ni pure cotton Yan tunapopata nafasi tuuze bila kujali mazingira….. muda unazidi kwenda alisema Maombi na kunipatia ile simu yake akanionesha kuwa alijiunga na magroup mengi tu ya kutangaza biashara kwahyo nitakuwa nikipost huko na kama mteja atataka atafuata na kama atataka kupelekewa basi atalipia delivery …..

Nilishindwa akuzuia machozi yangu Nilimkumbatia Maombi na kumshukuru kwa moyo wake wa dhahabu πŸ˜’πŸ™Œ …..

Tulilala na asbh na mapema nilianza ile kazi nikasema bora hii kuliko kule mgahawani kwa alfu mbilimbili…

Tulianza kutembelea rooms za palepale hostel alooh ndani ya masaa manne ule mzigo uliisha sikuamin macho yangu

“Umemuona Mungu sasa ?

“He is the best ,naagiza Tena mzigo mkubwa zaidi …..
Alisema Maombi na kuweka order ya chupi nyingi zaidi ,yaan Hela yote tuliyokuwa nayo tuliagizia mzigo …….hatukubakia hata na kitu zaidi elfu kumi ya kula tu….

Sasa jioni sasa likanikita jambo 😒
Kagua kagua ikaanza kwa wale wote wazamiaji wa hostels ,

Alooh panga likanipitia kwa wale wasiolipia hostels wote out tukatimuliwa na mifuko yetu …….

Nililia sana 😭😭 hatuna hata mia kusema nitalala lodge tunasubr chup zije tuuze ndo nilipie hostel ….Maombi yeye alishalipia hakuwa na shida ila Mimi sasa πŸ™Œ

” Sasa tutafanyaje Mpnz 😒? siwez kukuacha hapa ,tutalala wote hapa nje alaf kesho tutaangalia utaratibu miwngine ,alisema Maombi …….

nilikumbuka kumpigia simu baba lakin hakuwa hewani kabisa kwa usiku ule 😒

Yaani tunalala nje Leo 😭😭

“Mungu atafanya njia alisema Maombi …

Nikakumbuka Nina namba ya Jarred πŸ€”…….

“mpigie please ,alisema Maombi

“Lakin ni mapema mno mtu hata simjui nitamwambia nn sasa 😩? nilisema

“Penye shida hapana muda huyu ndo mtu wa kutatua challenge hii alisema Maombi
Nilitoa kikaratasi tukaandika namba ya Jarred na kumpigia

Simu ilipokelewa haraka sana

“Hallo …. habari?

“Hallo kaka Jarred shakmoo
“Marahaba …..

“It’s Fanikiwa, nikamwambia

“How do u do ? akauliza

“Kaka Jarred Nina matatizo mwenzako 😒

“What’s wrong na uko wapi ? Aliuliza maswali mawili mfululizo

“Niko nje ya hostel, nilimjibu

“Am coming within ten minutes
Akakata simu

“Anakuja nilimwambia Maombi

Sasa huyu ndo msaada pekee na anajali ….hajui hata ni shida Gani but amejitisk na kuja ….usimpoteze …. alisema Maombi

“Ndani ya kakika 10 Jarred alifika alitukuta na kutusalimia ..

“Feny what’s wrong ?

Alitukuta na Mimi nikiwa ana ule mfuko wangu wa nguo 😒

“Nimefulizwa hostel Jarred

“Why? akauliza

Nilishindwa kueleza nikaanza kulia 😩😩

” please don’t cry Niko hapa kwaajili yako okay ? akasema

“Ingieni kwenye gari alisema na kunipokea mfuko wangu akauweka ndani ya gari kwenye Siti πŸ™Œ

Sikupata wasiwasi maana tupo na Maombi kwahyo zile rules zangu sikuzitumia kabisa pale πŸ˜‚πŸ˜‚

Aliendesha had sehem fulani hotelini pazuri balaaa
Tulishuka na kwenda kukaa

Mhudumu alikuja

“Wasikilize Hawa wapendwa wangu alisema Jarred

Mhudumu alituuliza tungependa kula nn tukaagiza chips mayai na kuku πŸ˜‹

Wakati tukisubiri chips zililetwa karanga na popcorn ☺️☺️aii mama πŸ™Œ
utajiri Raha Sana πŸ™Œ
itaendelea dears

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

CHAGUO LA MOYO FULL

NILIMPENDA KUPITA KIASI FULL