JOGGING MASTER (22)

JOGGING MASTER πŸ’žπŸ’ž 22
(Master of Love πŸ’—)
πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—πŸ’—

Njia nzima kila mtu alikuwa kimya hakuna aliyemsemesha mwenzake
niliona kama uvumilivu unanishinda

uko sawa ? nilimuuliza
“am not” Alinijibu

kitu Gani kitakufanya uwe sawa ? nilimuuliza

“u’re kiss will make me happy”πŸ˜‚alisema Jarred
nikajua ni utani eti ,nilicheka lkin yeye alikuwa serious mpaka nikaogopa

“Jarred nilimuita” hakuitika alikuwa bize kumtizama mbele

“Jarred” nilimuita Tena ,hakuitika
“Jarred” nikamuita Tena ,safari hii alipack gari pembezoni mwa barabara kisha akaachia usukani na kunigeukia

“I told u Fenny u’re kiss will renew my mind” alisme akiuvamia mdomo wangu na kuanza akuupiga kiss πŸ’‹ moja ya hatari

khee kumbe ni tamu jamni na hamsemi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

alinipiga ile deep kissing mpaka nikachanganyikiwa , aliniachia kisha kaegemeza kichwa achake kwenye uskani wa gari ……
alikuwa ni kama anajutia kitu fulani hivi


“please Jarred naomba uwe sawa everything will be alright” please don’t be like that ukiwa hivyo Mimi nitapata huzini zaidi

nilimwambia nikimuinua kichwa chake

U know what Fenny, nilifanya big mistake kwenye maisha yangu kumkaribisha Nancy kwenye maisha yangu ,but halikuwa kosa langu hata Mimi sikujua kama yatatokea haya Yote

kwann yananitokea haya ? yule mwanamke anataka nifanyie nini Ili aridhike

alilalamika sana Jarred lakin Mimi sikumuelewa hata kidogo maana hata sijui background ya mapenzi yao ilikuwaje
.nilikuwa namtuliza tu na kumuomba atake it easy kila kitu kitakuwa sawa …..

aliwasha gari tukaondoka

tulienda hadi sehem moja nzuri kama ya utalii hivi,hapo palikuwa na mabwawa makubwa ya kuvua samaki na upepo mwanana
tulishuka na kwenda kukaa kwenye Moja ya mabench yaliyokuwa pale …..

kumbukeni ni jion sasa na kesho natakiwa ku attend vipindi vya kule chuo na simu yangu iliizima maana Maombi angeshapiga missedcall mia tatu πŸ˜‚πŸ˜‚akitaka kujua kama nimeanza kuwa na wanaume hahahaha

tulikaa pale na alikuja mhudumu akatuuliza tungependelea kula chakula Gani

naomba ugali na maziwa mtindi nilisema hapo nilikuwa na njaa ya hatari πŸ˜‚πŸ˜‚

sorry miss hapa tunauza sea food tu hakuna maziwa wala nyama alisema yule mhudumu aibu jmn nilishoboka haraka ona sasa naaibika Mimi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

“Oh sorry is my fault sikumuelekeza basi tupatie mixer ya sea food plate mbili na juice ya bitreat na strawberry alisme Jarred na kumfanya yule mhudumu aondoke kwenda kuleta …..

“Am sorry alisme Jarred”
it’s okay hakuna shida nilimjibu na kuiwasha simu yangu sasa ni majira ya saa moja kasoro usiku

ile nawasha tu simu aloo ziliingia msg 8 mfululizo

“Uko wapi

“We Fanikiwa

“Umekuja kusoma au kupuyanga

“lecture anakutafta

“we Fani

“Fani

“Fani

“Ngoja mke wake akukute akung’oe meno πŸ˜‚πŸ˜‚ nilicheka jamni ila Maombi
nilitoa kicheko Cha hatari mpaka Jarred akashtuka

“are u okay ? Jarred akaniuliza
ndo nilishtuka kumbe nimekenua meno yote 34 mdomoni πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£
itaendelea dears

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!