
JOGGING MASTER ππ 24
(Master of Love π)
πππππππ
Simu yangu iliita sana sikutaka kuipokea maana nilitaka kusoma tu kwa wakati ule
basi iliita mno nikaamua kuizima kabisa
tukaendelea na discussion na Maombi pale
ila baadae moyo wangu ukawa mzito
mh huyu ninani anapiga simu namna hii
niliamua kuiwasha
please tusome kwanza achana na mambo ya simu alisema Maombi
nikaachana nayo tukasoma wee hadi saa nne hivi tukaamua kulala
nilimpigia simu Jarred na kumuuliza kuhusu Jiden akasema Yuko poa mno na anaendelea vzr kabisa
basi niliamua kuipigia na ile namba pia
lkn haikupokelewa
nikamtumia msg hello mambo nani mwenznangu ?
msg yangu haikujibiwa nikapotezea
tulilala na asbh na mapema tukawahi kujiandaa na kwenda chuoni
tukiwa njiani ile namna ulinipigia Tena
nilipokea
Hallo niliita
“wewe ndo Fanikiwa”
“ndiyo ni Mimi” na wewe ninani mwenzangu?
simu ikakatwa π³
khe huyu vipi ninani ? nilijiuliza nikampigia Tena lakini ile namba haikupatikana Tena
nilipata hofu sana huyu ninani ?
mh nikaamua kupotezea
basi baada ya pale tulienda kula na kutembeza mzigo wetu wa chupi hostels kama kawaida
tuliuza na badae tukaona tumechoka tulirudi zetu lodge kulala …..
siku hiyo sikuwasiliana kabisa na Jarred asbh tukawahi chuoni ila tulivofika tu nilikutana na kijana mmoja hivi ambae alinichangamkia kupita kiasi
alikuwa ni kijana handsome mno mule mule mwa Jarred π€£ila sikuwa na mpango nae kabisa
“Aaah Fanikiwa ndo unipite kama mlawi ?
alilalamika kijana yule
samahani kaka angu Mimi sikufahamu
najua ila huu ndo mwanzo wa Mimi na wewe kufahamiana Fanikiwa …..alijibalaguza nikaona anyway si mbaya kumfahamu na kujua shida yake Ninini
“Tunaweza kutoka tukapate japo breakfast ?
“hapana naenda darasani Niko bize mno
“sawa Mimi pia naenda darasani lakin baada ya kipindi naomba tuonane Fanikiwa aLisema
naomba namba yako bas
niligoma kumpa na kumwambia labda yeye ndo anipe yake …hakukataa alinipatia namba yake nikaisev na kwenda zangu darasani
kipindi kilipoisha Maombi anapenda sana discussion akabakia kudiscuss na wenzake hata hivyo alikuwa na kipindi kingine karibuni nikaona nikapate chai tu
nilipofika tu pale canteen mara paap yule mkaka huyu hapa ππ
kajuaje kama Niko hapa huyu vipi ?
nilijiuliza nukikasirika kwann ananifatafata hovyo…..
alikaa na kuanza akijichekesha
naitwa Filbert ,akajitambulisha
“sawa jina zuri ,nilimuangalia kwa dharau sana sijui likoje
mhudumu alikuja nikamuagiza chai na chapati moja tu
“namimi naomba kama Fanikiwa π akasema Filbert
Kwan unataka nn kaka maana sikuelewi kabisa
Haman just friendship tu napenda compan yako ..alisema
okay but mme wangu akikukuta hapa utakuwa ugomvi
mme wako? nani Mr Jarred ? au Kuna mwingine
aliropoka nilishangaa sana kamjuaje Jarred huyu kijana π…
“unamfahamu Jarred? nilimuuliza
aah hapa chuoni nani asiyemfahamu yule bwana ππ
khe π
itaendelea dears
All Rights Reserved Β© | Simulizi TAMU