Sehemu ya 13
nikasimama lengo langu nimskilize tu anasemaje,alipaki gari pembeni mbele kidogo akanifata yn alizidi kuwa handsome kapendeza, kumuona kwa ukaribu moyo wangu ulijawa furaha nilitaman nimkumbatie nimbusu nilimmis sana nilikumbuka mapenzi yetu yani sijui nimelogwa?,akanishika mkono mwili wangu ukasisimka kwa hisia nzito za mapenzi mwili wangu ulimkumbuka baby daddy wakwanza wangu,akasema santa ni wewe?nikasema ni mm si unaniona, akanikumbatia watu wanashangaa barabarani akasema nimekutafuta sana santa sanaaa hakuna aliekua na namba yako nimeenda sana shuleni lkn hata cheti hujafata niliacha ujumbe sana ukienda nitafute,nikasema kwani hauko pale?akasema ni stor ndefu naomba tukae mahali nikusimulie,nilivo fala akili matakoni nikakubali akanishika mkono akanipokea na mzigo tukavuka tena barabara hadi kwenye gari yake,alikua na gari nzuri sana tukapanda hadi uzunguni kuna hotell moja nzuri tukakaa hapo,tukaagiza vinywaji mm juice na yy juice akaanza kunisimulia kuwa alifatwa na babake akaambiwa aache kazi vinginevo atamlaani mana yy alikua hataki kusimamia biashara za familia yake ivo babake akamtisha ikabidi aache aondoke alivofika alitegemea atamshawishi babake ili arudi kazini lkn kumbe babake alikua anaumwa hawezi fanya biashara zake ivo akamtuma nje ya nchi akawakilishe ndio mana alikua hata hapatkani,akarudi eti akaja shule kunitafuta kakuta tushamalia akaja mbeya hapajui napoishi ivo akaona aishi mbeya angalau anitafute,nilichanganyikiwa akasema nakupenda sana na sijaoa mm mpka leo nilikua nakusubiri wewe santa, nataka kukuoa ww santa,kuskia ivo akili ikaruka kabisaaa kwa furaha, mara rodney akapiga nikanyanyuka nikaenda kuongelea pembeni nikapokea nikasema hallow bby akasema vip umeshindaje bby?nikasema salama akasema mbona kama hauko powa nn shida?nikasema nimechoka tu akasema upo nwapi nikasema nipo mjini kuna rafiki angu nimekutana nae tunapiga stor akasema sawa ukimaliza niambie nikufate nikasema sawa nikarudi kwa dylan,muda huo yeye alikua kimya tu mi nikasema ww muongo akati ulikua na mdada akaja hadi shuleni kwako?akasema mmhh sio kweli mbona sijawahi leta mwanamke mm pale nikasema yule alikuja nashepu na mzur ni nani?akasema ni dadangu kabisa tena wa kwanza kwetu ila ana mwili tu mdogo nikasema kweli akasema ndio alikuja kunitembelea,nikadata akasema sina mwanamke naeweza mtambulisha santa nilikua nakutafuta ww tu, tusahau ya nyuma tuanze upya mpnzi wangu, ila ww nahisi una mtu nikasema ndio ninae akasema unampenda?nikamwambia ndio na siwezi kumuacha.d akasema santa unaniumiza sana ina maana ww ni rahisi kunisahau na kuwa na mapenzi na mtu mwingine?yn santa mapenzi yangu yote umesahau?nikasema ww ndio ulianza kutoniamini nimesingiziwa hukutaka nielewa akasema ungekua ww unapigiwa simu unaskia mwanamke wako anaambiwa atatiwa sana mda huo na ukaoneshwa msg na picha na video mm niko na mwanamke nanyonywa mate na kushikwa chuchu ungevumilia?nilijitahidi santa uliniumia lkn mapenzi yngu yalikua ya dhati kwako mpaka nipo mbeya pamoja na yote uliofanya,nikasema bdo unaamini vile akasema hujawahi nipa ukweli nikasema skiliza,nikamsimulia ilivokua na mpaka dada silvia kanichukua akasema daa vanessa mshenzi sana nikasema ndo ivo,tuliongea sana hadi nikamwambia naomba niondoke akasema bby naomba nifkirie jua nakupenda sana mwenzio,sikumjibu nikapanda kwenye gari yake kabla hajaondoa gari akanigeukia akanishika usoni akasema bby kweli hufeel chochote kwangu alivonishika nikasisimka nilimpenda toka zamani jmn uwii, nikafumba macho nikasema niache nina mtu mm akanisogelea akasogeza mdomo wake karibu na mdomo wangu hapo nikaanza kutetemeka akasogea karibu akaanza akuninyonya mate huku anachezea nywele zangu ndefu weaving ya gharama og nilionunuliwa na rodney wangu jmn, nilipagawa nikawa kama nimeduwaa naskia mwili mzima kama umepigwa shot,akaninyonya mate akaniachia mm bdo nimefumba macho akasema huyo mwanaume wako anakufanya ujiskie hiv kama unavojiskia nikikushika mm?aliongea huku ananipapasa shingoni,machozi yakanitoka nimemmisi na Rod ananipagawisha sana kuliko d lkn d bdo nampenda pia nikakumbuka matendo ya rod tokea nina mimba kanipenda ananipa Kila nachotaka jmn niliniskia vibaya, nikamwambia pliz d naomba niache mpnz wangu ananipenda sana sipashwi mfanyia hivi,d akaniacha akachukua simu yangu akachukua kidole changu akatoa finger print akaandika namba yake akajibip akasema unaenda wapi nakupeleka nikasema madukan,akanipeleka akataka asubiri nikasema bby wangu ananifata akasema sawa akawasha gari yke akaondoka,nilitaman kumwambia abaki nikatamani kumwambia anitie mwili wangu unamuhitaji nimemmis sna mwili na roho yangu vilimtaka lkn nikikumbuka rodney wa watu nakosa poz,nikanunua vitu vya mama nikampigia rod simu akanifata nikapanda gari akaanza nipeleka nyumbn,nikiwa njian nilikua na mawazo mengi sna nilimmis sana d na nikawa nawaza busu zake na mpapaso wake,aliamsha hisia zangu haswaa huku pia namkumbuka rodney na wema wake nikawa nimechanganyikiwa,rodney akasema bby uko powa mbna upo hivo?nikamuegamia nikasema rodney akasema naam,nikasema nakupenda sana usiniache sawa akasema bby siwezi kukuacha sababu nakupenda sana bby nakupenda sanaa sanaaa, nikasema leo nataka kulala na ww bby nimekumis nilijisemesha mana niliogopa nitamfata tu d tuu nilishakua vibaya nina ham sana,akasema sawa lkn nyumbn utaagaje?nikasema nitajua tu mm n mkubwa akasema sawa,tukafika nyumbn tukatua mizigo nikasema mama naenda muona rafik angu tunduma anaumwa mama akasema sawa utarud leo nikasema hapana nitarudi kesho mama akasema sawa,nikamuandaa mtoto na kitanda chake tukaweka kwenye gari tukaondoka hadi hotel mtoto akala nikamnyonysha akalala ukabaki muda wa mm na bby wangu sasa akawa ananishika lkn wapi ule mzuka sipat nikaumia sana sikupaswa mfanyia hiv rodney wangu ivo nikajilazimisha kumpa penzi japo sikuwepo hapo kiakili nilikua namuwaza d,tulikaa pale siku mbili nikawa bdo sitak kumuacha rod niliogopa sikujiamini kabisa hisia zangu rod akasema bby kama vip turudi iringa nikasema sawa bby turudi haraka akasema lkn kuna kitu naomba nikuukize samahani lkn kama nitakukwaza bby,nikasema uliza tu akasema bby kuna kitu gani kinakutatiza?mbona upo na mimi kimwili tu nakujua sana santa yn hadi mapenzi unafanya ilinradi tu niambie nini shida bby wangu,nikamkumbatia nikasema rodney kiukweli nakupenda sana toka moyoni lkn mimi ni mjinga sana bby nisaidie bby wangu nisipotoke,Rod akasema bby chochote unachopitia najua kila kitu kitakua sawa,mi nakupenda na nitakupenda siku zote za maisha yangu.basi hizo siku zote d anatuma msg sijib anapiga sipokei na uzuri rodney alikua hashiki simu yangu, tukarud nyumbn nikamuaga mama nahitajika kazin nikajiandaa huyo nikaondoka hata sijamuaga d,tukafika iringa maisha yakaendelea,nilikua najitahidi sana kuonesha mapenzi kwa rod lkn badonilikua namuwaza sana d,siku moja nikiwa nimekaa supemarket simu yangu iliita kuachek ni nmba ngeni nikapokea alikua dylan baba DJ original wangu,nilivopokea akasema santa mbona unanitesa ivo?mbona unaninyanyasa mwenzio?kosa langu kukupenda au?nakutafuta siku zote lkn hutak hata niangalia mwenzio?au hadi uskie nimekufa ndio utanijali?nakupenda santa nakupenda sna nateseka na penzi lako naomba kubali nikuoe kabisa santa.nilikosa jib akaendelea kusema unanikatili nafsi yngu hupokei simu hujib msg wakati najua unajiskia navojiskia mm santa umesahau mapenzi yetu?umesahau kila kitu kweli darling mm nakumis,namis joto lako,tabasamu lako,mwili wako,utamu wako nakumis bby wangu,unachofanya ni kumuumiza ulienae zaidi mana najua humpendi santa unanipenda mimi, kumbuka mimi ndio najua thamani yako mimi ndio mwanaume wa maisha yako mwanaume wako wa kwanz pliz nipe nafasi nateseka mnoo nitakufa bila penzi lako mwenzako,naomba nikuone mara moja tu basi uniambie hunitaki kweli ili mm nitafute mwingine nioe mwingine mana nataka kuoa sitaki kuwa peke wangu nimechoka,niliumizwa na kauli zake nikakumbuka mapenzi yake na alivokua ananilea,nikajisemea hakua na kosa jmn nikamwambia mm sipo mbeya nimeondoka,akasema upo wapi nikasema dar akasema nitakuja nikasema nitaondoka nina safari akasema santa mama nimekumis mwenzio nakupenda sana,akasema nilitaman sana kukupa mimba ili uwe na damu yangu popote uendapo lkn ukawa mjanja hushiki mimba nilikua natamani siku useme una mimba yangu ningegeuza mawe na milima yote kukulea na kukupa kitu utakacho lkn haikutokea nakupenda santa sana,maneno yake yalinifanya nijute kutokusema kumbe ningesema hio mimba lkn nikauliza na yale mambo ulioambiwa je?akasema ningejua ni yangu mm ndio nilikua nakutia peke angu,nikajisemea ungejua una mtoto anatembea sa iv usinge sema,d aliongea mengi sna yaliyonichoma na kutamani kumfata lkn nikimuwaza rod na mema yake naumia,siku io hatukugikia muafaka ivo d alikua anipigia simu mara kwa mara ananitaka lkn nikawa najikaza nakataa ikapita mwezi nikajisajili vyuo aunt aliniruhusu akasema yy sa iv hatosafiri ivo atakaa mwenyew supermarket na sikuomba mkopo nikapata mzumbe diplom nikaenda mzumbe nikajiandikisha kila kitu hapo Rod anasimamia show, nikaona nimpeleke mtoto ka mama pamoja na dada wa kazi kwa mama nikaenda nilivofika nikakaa kesho yake nilipigiwa simu na d alivouliza nikasema nipo Mbeya jmn akasema nionane nae nikasema hapana akasema naumwa sana nakuomba uje mana naweza kufa muda wowote, kuskia anaumwa nikaenda aliponielekeza nikamkuta amevaa bukta tu ju hajavaa kitu nikaanza mtamani kifua chake alivoniona akafurahi nikakaa tukapiga stori lkn nilishakua na nyege sana na yeye,,d akanisogelea nikazidi kudata akaanza nishika shika ananitomasa mwili huku ananinyonya mate,sikumbishia wala nilikua nataman sna baada ya sekunde akanitoa nguo zote nae akatoa bukta mshedede wake ukawa wazi umesimama hatari…je nn kiliendelea?nn hatma ya rodney?na jee d amesamehewa?
USIKOSE
All Rights Reserved © | Simulizi TAMU