Mahaba ya Dhati (06) 💞❤️

Sehemu ya 6

Tulipoishia,vanessa akanyanyuka akaniambia shoo kazi imeanza si unaona bby ananiita..nikatabasamu kizembe lile tabasamu la uongo kabisa, huku najiuliza anamuitia nn vanessa jmn?uwii nimeshachezewa nimeachwa,nikatulia tu nilikua nasoma kitabu nikaendelea kusoma zangu lkn sioni hata nachosoma akili ipo alikoitwa vanessa, basi nikavumilia tu najikaza, vanessa alichelewa kurud mm nikazidi kupata homa jmn uwiii,baada ya muda akarudi akasema jmn yn mm nampenda sana ticha d jmn yan anavoongea mi hoi nikasema kakuambia nn akasema iv ushawah kuona macho yake?na midomo yake jmn d mzuri hadi nasisimka nikimuwaza sssss uwiii, nikasema mbona sikuelew unajiongelesha tu kwani alikuitia nn?kasemaje? Niliuliza huku nikiwa na shauku iliojaa maukivu, akasema aliniita alikua na mwalim john wakaniomba niwasaidie kujaza na kuandika makaratasi flan ivi nikasema ahaa kazi ya nani akasema ya john nahisi mana ni ya geography ila d akawa anapiga stor pale nikawa namzoom tu jmn lazima nimpate d yn hata kwa kuroga, nikasema shoga angu come down khaaa mbona kama unawehuka?maneno gani hayo tena hadi kurogana? akasema nakuambia tena pale tu natoka nimemgusa flani mana nikajifanya nataka kuanguka akanidaka lkn kajua nn maana yangu nahisi siku si nyingi atakua hapa,alipiga piga kiganja chake,iko kitu kiliniuma sana nikavumilia japo kitu kilinikaa shingoni hivi, muda wa darasani ukaisha nikaenda bwenini nikiwa mnyonge kama nimepigwa nikafungua tranka langu nikashika simu nikaenda nayo chooni, nikawasha nikakuta msg za d kibao,kaandika “i miss you bby” na ingine kaandika “nataka sana kukukumbatia bby nimekumis sna” aliandika nying sana za kimapenzi,sikujib nikazima simu nikarudi rum nikaficha simu nikaoga hata sikula siku io nikarudi darasan kujisomea, hapo namuona d muongo na anamtaka vanessa,basi kila nikikaa na vanessa yeye ni anamsifia tu d nikawa naumia sana,darasani nilikuepo. Kimwili tu lkn kiakili Sipo wivu wa mapenzi ulinizidi, nikarud bwenini wala hata hamu ya kula sina kabisa, nawaza tu, nikiwa bwenini nimejilaza mara kuna mwanafunz akawa ananiita santaa we santaa unaitwa na ticha wako mwanafunzi bora,wanafunzi walikua wananikebehi kwa vile ticha d alikua ananipa mazoezi na kunisahishia pia anavopenda nisome na vile mm mpole sana shule walikua hawahisi chochote,nikasema sawa naenda akasema yupo hapo kwenye kamba za nguo anakusubiri, nikastuka nikasema wee kweli? Akasema ndio sa nikudanganye nini?nikajisema moyoni khaaaa huyu ticha kachanganyikiwa sasa, mana kamba zipo karib kabisa na bweni nikatoka fasta nikaenda,nikakuta amesimama anachat na simu,alivoniona nikamsalimia lkn hakujibu akasema kwa nn hujibu msg zangu ?alikua amekasirika nikasema simu imezima chaj akasema santa ww ni muongo kumbe?nikasema hapana akasema ile simu haiwez zima chaj mapema ivo ww sababu huwashi mara kwa mara na bets n mpya ile,nijibu kwann hujib msg?nimefanya nn kwani?nikakosa jib akasema nakuuliza nn nimekukosea?nikasema m sitaki kuchezewa d naona bora tuachane kuliko mm niumie nimetoka mbeya kuja kusoma hapa lkn ww unataka kunichezea tu uniache,akacheka afu akasema unatania si et?nikasema kweli nipo serious akasema twende nyumbn ukaniambie hayo, nikasema sa izi kila mtu anatuona jmn nawezaje akasema santa mm nakuambia twende nikasema d hapana akanishika mkono kwa nguvu akanza nivuta mara vanessa akatokea mm nikautoa mkono wangu kwa nguv lkn d akabaki amenishika,Vanessa akasema ticha mambo,d akajibu huna adabu nini yn we unaniambia mi mambo? Unanifananisha na viboyfriend vyako nini pumbavu, vanessa akasema hee samahani ticha, mie kirohon nikafurahii huhuu vanessa alivo hana haya akaendelea akasema mbona kama umekasirika Santa amekuuz nn?d akasema nyie mnautani na mm nataka nikamuoneshe huyu kwanza mm sio mtu wa mchezo,vanessa akasema hapana ticha inaezekana hajafanya kaz sabu alikua anaumwa d akasema anatakiwa aseme sio anakua kimya tu, mda huo mm niko kimya tu nawaangalia japo naona maigizo kama,vanessa akamwambia msamehe pliz si unaona anatia huruna jmn ticha d msamehe, hapo vanessa alikua anaongea kwa mideko mm nikajikuta napata wivu tena nachukia,d akaniachia mkono vanessa akawa anaongea nae pale anajibenua anajieleza yn kweli anamtega d live tena mbeke yangu na d nae akawa mpole tu, akasema mi naenda kwangu Vanessa akasema umepika nn ticha tuje kula d akasema mmh wakike nyie hamruhusiwi kuja nyumba za wanaume manataka mnipe kesi,vanessa akasema huku anacheka mmh kwa nn au unahisi uzalendo utakushinda nini ticha? d akasema we unanionaje vanessa?uzalendo unishinde mimi?nyie wote wanangu ,vanessa akasema tichaa mi ni motoo ujue huwezi kaa na mm nusu saa peke etu tu ndani lzm uzalendo utakushinda tu utaomba mechi na mm ni sumaku mtam sana,d akacheka tu shenzi zake,mm nikakwazika zaidi mana niliona d anaenjoy maneno yale nikageuka nikaanza kuondoka, vanessa akaanza niita we santa sa mbona unaondoka sikujib nikaondoka tu d akaniita santa we santa sikujib nikawa nakimbia kabisa liwalo na liwe mambon gani wananifanyia ,vanessa akabaki nae pale,mimi nikaenda bwenini nikaanza kulia naskia hasira sana, vanessa hakurudi wala, baada ya muda akarudi mie nikaoga nikabeba madaftar nikaenda zangu darasani yeye vanessa akefata maji ya kuoga bombani,nikiwa darasani baada ya kuhakikisha hakuna mtu anakuja nikawasha simu nikakuta msg ya d,amesema “santa siwezi kukuacha ata iwaje,sijui una tatizo gan lkn wapenzi wanaishi kwa kuongea mi kununiwa nuniwa sipendi,naomba uje nyumbn mpnz tuongee usinitese hivi mi ni mwalimu wako”sikujibu alivoona imekuwa delivered akapiga,sikupokea akatuma msg “pokea simu bby pliz”
Nikapokea akasema santa,mbona unanitesa sana santa?unaniadhibu nimefanya nn?wala sikumjib akasema bby siwezi kufanya chochote sijui nn kimekupata mana tulikua poa umebadilika sna,naomba uje nyumbn tuongee bby pliz,nikasema mm siji akasema nakufata bwenini santa nitakupiga huko mana nakubembeleza afu unaleta kiburi,nikasema huwezi kuja najua unanitisha tu akasema okay uko wapi sa iv nikasema darasani akauliza lipi nikasema let akasema okay, akakata simu ile amekata vanessa akawa amefika mara wanafunzi wengine pia wakafika uzuri nlishakata na kuficha simu, vanessa akaanza kunipa stor zake na wanaume zake tunanong’ona,baada ya dakika tano tukashangaa ticha Dylan kaingia,mda huo na wanafunzi wengine wapo darasan tunajisomea ,nikastuka vanessa,akasema jmn bby huyoo yn nampenda mm ona alivopendeza na trak yake, nikamwangalia tu sikujibu, d akawa anazunguka darasani wanafunzi wakawa busy kusoma mana wanafkiri kaja kusimamia usomaji usiku ule kumbe anayake, akanitumia msg akaandika “ulisema siwez kuja?haya nimekuja sasa sema tena siwez uone navokuchukua hapo mbele.ya wenzio”,
Sikuona msg mana nishaficha simu alizunguka akaja tulipokaa sisi mwisho wa darasani akasimama kidogo anaangalia madaftari yetu afu akatoka nje nilikaa kidogo kisha nikamwambia vee anisindikize chooni tukaenda mi nilinyanyuka na simu,tulivofika chooni nikaingia nikacheka simu nikakuta msg sasa nikajibu “nimekuelewa nitakuja SAA sababu usiku watu wakilala usiruje darasani tena pliz” akajib “saa saa sita tuu njoo” nikaona nikunali nikasema “sawa”
Tulirudi darasani hata havikusomeka ,wanafunzi walianza kutoka mdogo mdogo kufika SAA sita kasoro nikabali mi na vanessa tu nikaona nimtumie ms ticha nikasema”vanessa kaniganda nataka nimtoroke,naenda bwenini mara moja”
Akasema “nakusubir”
Nikaenda na vanessa bwenini nikazuga nikatoka naenda kuongea na simu porini nikaangaza hakuna mtu na shule yetu haikua na matroni zaidi ya walinzi tu na tukiumwa gafra au tatizo wanafatwa mamadams nao kipindi hiko wako wawil tu wengi wamehama na waliopo mmoja madam moshi anakaribia kustaf na mwingine madam Monica alieriport na kina ticha d nae sister du anajali yake tu ivo mda mwingine ana anaamshwa mwalimu yoyote jirani awajibike hata mkuu wa shule anaishi mjini huko anakuja na gari yake na kuondoka kila siku, basi nilivoona usalama huyoo nikaenda kwa ticha niliambiwa nipite mlango wa nyuma ashauacha wazi ivo nikaenda spid uyoo ndani kama mwizi,nikakuta kaniandalia chips mayai na nyama eti usiku ule,,akasema karib ule kwanza bby nikakataa,mda huo nimesimama akanifata akanishika mabega akasema bby una nn mpnz wangu?nn shida?nikasema mm nataka tuachane niendelee na maisha yangu,akasema kwa nn?mm siwezi kukuacha santa nakupenda si utani bby,nikaanza kulia,akasema sasa mbona unalia bby akanibeba akanipeleka kwenye sofa,akasema niambie bby mm sipendi ivo bby,nambie,nikasema iv d unanipenda ww?akasema nakupenda sana,nikasema ww una wanawake huko na wanafunzi wengi pia wengine wanakutega mm nawaskia hadi vanessa anakutaka anakutega na ww unafurahia unafkir mm siumii?d akacheka sana kisha akanishika mikono akasema bby niangalie usoni nikamuangalia,akasema mm dylan nampenda mwanamke mmoja tu ambae ni ww santa,nakupemda sanaaa nimejizuia sana kuwa na ww sabu ww ni mwanafunzi lkn hisia zangu zikanizidi,siwezi.kukuumiza na wala hao wengine siwaoni machoni na moyoni umejaa wewe tu bby,sioni wala siskii,nikasema lkn vanessa mzur sana akasema bby ww ni mzur kuliko wanawake wote duniani kwangu mimi ndio mana nimekuchagua ww sio hao kwani shule hii upo ww tu?,siwez kuwa na mwingine na siwezi toka na vanessa na kuanzia sasa hutoona mm naongea na mwanafunzi nikiwa peke angu basi ili uniamini,na bby mm ni mwalim kijana nimepangiwa hapa walim wengi wanaume ni wazee na john n mtu mzima,ivo ujana wangu lzm uwe tatizo kwa wanafunzi lkn niamin bby siwez ww njoo mda wowote hapa na fanya chochote unachojiskia moyo wangu unao ww lkn usiniambie nikuache bby,aliongea huku anatia huruma sana, nikalegea maneno matam sana hata ww msomaji ungedata,nikasema kwel akasema kwel bby nakuapia,nikamkumbatia akasema usiwe na wivu bby ujue kazi yangu inahusisha wanatoto wa kike we jua wewe ndio chaguo langu, nikasema mm sina wiv bby d akacheka,nikasema eheee na yule mwanamke wa dar akasema sijawasiliana nae muda mi nikasema hilo halimaanishi haupo nae, akasema niambie nifanyaje ili uwe na anani na uniamin, nikasema mpigie simu mwambie aendelee na maisha yake,akasema iko tu usijali, d akashika simu yake akapiga namba flan akaweka loud speaker upande wa pil ukapokea n mdada akasema bby leo ndo umenikumbuka?d akasema skia asia mambo yamebadilika sana sa iv naomba usinisubiri endelea na maisha yako,yule dada akasema kwa nn?kwan nimekukosea nn?d akasema siwez sahau ulinisalit wakat nipo chuo ivo nina maisha yangu na nina mpnz mwingn nampenda,asia akaanza kulia anasena d nilikuomba sana msamaha kumbe bdo unayo?huyo mwanamke n nan?jmn nisamehe bby nakupenda,d akasema anaitwa santa nampenda sana so pliz usinitafute tena,akakata simu,yule asia akapiga d akakata akatuma msg akasema “usinifanyie hivo d naomba usiniache bby,basi kuwa na. huyo santa lkn na mm uwe na mm nitamuheshimu santa”
D akanionesha akasema bby nakupenda sna ww ndio mwanamke wangu si unaona? akanikumbatia,akasema haya najua ujala chakula naomba ule basi, wwee sikuvunga nikachukua chips huku nikitabasam najiona mshindi kweli kumbe mmh, nikala nilivomaliza nikamkumbatia d tukaingia chumbn d akaniambia nimekumis bby na mie nikasema hata mm, tulianza mambo yetu Yale wee tena nilijituma na mie nikichukua uzoefu toka kwenye mastori ya vanessa na kuyafanyia kazi, lengo langu ni kumdatisha ticha eti asiniache mana nilikua nishampenda sana ticha d, sikujali huyu ni mwalimu nilijiachia sana kwa ticha nikampa mwili wangu wote na roho nilienjoy sana, baada ya kumaliza kama lisaa hivi tulitumia ,simu ya d iliita usiku huyo d akaichukua akasema mmh madam Monica ananipigia sijui kuna nini? Akapokea sikuskia alichoongea madam lkn d akasema poa ngoja nijiandae, akakata simu akasema aisee inabidi uende fasta bwenini mana inaonekana kuna wanafunzi wametoroka ivo anataka tukaite roll call,nikasema sa itakuaje jmn mi natokaje? Au mimi nimejulikana? Akasema come down bby vaa fasta nikucholee ramani urudi sawa, nikasema sawa, nikavaa haraka huku d nae akivaa tukatoka nje kupitia mlango wa nyuma, d akasema baki hapa niangalie utaratibu huko, nikasema sawa nikabaki nimejibanza upenuni mwa nyumba,baada ya muda d alirud akasema pita kule nyuma kupitia library mana mlinzi yupo madarasani ivo pita library kisha jikon afu zungukia chooni ingia dom mi naenda mfata Monica kwake pamoja na kina John nikasema sawa, nikatoka pale spid kali nikakimbia huku naangalia nyuma pembeni yani naogopa hatar, nilifanikiwa kuingia bwenini sanafjnzi walikua macho wengine sijui kwa nini mi nikajifanya nilikua darasani bahat nzur nikajilaza na mie kimya nikitafakari ningekutwa ingekuaje hapo nishapewa utam nimekolea balaa nazid mpenda d,baada ya muda walimu walifika tukaambiwa tutoke nje kila room tunaitwa majina, kuna wanafunzi hawakuepo walitambuliwa walimu wakaondoka, kesho yake watoro walichukuliwa hatua na kuambiwa waite wazazi wao nikashukuru mana sijui ningemwambia nini yule mama kule mbeya.

Mapenzi yangu mm na d yalinoga sana tulikua tunapeana raha sana japo yalikua ya sir mnoo nikipata upenuo tu naenda kumpa d ikiwemo hata kujifanya naumwa naenda hospital mbali kidogo na shule mana dispensary ya kijiji nilikua mbali kidogo na shule na ndio tulikua tunaitumia,Vanessa alikua anamtega sna d lkn d alikua anamtolea nje,alimuandikia hadi barua ya kumtaka d lkn akamtolea nje na kuonywa vikali aache ujinga huo,vanessa akawa hana raha kabisaa anateswa na penzi la d mie namzoom tu,likizo ikafika mm sikuondoka siku tuliofunga nilimdanganya vanessa kua mama hajanitumia nauli hapo tunaingia kidato cha sita wote waliondoka mm na baadhi ya wanafunzi waliokua na sababu mbalimbali tulibaki, lkn mi kama kawa usiku nikatoroka nikaenda kwa d tukayafanya matusi usiku narudi tena bwenini siku inayofata tuliwah magar na wanafunzi wengine lkn d aliniambia anikute mjini hivo nikamsubiri, d akaja mjini huko tena tulikaa siku mbili hotel mie ni kutumika tu,d akanikatia tket akanipa na hela mana d alikua anakawaida ya kunipa vihela shuleni,baada ya kuondoka muda wote tulikua tunawasiliana na d wangu nilivokua njiani kama kawaida,nilifika nyumbn vizuri mama alifurahi kuniona ila mama hakuwahi ninunulia simu ila akaona nina simu akauliza we Santa, we si ni mwanafunzi wewe? umetoa wapi io simu? nikasema ni ya rafiki wangu vanessa aliisahau kwenye begi langu mama akasema sitaki hayo mambo we mtoto kama mimi mama yako sijakununulia kitu sitaki uwe nacho sijui unanielewa, nikasema ndio mama, akasema sitaki kuiona hio simu zima weka huko hadi uje umrudishie mwenyewe nikasema sawa,sikumskiza mama niliweka silent ikawa inakaa kwenye begi, sasa nikiwa likizo vanessa akaonana na Gerald dar si akampa namba yangu ya simu kipindi hiko amemaliza shule yy tyr mana wakati sis tupo form five yy alikua six,nikashangaa amenitafuta basi sikuona shida nikawa nawasilina nae mana vanessa alikua ananipump sana niwe nae nikawa nawasiliana nae sana akadai anataka kuniona nikirudi niende dar moja kwa moja tukaonane mm nikamdanganya sawa mana nilikua najua nitawah vile d ananisubir sikutaka mabishano niliendelea kuwasiliana na wote wawili kwa kificho mama asinione,likizo ikaenda ikakaribia kuisha siku mbili kabla nikawahi kurudi d wangu alikua ananisubiri mjini ambae kipindi chote cha likizo alikua ananitumia pesa na tunawasiliana na nilimis sna utam wake,nilifika kama kawaida yetu mm na d tulikua tunapenda sana kutiana ivo tulikua tunanyanduana sana hadi siku ya shule mi nilitangulia kwenda shule d alikuja jion vanessa alikua nimefika siku io kumbe nilikuepo siku mbili kabla, mapenzi yangu na d yalizid shamiri,d alijitahidi kutokua na mazoea sana na wanafunzi wengine hakutaka kuniuzi, kuna siku nilitoroka bwenini usiku nikaenda kwa d baada ya kupeana rahaa kitu roho inapenda ,d alinisindikiza hadi mlangon akanibusu akasema nakupenda nikajib na mm pia,d akaingia ndani, basi ile naondoka zangu nanyata nikastuka namuona mtu kasimama mbele kumchek ni vanessa, nilistuka nusu nife, vanessa amenuna balaa akasema we mwanamke kweli kiboko loo, mnafki sana ww mwanamke ..sijawah ona mwanamke mnafki kama ww toka dunia iumbwe…….nikapigwa na butwaa mana sijui cha kusema ameona kila kitu

USIKOSE

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!