Sehemu ya 8
Tulipoishia kabla sijamaliza kusema akasema santa endelea na maisha yako achana na mm,afu akakata simu nikastuka nusu nife..nikawaza nn kimetokea nikaanza kulia tu sielewi nini shida,da silvia akasema nn mbona unalia sasa? nikasema boyfriend wangu hanielewi akasema kwa hali uliokua nauo jana lazima asielewe, au nimpigie nimuelekeze mimi? nikasema hapana mana niliogopa atajua ni ticha d,basi nikamwambia da silvia asante kwa yote dada naomba nirudi shule akasema sawa ila mdogo wangu nikushauri kitu,nikasema sawa akasema wewe hukua hivo mbona?ww sio mtu wa mahotel na mapombe,yule vanessa atakupoteza na sio rafiki mzuri kwako,jana nimekukuta mazingira magumu sana nisingeenda kikao cha harusi na kuja chooni nisingekuona mimi unafkiri ingekuaje? nikasema najuta sana nimekoma, dada akasema soma maliza shule uendelee na maisha yako mana yule vanessa mtaachana hapa hapa shule pia hujui familia yao na dhani unajua hali ya familia yako soma shule mdogo wangu, nikasema sawa dada nimekuskia nitafanyia kazi ushauri wako asante sana,akasema nilikukuta umelewa umejitapikia ndo mana nikafua nguo zako za shule usiku naona bdo hazijakauka ila tuzinyooshe uvae urudi shule, nikasema sawa asante dada, akatoka akachukua nguo kisha akaja ninyooshea nikavaa, akanipa nauli akanisindikiza hadi stendi akasema naomba zingatia ushauri wangu santa mdogo wangu, nikasema sawa dada, nikapanda gar ya kurudi shule nikiwa na mawazo mengi,hapo ni sa tano asubuhi nikaenda hadi shule nilivofika getini nikakuta mlinzi kaambiwa nikifika niende ofc ya mkuu wa shule nikajua kimenuka tayari nilitetemeka haswaa sijui nitasemaje mimi,basi nikaenda hadi ofcn ile nakaribia Ofc ya mkuu nikamuona dylan anesimama anaongea na simu akaniona lkn akageukia upande mwingine kuonesha hataki mazoea, niliumia sana nikajikaza ,nikapita tu nikaenda ofcn kwa mkuu wa shule nilivofika nikagonga akasema pita nilivoingia tu nikapiga magoti nikaanza kulia mkuu alikua ni mwanaume akasema ww ndio santa, nikajibu ndio mkuu, akasema wewe santa jana hujalala shule hujarudi kabisa umerudi sa iv afu unafika unajiliza?ww lazima urudi nyumbn kwenu au uje na mzazi siku ya mtihani, mm sikujibu nikaendelea kulia tu hadi kwikwi kitu kilichomshtua mkuu wa shule ,akaja hadi nilipo akasema ehee nini shida mbona unalia hadi unanitisha nn shida we binti,nikaendelea kulia huku natafakari nini niseme,akasema ebu jikaze niambie sasa ukilia nitaelewa vipi,nikasema mkuu mm sijawahi hata toroka shule wala kukutwa kwenye kosa lolote lkn jana nilienda mjin kwa ruhusa, nikazunguka nikakaa mahali kula chakula mana nilikua na njaa mitaa ya stend wakat nasubiri gari ya kurudi huku ni kibanda cha chips hivi, wakati naendelea kula nikatoka kwenda kujisaidia nikarudi nikaendelea kunywa soda ile nimetoka nikaskia kizunguzungu kumbe niliwekewa kitu kwenye soda na watu nisiowajua nikawa sijitambui nikajikokota lkn nikaanguka bahati nzuri dada silvia makame aliemaliza mwaka jana hapa alipita mtaa huko akaniona wanaume wanataka kunibeba akapiga kelele watu wakanisaidia ndio nimezinduka leo nikiwa kwake,mkuu akasema wee mtoto pole sana mwanangu na kweli niliambiwa huna matatizo na nikajiuliza kwa nn sasa?kumbe?pole sana na bora hawakukufanyia kitu kibaya pole sana nikasema asante mkuu huku nalia yani kama nimefiwa, akasema ujifunze usiache kinywaji tena utoke afu ukirudie kukinywa ni hatari dunia imeharibika, nikasema nimejifunza mkuu jana maisha yangu yangefika mwisho hivihivi nililia sana,mkuu akasema kwa hio hali yako vipi nikasema naendelea vizur japo kichwa kinauma sana akasema pole nenda kapumzike pia unywe maji mengi, lkn ulipelekwa hospital? Nikasema ndio waliniwekea drip la maji, akasema vizuri nenda kapumzike nikasema sawa asante mkuu,nikanyanyuka bdo nilikua na hangover jumlisha na kuogopa nikapepesuka akanishika nikatoka nje, mkuu wetu alikua mtu mzima sana na huwa anahuruma na uelewa mkubwa ndo mana nilimuweza, nilivofika korido ya nje nikamkuta ticha d bado kasimama pale akaniangalia kisha akaanza kuondoka nikamuita nikasema mwalimu, akageuka akaniangalia tu akaendelea kwenda,macho yake yalinitisha hakuwa d yule,aliniangalia kwa hasira sanamacho makavuu nikawaza nifanyaje lkn nikaona bora niende bwenini kwanza nikapumzike ,nikaenda zangu bwenini nilivofika bwenini kila mtu alikua ananiangalia huku wanaonekana wananisema,sikujua nn shida nikaingia room sasa kuna watoto wa form five walikua wanatuita mamy sisi wa form six,wale watoto walikua wananipenda sana vile nilikua nawajali,wakiumwa nawasaidia nikipewa hela nakula nao maandaz au mihogo au mishkaki,na kila chumba kilikua na wanafunzi sita sasa mm na vanessa tulikua pamoja na tulipewa wa kidato cha tano wanne,wale wanangu (kidato cha tano wa chumbn kwangu)nilikuta wamekaa kwa huzuni sana inaonesha kuna jambo limewasikitisha, nikasema nyie vipi mbona hivo?wakanikumbatia wakasema mamy pole nikasema pole na nn wakasema yani tumeambiwa eti ww jana ulilewa mipombe ukaondoka na wanaume wanne,nikasema mm?wakasema ndio eti wote wakawa wanakutia kwa zamu mbele na nyuma,nikasema mm?wakasema ndio nikasema nani kasema wakasema mamy Vanessa,nikasema vanessa huyu wakasema ndio eti amekuacha ww malaya sana na ulikua hutaki kuondoka ametangaza kwa kila mtu shule eti wasikuone ww mpole huna lolote,na alikua na picha zinaonesha uko na wanaume wamekukumbatia nikaishiwa nguvu nikaanza kulia nikasema wanangu sio hivo naomba mniamini nyie mnanijua jmn,wakasema sasa mamy ilikuaje mamy mbona na picha zipo,nilikaa nikawasimulia kila kitu hadi Vanessa kuniwekea pombe kwenye juic wakasema sisi tulijua tu ni uongo mana tunakujua mamy nikasema lkn vanessa amenifanyia vibaya jmn kweli anidhalilishe hivi mimi? Ndo mana naona watu wananiangalia wananisema wengine wananicheka,wanangu wakasema mama usijali sisi tupo pamoja na ww afu kibaya zaidi amemwambia hadi ticha dylan nikastuka nikasema nn?wakasema ndio ameenda kwa ticha dyln kamwambia na kamwonesha kila kitu hapo ndipo nikaangua kilio kikali sana wanangu wakanibembeleza sana nikalia mno huku wakishangazwa na kilio changu,nikawaza kama kuna picha Dylan atanielewaje?nitamwambia nn anielewe mm?nikalia sana wanangu wakanibembeleza nikatulia,nikataka kuoga wakasema maji yamekatika mamy ngoja tukakuchotee ila vanessa hatumtaki huku chumbani kwetu nikasema mwacheni tu ila twenden wote kuchota maji,wakasema sawa tutakua na ww kila muda mamy wakikusema waache wakuseme na sisi watuseme ila hatukuachi mana tunakuamini,nikawakumbatia nikasema nawapenda sana asanteni sana najiskia faraja sana kuwa na nyie,tukachukua ndoo tukaenda kuchota maji wanafunzi wanatuangalia wanasema lkn wanangu na mie tunapiga stor tunacheka hao hadi bomban tukachota maji tukarudi,nikaoga muda wa prepo ukafika nikamtuma mwanangu mmoja anaitwa cindy anichukulie simu kwa vanessa mana sikutaka kuongea nae,vanessa akasema hana simu yangu nikasema huyu ananitania,sikumfata lkn mi nikacheka usalama nikaona flesh huyo nikaenda moja kwa moja kwa d nikagonga mlango hakujibu kimya kimya akafungua alivoniona akasema umefata nn hapa?huku kasimama mlangoni nikasema naomba niskilize akasema nikuskilize nn?nikasema d kila stor ina pande mbili naomba niskilize akasema santa sitaki kuskia chochote toka kwako ww si umeamua kuishi hivo umeamua eeh, endelea mama mi sikuwezi utaniua bure,nikasema kuishi vip?akasema hujui?ww mwanaume mmoja si hakutoshi unataka wanne?yn santa hadi unageuzwa nyuma?kweli umekua malaya kiasi hiko?najuta sana kukubikiri ww mana ndio nikakupa nyege sasa, mi najipinda nakukunja unalia kumbe sikukolezi? kauli zake zilinikera sana nikajikuta nimemkata kibao kikali cha uso afu nikasema uwe unaniheshimu hata kama mi mdogo kwako, nilijimix hapo jmn d akanishika akanivutia ndani akasema ww unafanya umalaya afu unataka kuheshimiwa?unanifanya mm mjinga kisa nimekaa kimya si ndio?ww umenipotezea muda wangu nimekaa najua nina demu kumbe malaya mkubwa nimekuacha unanidharau unanipiga kibao ww?yn ww unanipiga mimi? akafunga mlango akafungulia mziki mnene afu akatoa mkanda akaanza kunichapa aisee akasema ole utie sauti nakuua humu nilipigwa mwanzo nilikua nalia kimya kimya nikiogopa lkn alizidi nichapa huku anasema unatiwa huridhiki si ndio?nalia tu akanitoa nguo nikabaki uchi akasema ww si unataka utiwe kimalaya naona wale wanne hawakukutosha umekuja ukojozwe vizuri si ndio,yn d alikua kama kichaa akashusha surual yake mm nalia mashine yake umesimama hata hajaniandaa kaanza kuingiza niliona kabisa nachanika akaanza kuninyandua kwa spidi nilinyanduliwa mnoo hakojoi mm huku kunauma haniachi nilinyanduliwa kwa muda mrefu na hakukojoa mm nalia sana nikaona ataniua mana naumia sana nikalia kwa nguvu zaidi akachomoa akasema vaa nguo zako nikavaa akaanza kunipiga tena huku akasema yn ww unaniletea mm umalaya mda huo sa nne na nimeenda kwake sa mbili ivi usiku jmn nilipigwaa hadi nikaanza vuja damu mdomoni, nikapiga makelele japo kuna mziki lkn nilipiga ukelele wa haja bahati nzuri mwalim john sijui alikua anapita akaskia akaja akaanza kugonga mlango anasema fungua we jamaa we dylan fungua dylan kuna nini mi nalia nisaidiee nisaidie John akasema fungua au nivunje mlango d akaniacha, akavaa suruali vizuri akafungua mlango mwalim john akaingia akanikuta nimekaa chini nalia natoka dam mdomon akasema haa wee santa kuna nini? akanisogelea akaninyanyua hapo uchi unauma balaa mwili nao unauma kichapo, nashindwa hata kutembea vizuri,john akauliza ww dyln nn kimetokea hadi umpige santa hiv tena nyumbani kwako??d hakujibu john akauliza tena akasema kuna nn?et santa umefanya nn?mm sikujib nalia tu johna
akasema d siondoki hadi ujibu kwa nini umpige huyu mtoto hivi hadi damu na nyumbn kwako pia niambie amefanya nini?,d hakujibu kitu,john akasema twende santa,d akasema hatoki hapa huyo,john akasema huyu ni mwanafunzi pia mtoto wa mtu huwezimpiga anavuja damu hiv afu nyumbn kwako usiku huu afu huna sababu au unataka nimwambie mkuu kwa hili siwe kuwa upande wako,d akasogea akasema nakuheshim sana john lkn kwa hili huna unalojua huyu mwache hapa,kama unataka kwenda kwa mkuu sawa nenda nipo tyr kwa lolote ila huyu hatoki hapa john akasema kuna nini dylan? Nieleweshe basi sasa si utamuua huyu? D akasema niache nae nitakuambia badae nitakuja kwako,john akasema sawa ila usimpige bana inatosha daah unapiga kama unaua nyoka, utapata kesi mshkaji wangu, d akasema simpigi ,john akasema nakusubiri ukichelewa nakuja tena d akasema sawa,nilitaman nimwambie john twendee wote lkn niliogopa,d akaingia jikoni akabandika maji yalivochemka akanifata akanibeba hadi bafuni akaniogesha mm nalia tu akanikanda kanda akanipa panado akaniambia lala hapo mi naenda kwa john mm sikumjibu,akatoka akafunga mlango kwa nje na funguo,sasa na mie nilikua na funguo yangu alinipa kuna siku nikavaa fasta nikafungua nikatoka nikarudi bwenini hapo nimevimba kipigo mgongoni nina mikanda ya kutosha,wanangu wakauliza mamy ulikua wapi sikuwajibu wakaniangalia wakaona nimevimba afu nina damu mdomoni wakasema mamy imekuaje?nikakosa jibu nikaanza kulia wakani Bembeleza sana wakasema mbona umevimba na damu izo nani kakupiga nikasema ticha Dylan,wakasema kwa nn ticha kakupiga?nikasema ameskia yale walionisingizia ivo amenipiga ivi, wakasema mbona usiku alikukuta wapi? nikasema aliniita ofcn kwake wakasema jmn angekuua nikasema ndo ivo,wakasema tukamwambie ukweli nikasema mwacheni tu haina haja,basi nikalala,sikuweza kwenda darasani siku tatu nipo hoi watu walizid ongea wakisema nina uchovu wa kupigwa mtungo lkn sikujali,d aliigopa akahisi ameniumiza sana akamwita Patricia moja ya watoto wangu akamuliza vip santa naskia anaumwa anaendeleaje?pat akamwambia anaumwa sana d akawa mpole alikosa pozi, pat akaja niambia,nilikua na hasira sana na vanessa na d nae kwa kutoniamini na kunifanyia unyama ule,vanessa alihama room kwetu hivo nikawa simuoni kipindi naumwa,ila nawaza simu yangu na nikajiahidi atalipa tu,ikapita wiki nikawa nimepona kabisa nikaendelea na masomo.
siku moja jioni nimetoka bwenini hapo mm na d hatuongei wala mm na vanessa hatuongei naenda zangu darasani,napita karibu na bweni lingine nikamuona vanessa na wadada fln tunasoma nao wanajulikana kwa umalaya,mara wakacheka kimbea sikuwajali vanessa akasema heheee watakatifu wapigwa mtungo wanapita yn kopo mbele nyuma heheeeee nyooo chezea vidume wewee,ile kauli ilinikera nikakausha lkn ,akasema tena mwanamke malaya hadi alikua anajitongozesha kwa ticha dylan na ticha kamtosa aibuuu kasema hali uchafu heheheeeee io ikanitachi weeee nilikereka nikaweka begi chini nikamfata vanessa pale alipo nikamkamata wenzie wakasema we santa vipi haaaa ila wewe nikasema ole wenu mtu aingilie mie nimetokea mbeya nakula maparachichi nitawaharibu sura zenu shenzii type nyie si mnaongea mi ni action sasa sogea mtu ndio mtajua mashetani yangu yalivo,nilianza kumpa kipigo vanessa sasa namkwangua na kucha nikankata mtama akaanguka nikamkalia nilipiga hadi anasema weee santa niachiee mm kimya ni kipigo tu wanafunzi wakajaa nikasema ww umeniwekea pombe kwenye juic yangu ukanilewesha ukataka uniuze nimeokolewa na dada silvia makame unakuja nichafua shuleni kwa uongo?leo nakunyoosha mbwaa ww akasema niache ukoo niachiee unaniumiza nikasema leo hadi kieleweke shenzi kabisa wa wa kunichafua mm wewe?yani wa kuniharibia mm kwa bwana angu?nikiongea sikujali nikasema nakuua leo nikaendelea kumpiga wanafunzi wamejaa wengine wakaanza kuamlia wanangu nao wakawa wamefika wakawa wanapambana na wanaoingilia nilivoona nimemuivisha nikamshika nikamnyanyua nikamkaba kooni kwa nguvu nikamwambia sema uliyotatangaza huku nikuskie semaaa wanafunzi wanashangaa mashosti sie, vee akawa analia tu nisaidieni ananiua huyu nikasema sema pumbavu kina pat wanasema sema ukweli umemchafua sana mamy wetu,vanessa akasema nasema nasemaaa akaanza kusema kweli nilimchafua sio kweli kabisaa yote niliyosema mm aliniuzi nilitaka kumchafulia watu waone mbaya nilikua namlipizia tu lkn sio kweli hata kimoja, wanafunzi wakasema heeeee we vanessa mshenzi kumbee loo apigwe huyo nikamwambia una kitu changu najua unakijua sema kiko wapi? akasema kipo bwenini kwenye begi nakupa nikamwambia pat nenda kwenye beg lake chukua kitu changu chochote utakachokikuta pat akasema sawa mami huyo akaenda,nikaanza upya kumpa kichapo yn ni makofi ngumi mateke namkwida na alivo aliivaaa vizuri nikikumbuka unyama wa d napagawa nampigaa haswa, wanafunzi wengine wakawa wanamtukana vanessa wanasema looo mchawi ww ukamzushie mtoto wa watu nambo machafu na akati alikua rafiki ako mchawii ww unataka afanane umalaya na ww?msichana laana wewee wanasema piga uyo akome mshenzii anajifanyaga mzurii sana shule hiii hata nguvu hana mdomo tu haya leo bubu kasema ulimuonea sana santa,hapo mie hasira zinapanda nampa kichapo hasa mara wakaja mwalim john na dylan na madam monica wapo mbio nahisi kuna wanafunzi waliwafata, wanafunzi wakastuka mm wala sijamuachia Nampa kichapo tu mwalimu Monica anasema wee santa ebu acha mm sielewi nalia hapo nampa kichapo cha haja wananiambia acha ww mm nimemkwida tu nalia balaa madam akatuachanisha akashindwa mm simuachii vanessa nimemkwida haswa mara dylan akaja akanishika vile ananguvu na nampenda akaniweza akanishika akanikumbatia kwa nyuma ivi mbele ya wanafunzi na walimu…mimi hapo nalia sanaaa machozi tena kwa nguvu sanaa kama nimepigwa mm ,dylan akanikumbatia kwa nguvu….
USIKOSE
All Rights Reserved © | Simulizi TAMU