Mahaba ya Dhati (12) 💞❤️

Sehemu ya 12
jamaa alikua na mjegeje wa hajaa yn mashine inataka kuendana na ya dylan,mashine ya maana lkn kamzidi kidogo d.sasa vile sikufanya mapenzi mda mrefu na nilizoea mjegeje wa d size yake tam nikajikuta napagawa nyege zimenipanda nikakumbuka maneno ya aunt rose kuwa jamaa nikimpata vizuri ndio nimeaga umasikini na nitalea mtoto wangu na kusoma kwa raha sasa mambo si ndio haya ngoja nimuoneshe ,nilikamata mashine nikaanza kuchezea mara nilambe na kunyonya niliichezea michezo yote ya mdomo na vidole, nae akanichukua hadi chumba cha pili tokea kile kikubwa chake mana mtoto alilala kule chumba kikubwa, nikalazwa kitandani jamaa akazama chumvini alicheza huko akaja katerero nadhani mnaipata eeeeh io katereroo, bana we’re sikuwahi fanyiwa wacha nijikojolee mara kadhaa, nilirusha vitu jmn uwiii,nilikua hoi kwa kuenjoy nililambwa na kunyonywa kila sehemu ya mwili, nilichanganyikiwa na raha baada ya kuridhika na maandalizi yake sasa jamaa akaanza sasa kujegejea weeeee tulikwichi kwichi na kujigijigi kila styl, wote tulikua na hamu tulikua kama tunakomoana mecho mechi kweli nilishugulika haswaa nae alishugulika. Haswaa kitanda kilikoma ukuta ulikoma pande za kitanda zilikoma yani kama chumba kingekua kina mdomo kingewasimulia jjnsi tulivokisulubu, jamaa ni mtamu jamn ukijumlisha na akivo handsome, afu tajirii na anajua kuti amnoo, jilipagawa sana nilienjoy sana tulibiduana bila kuchoka ,rodney hakuacha kunisifia mi mtam sana mashine tite kama sijazaa na mie nilimsifia mnoo mana alikua kunikuna haswaaa kama kipele kilichowasha alijua kukikuna vilivyo,tuliendelea kupeana raha sie hadi tukakatizwa na sauti ya mwanangu DJ (dylan junior)analia balaa huko chumba cha pili kama katumwa na babake atukatishe mambo yetu, Rodney akasema bby DJ kaamka tukamchukue aisee ila daah santa nakupenda sana we mtoto, nikacheka tu nilikua yees nimemkuna kunako vizuri, tukaoga fasta tena kwa kujisugua haswa tusije haribu mtoto baada ya kuoga nikavaa nguo nikaenda mchukua nikiwa na rodney, nilijiskia raha Rodney alivompenda mwanangu, niliona Rodney ni mwanaume wa pekee sana.

Mapenzi yangu na rodney rasmi yalianzia hapo nilikua napendwa sana na rodney tulikua tunapeana sana utamu kila tukipata nafasi,pia alikua anamsaidia sana aunt rose kwenye biashara zake kitu kilichofanya aunt azidi nipenda dana mimi,nilikua namtumia pesa dadangu silvia pia na mama sikuacha na sikusahau wema wa silvia,mimi kila nilichotaka nilipata na nilipewa gari spesho na dereva wa kunipeleka napotaka, rodney hakutaka nipande bodaboda wala niteseke na daladala, aunt rose alinipunguzia sana ratiba ya kukaa supermarket ili niwe napata muda wa kuwa na mwanangu na rodney pia, ivo nikapata muda nikafundishwa hadi kuendesha gari pia,nilipendeza na kunawiri sana nilikua kama wadada wenye pesa yani bosy lady kabisaaa ila sio zari 😂😂na mwanangu akawa kipenzi cha rodney watu walijua ni wake kabisaa kumbe sio wake,tulipendana na rod mpaka mtoto akatimiza miezi tisa na mda huo akawa anatembea mwanangu alikua mwepesi sana miezi tisa anatembea na kitandani hakojoi kitu ambacho kilifanya rod akasema huyu mtoto ni kama sisi kwetu mana mm nilitembea nikiwa na miezi nane lkn mdogo angu alitembea miezi tisa nikasema labda karithi kwako akacheka,rod akasema bby tushakaa mda mrefu mm na ww sasa mwezi wa 12 nikupeleke nyumbn kwa wazazi wangu wakakuone nikakutambulishe rasmi, nilifurahi sana nikasema sawa akasema ila kabla inabidi uende mbeya kwanza bby, ili mama akakuone amuone na mjukuu, nikasema sawa pia japo naogopa akasema wala usiogope kila kitu kitakua sawa mpenzi wangu,basi nilimfata aunt nikamwambia mana bdo nilikua nafanya kazi kwake sikuacha mana alikua bado hana mtu wa kusimamia pia sikutaka kumuangusha aunt kisa nimepata bwana niache gafra mtu amenisaidia,aunt akasema wazo zuri vile mm nipo sa ivi ww nenda tu nyumbn, nikasema sawa asante aunt,rod akasema vile mdogo ake yupo mbeya anasimamia kampuni yao basi ataenda msaidia mda wote nitakao kuwepo ili twende wote na turudi wote nisipate shida na mtoto njian,nilifurahi nikasema sawa bby asante.
Tulipanga safari siku ilipofika rodney akanipeleka hadi mbeya tulivofika tukapita madukani mana tulifika mapema nikanunua zawadi mbalimbali nguo za mama na wadogo zangu pia simu za wote nilinunua smart phone nzuri na vyakula nikaenda na rod hadi nyumbn nilivofika nikampigia mama kuwa nipo nje mama akaja na wadogo zangu wakanipokea kwa shangwe wakashangaa nina katoto hawakuuliza wakakabeba nako kanacheka tu,rod akamsalimia mama, mama akaitika kwa shangwe nikawambia wadogo zangu washushe mizigo, mizigo ikashushwa kwenye buti rod na wadogo zangu wakaingiza ndani,rodney akataka kuondoka mama akasema hapana mwanangu naomba ubaki tupike tafadhari baki baba usikatae, Rod ikabidi abaki basi nikamtambulisha rod kwa mama kuwa n rafiki tu mama akafurahi na kumshukuru kwa kunibeba,chakula kilipikwa kuku alichinjwa vile mama alikua anafuga tukala na rod kisha Rod akaaga anaenda kwa mdogo ake nikasema sawa,nikamsindikiza kwenye gari akaniaga akanipa mahela akaondoka,mm nikarudi ndani nikakuta mama na wadogo zangu wanamshangaa mwanangu mama akauliza mbna rafiki ako ameacha mwanae?nikacheka nikasema mama huyu ni mwanangu mama akasema weee nini? muongo wewe, nikasema kweli mama ni mwanangu huyu ni mjukuu wako ndio maana niliondoka nilikua na mimba mama, nisamehe mama nikapiga magoti mama akasema nyanyuka mwanangu mtoto ni baraka nashukuru hukuua umezaa na wote wazima pia umesoma angalau mwanangu nimekusamehe kwa moyo mmoja simama nikasimama, mana akambeba DJ Akasema karibu nyumbn mme wangu mana wewe ndie baba wa familia hii mme wangu akambusu,na wadogo zangu wakambeba wanafurahi wanamgombea,mama akasema huyo kijana ndio baba wa mtoto?nikasema hapana mama,mama akasema weee mbona wamefanana sana na huyu mtoto?nikasema imetokea tu lkn sio hata ndugu yake, mama akasema babake yupo wapi nikasema babake hajui hata kama nilikua na mimba sikuwahi mwambia na tulipotezana mama akasema pole lkn amekua tunashukuru Mungu, ameni mama,basi tuliongea mengi sana nikawapa zawadi zao wakafurahi sana nilikaa wiki nzima bila kutoka nyumbn,nilikuta mama anaduka kubwa amejenga nyumbn hapo hapo,amejaza na anafuga kuku wa nyama na mayai ndani kumebadilika kumependeza akasema hela zako mwanangu nimefanya haya nikasema hongera mama maana kipindi hiko alifulia kule kazini walipunguzwa,akasema umeninyanyua mwanangu sa iv nina kiburi na mimi natamba mjini, nikacheka sana nikasema Maombi yako mama nikapata kazi nzuri na bosi ananipenda sana mama akasema ameni,nilifurahia maisha ya familia yangu mama akasema ukienda chuo mjukuu wangu muache nitalea mwenyewe nikasema sawa mama asante akasema lini unaenda nikasema mwaka huu mama lazima nianze akasema sawa,nikakaa tena wiki ingine rod yeye anakuja niona kila siku na kuondoka.

siku moja nikatoka kwenda mwanjelwa nilitaka nikatafute nguo za mtoto mana mbeya kuna chimbo la nguo nzuri na bei nzuri na mama aliniomba nikamnunulie vitu vya dukani,nikaenda na tax mana pesa ipo bana we’re muke ya bosi rodney ni bosi pia ndo mimi sasa wooiiii nilivofika nikanunua nguo za mtoto sasa nirudi nivuke barabara niende maduka ya vitu vya dukani nikaenda hadi sehemu ya kivuko ile navuka mtu alikua kwenye gar akaniita santaaaa santaaa sauti haikua ngeni maskioni alikua ni mwanaume nikageuka,sikuamini macho yangu,alikua ni dylan baba wa mtoto wangu,mwanaume wangu wa kwanza,mtamu wangu nilistuka niko barabarani akasema naomba simama hapo pembeni napaki gari pliz simama santa pliz…nikamalizia kuvuka barabara najiuliza nisimame au?dylan mbeya anafanya nn?na tutaongea nn mimi na yeye?

USIKOSE

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!