KIBOKO YANGU (03)

KIBOKO YANGU 3

Hadu stimu zilikuwa zimeanza kunikata, ila sikutakan kumuangusha Yule mwanaume niliemleta, kwa maana afanye na mimi au asifanye ni lazima nimlipe, sasa sikutaka kupoteza pesa yangu bure, nikaingia chumban na kuanza kumparamia, nikaanza akaanza kunipapasa sehemu mbali mbali za mwili wangu, na kwakuwa siwezag kuvunga, aliponishika nilishikika, ile miguno ya ahhh ash, ilikuwa yakutosha, basi tukaandaana hapo, mwisho akanibeba juu juu, na kwenda kunilaza kitandani, kisha akawa anataka kuzama chumvini, mara tukasikia mlango unagongwa kwa fujo, ikabidi niamke kwa mara nyingine na kwenda kwenye mlango kwa lengo la kumsikiliza mgongaji…
Natoka nakutana na sura ya Robert, nikasunya na kutaka kurudi ndani, akanishika kisha akasema “ boss upo sawa kweli,l akasema vile kisha akaingia mpaka chumban na kuanza kumpiga Yule kaka huku akisema “ nani kakupa ruhusa ya kumpiga boss wangu mpaka analia kiasi chote hicho, nani kakupa hio ruhusa ya kumpiga boss wangu, akawa analalamika Robert huku akiwa anampiga kijana wa watu, nilishangaa maana ilikuwa ni miguno ya mahaba, na kwa namna anavyoonekana n lazima alikuwa anajua kuwa nilikuwa nafanya mapenzi, sasa kwanini aje ampige mtu ambae hana hata makosa…

“ hivi wewe unakichaa, nani kakuita humu, nani amekuita nakuuliza, au nilikufata na kukuambia kuwa napigwa Robert njoo nisaidie, hivi wewe mpuuzi una shida gani na maisha yangu lakini, nikawa nalalamika…
“ wewe ni boss wangu na nijukum langu kukulinda, kijana naomba uvae na uondoke maana sikuamin kabisa , nakuona kama unataka kumfanyia kitu kibaya boss wangu, sijui unamfanya nini mpaka anapiga kelele kama anauliwa, vaa haraka na uondoke, akawa anasema Robert..
“kwani wewe ndio umemuita na kumleta humu ndani, nasema hi9vi hakuna mtu anaeondoka humu ndani labda uondoke wewe, nikafoka, ila hata Robert hakujal akawa anamtoa mkuku mkuku Yule kijana, nikatoa pesa na kumpa maana najua ni lazima alikuja kufanya mapenzi na mimi kwa sababu ya pesa….’

Robert alipohakikisha kuwa Yule mwanaume ameondoka, akarudi mpaka nilipo kisha akaniangalia nakusema “ najua ulikuwa unamuogopa ila usijal hata kuliza tena na nitakuwa nakulinda umesikia boss, akasema Robert sio siri nilishikwa na hasira, kisha nikaingia zangu chumban na kujiandaa maana bado nilikuwa na hamu zangu, na baada ya dakika kadhaa nikatoka nikiwa nimeulamba, nikama Robert alikuwa anajua ninapoenda, akanifata na kuniuliza “ naweza kukusindikiza boss, ila hata sikumjibu na badala yake nikawa naondoka zangu, akawa ananiangalia namna ninavyoondoka bila kusema neon, nikampigia simu kijana mmoja ambae alikuwa maeneo ya jiran na pale ambapo nilikuwa naishi, na nilipotoka nje ya geti nikatembea kama dakika tano nikiwa kwenye gari, nikakutana nae nikasimamisha gari kisha akapanda, sikutaka hata kwenda nae guest, kwa maana Yule alieondoka alikuwa ameshanipandisha moto, nilikuwa nataka mtu wa kunimalizia tu hamu zangu, nikasogeza gari pemben kidogo ili tusikere watu, kisha nikapandisha vioo vyote, na tukaanza kukiss na Yule kijana, alikuwa anaitwa ommy, yaan kila ambapo alikuwa ananishika nilikuwa natoa miguno maana niolikuwa tayar nipo hai sio mchezo,simulizi hii imeandikwa na husqer baltazar, hakikisha unaisoma kwenye account ya husqer baltazar pekee, akanifungua vifungo vya blauzi yangu kisha akaanza kuninyonya tuchuchu twangu, nikawa nagugumia tu kwa utamu, kisha mikono yake ikawa inafanya utalii, sehemu mbali mbali za mwili wangu, mpaka nikajikuta nimelegea kabisa , mara tukashangaa side mirro ya upande niliokuwepo imelengwa na jiwe, tulishtuka wote na stimu zikakata kabisa, ikabidi tuache na kwenda kuangalia ni nani anaweza kuwa amefanya vile…

Ila tulipotoka tukakutana na vijana wawili, walikuwa wamejazia hao, wakatufata na kusema “ hivi nyie mnaakili timamu, ni kwamba mmepania kuharibu watoto wetu, yaan watoto wakipita hapa a kusikia hio miguno yenu watajifunza nini, kama mmezidiwa sana tafutenin guest bana, wakawa wanasema, sio siri niliona aibu sana , ila sikutaka kushindwa…
“ nyie ni kina nani mpaka mtupangie cha kufanya, au mnataka hela, kama mnatakan hela semeni tu maana mimi ni full package na kama mnataka utamu njoeni niwape, nikaongea kwa nyodo, aisee alikuja mmoja na kuniweka kibao mpaka niliona wenge na kuanguka chini kisha mwingine akatoa pesa kama laki tano na kunirushia na kusema “ tuna wanawake wakali kuliko wewe na wanajiheshimu sana, na kuhusu pesa tunaweza kukununua wewe na ukoo wako mzima, kisha wakamfata Yule kijana na kumuangalia kisha wakasema “ tunakupa dakika moja tusikuone eneo hili, akasema mmoja wa wale vijana na Yule kijana ambae nilikuwa nae alitimua mbio, na kuniacha nikiwa nimekaa chini nalia, maana kile kibao sio mchezo, sikuweza kwenda popte ikanibidi nirudi tu nyumban…………….

Nafika namkuta Robert kana kwamba alikuwa ananisubir, akaniangalia kisha akasema “ boss nani kakupiga, alafu boss nimekusafishia chumba chako si unataka kwenda kulala, akasema, nikamuangalia bila kusema neon lolote lile, akanishika mkono, nilijisikia vizur kwa maana mihangaikon yangu yote ni kwamba nilikuwa nataka kumaliza hamu zangu…
Kwakuwa nilikuwa namchukia nikautoa mkono wangu kwenye mikono yake kisha nikaondoka zangu kuelekea chumban kwangu, nashangaa mlango unafunguliwa, na hapo nilikuwa nimevaa taulo tu naenda zangu kuoga, mara akaingia Robert na kunambia boss umeniita, ila hata sikumjibu nikawa naenda zangu bafu, sasa sijui ilikuwaje, simulizi hii imeandikwa na husqer baltazar, hakikisha unaisoma kwenye account ya husqer baltazar pekee,si nikateleza, taulo likadondoka chini na mimi nikawa nafatia, Robert akawah kunidaka kisha akanikumbatia, yaan lile joto lake lilinipa msisimko wa ajabu, na mpaka yeye mwenyewe abdala kichwa wazi alianza kuleta shida, mpaka nikawa namfell kabisa, akalegeza macho kisha akawa kana kwamba anataka kunikiss, nikajikuta na mimi nafunga macho kupokea anachotaka kunipa ila kabla sijafanya chochote nika…..

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata