Sehemu ya 15
Nikasema mbona sikuelewi d?akasema lini ulipanga kuniambia dylan junior n mtoto wangu?nikastuka akasema ulifkir siri santa yn mm nalala na ww nakutia lkn unashindwa niambia ww una mtoto wangu?we mwanamke kiboko wewe, nafkiri ulikua na mpango wa kudhulumu damu yangu si ndio?yani mwanangu tokea tumboni sijui na wote tunajua kwa uhakika kabisa ulimpata akati upo shule lkn hukusema chochote,umebeba mimba umezaa amekua vile sawa mwanzoni unaeza sema sikuwepo lkn tumeonana husemi kumbe una mtoto wangu?ukaondoka na bwanako kimyaa kweli? Ina maana sina haki na mtoto wangu? nikasema jmn d sio ivo kwan ww umejuaje?akasema santa amka ww mbona unaakili nyingi sana akanipa album akasema angalia picha hizo,nikaanza kufunua zilikua ni picha za dylan wangu nikasema umepata wapi picha za Dj akasema unaona sasa huyo sio dj ni mm wakati nina umri kama dj nilikua ivo,kiukweli walifanana sana,nikakosa pozi akanipa makaratasi ya hospital mama aliandika jina la babake halisi ivo akati analipa aliona majina yake akasema unataka bdo kujua?nikapiga magoti nikasema naomba nisamehe d nilikua nashindwa namna ya kukuambia lkn mtoto ni wako,akasema kwa nn tumeonana bdo ukawa unaninyima haki yangu?na kwenu uliwaambia nn?au ulisema nimekataa mimba nikasema hapana,akasem akwa nn hukuniambia kipindi una mimba?nikasema nilikuja kukuambia ukawa na yule dada nikajua mpenzi wako sikutaka haribu,d akasema hata kama angekua mpnzi wangu nilipaswa kujua mana ile ni damu yangu,nikasema na yale maskendo ungeniamini?akasema santa moyo wangu ungekuamini tu,yn umenikosea sana ww mwanamke kuninyima haki ya kuwa baba kwa mwanangu,nikaomba sana msamaha lkn alichukia sana,nikalia mnoo akasema ulivosema huyo jamaa kakusaidia ilikua inahusiana na mimba na mtoto?nikasema ndio yule kaka alinipenda na kunijal wakati nina mimba na kujifungua na kila kitu cha mtoto alifanya yeye kaka baba, d akasema yule sio babake mimi ndio baba unaskia, nilikutia mimi ukapata mimba unaniskia santa, nikasema ndio bby, d akasema nitamshukuru sana huyo jamaa yko,lkn nataka nafasi kwa mwanangu nimlee kama baba yake mana mimi ndio babake, nikasema sawa akasema au umeshamuuzia jmaa mtoto wangu?sema tu ukweli, nikasema hapana sijafanya ivo, ye anajua kuwa mwanangu ana babake, ila amemlea kama mwanae tu, d akasema babake nimekuja sasa nataka nafasi yangu nikasema sawa nimekuelewa lkn naomba muda nimwambie yule kaka kuhusu ww kuwa umekuja akasema sawa,na mm nawambia ndugu zangu pia nitafanya taratibu zote za kujulikana kwenu na kujulikana mm kama baba wa mtoto nikasema sawa,akasema kwa io chuo unamuacha mtoto nikasema ndio akasema hapana sitaki mwanngu abaki na bibi mana mi malezi ya kina bibi nayajua mtoto atadekezwa sana sitaki io, naomba uende nae tena kasome dar sio moro mana kule mazingira mazuri kuishi na mtoto,nitakupangia nyumba na kulipa house gal ilimradi mwanangu uishi nae ww sawa,nikasema nilishaongea na mama lakini akakubali d akasema pliz nahitaji kukaa na mwanangu naomba fanya uwezavyo,mwelekeze mama kuwa mtoto anatakiwa kuishi na babake na mamake ataelewa tu, mm naongea na ndugu zangu soon nakuja kwenu nikasema sawa,basi nikarudishwa nyumbn nikaongea na mama mipango ya d mama akasema mmh mwanangu mbona kama gafra? Unauhakika na huyo baba mtoto wako? Mi namuona kama mjanja sana, mi nikasema mama usiwe na shida namjua hana shida, mana akasema sawa mtoto ni wenu fanyeni mtakachoamua nikasema sawa mama, sasa kimbembe rod namwambia kwa nn ninabadili chuo na namwambiaje kuhusu d?nikawaza nikaona nimpigie da silvia simu,nikamsimulia kila kitu na kuwa mtoto wangu ni wa ticha d,silvia alishangaa sana akasema unajua d ashawahi nifata anakuulizia na kutaka namba yako nikajua labda n mambo ya shule nikasema upo mbeya tu namba sina?nikasema kweli akasema ndio na alionekana anakutafuta sana nikasema ndo ivo,akasema dogo ww noma ukajipatia ticha handsome nikacheka akasema sasa ww mwambie ukweli rodney kuwa babake mtoto kawatafuta na anataka nafasi ya kuwa na mwanae,nikasema sawa akasema lkn ww na yy si mliachana?nikakosa jib akasema mmmh santa umerudiana nae nikasema dada nampenda sana d sanaa ni mwanaume wangu wa kwanza pia baba wa mwanangu,silvia akasema jmn nakuelewa mdogo wangu ila rod sasa itakuaje mana anakupenda sana anakujali mno na anataka kukja kwenu si ukiniambia? Utamuumiza sana kaka wa watu santa, ebu fikiria kwa lakini fanya maamuzi sahihi, nikasema sijui hata nitafanyaje anielewe dada silvia akasema upo ktk wakati mgumu sana wanaume wote wanataka kukuoa ila d mwalimu pesa zitakua za kawaida sana ,nikasema sio mwalim tena na ana hela mana ana nyumba mbeya n ya kisasa balaa na magari ya kifahari ana kampun yake,da silvia akasema ndo mana nilikua namuona tofauti yule hajakaa kiwalim kabisa,afu akasema mdogo angu omba Mungu akupe mwanaume sahihi kati ya hao wawili japo mimi ni team rodney nikasema sawa dada akasema ila rod mjulishe kuhusu baba mtoto nikasema sawa,siku ilofata nikamchukua dj nikaenda nae kwa babake nikamtambulisha dj kwa babake na nikamwambia dj huyu ni babako,dj akawa anamuangalia anasema baba nikasema ndio d alifurahi sana akambeba mwanae dj hakumkataa wala ,basi tukatoka tukaenda ofcn kwa d akawa anatambilisha kila mtu anasema huyu mwanangu ndo prince dj,wafanyakazi wanafurahi wanamchukua japo dj alikua anakataa watu,tulizunguka nae sana mtoto hapo ana bandej kunwa mkononi, kisha siku io tukalala wote mimi na mwanangu na babake,nilifurahi sana,d akampigia john yule ticha video call akamwambia ongea na huyu,john akasema nani d akanipa mm simu john alivoniona kasema jmn huyu ni santa khaa amekua na amekua mrembo zaidi nyie watu mpo?d akasema si nilikuambia nitamtafuta na nitampata?na tuna mtoto akamuonesha dj,john akasema aiseee lini tena daaaa jamaaa ulikojoa mkojo mzitoo mana mtoto kafanana na ww balaa,tukacheka tuliongea sana na john tukakata simu,tukasubiri mtoto amelala tukaanza yetu ya raha tulitiana kidogo nikaaga kesho naenda iringa kuongea na mwanaume wangu,d akasema pliz usitiwe huko nikasema sawa akasema sawa akanishika tena kuanza mtiano,nilichezea ududu jmn nilitiwa kwa fujo hadi nilichubuka k yote inauma,akasema sa iv nitakua na amani hutotiwa na jamaa, mana nimeacha majerui, nikacheka nikasema ww ni muuaji d khaa ndo nini? akasema hapana bby kawaida tu,basi kesho yake nikaanza safari d alimtuma dereva wa kwenye kampuni yake anipeleke hadi iringa eti hataki mwanae apate shida njiani sifa hazikumuacha, nilifika mapema nikaenda kwangu, jion rod akaja nifata tukaenda kwake akataka kutiana nikamwambia naumwa sana tumbo,mana bdo k haikua sawa akasema pole bby, umepata dawa? Nikasema ndio nimepata sawa,tuliongea kidogo mambo mengine tu kisha nikamwambia bby kuna kitu nataka kukuambia akasema sawa nambie, nikamwambia kuwa bby baba wa huyu mtoto amenitafuta tukakutana mbeya, aliskia nina mtoto akataka kumuona ikabidi nimuoneshe kamuona na sa iv anataka kuwa kwenye maisha ya mwanae,rod akasema okay ww je upo tyr?nikasema sababu n babake hatuwezi mnyima haki yake,rod akasema kweli kabisa kwa hio anataka kumchukua?nikasema sijakubali hilo ila anataka kumlea na kumtunza pia awe na muda wa kumchukua na kucheza nae,rod akasema sawa lkn mbna umekuja nae si ulisema atabaki kwa mama mm nikasema nimeona amepata hili tatizo sina amani bora niishi nae mm na pia bora nisome dar mana kule mazingira ni rafiki kuna hata ndugu kule,nilidanganya,rod hakua na pingamizi aliniskiliza sana mimi, basi tukaongea na nikalala pale hadi asubuhi bila bila,kesho yake nikaenda dar nilikua mgeni kidogo na dar lkn d alimtuma mtu anipokee wakati rod nimemdanganya nina ndugu,nilishataftiwa nyumba nzima karibu na chuo,na iliwekwa kila kitu d akasema anakuja kesho yake,basi nililala pale kesho yake sikwenda chuo hapo nawasiliana na rod na pesa kibao kanipa nilishamuomba dada silvia anitaftie wadada wa kazi kijijin vile kwao iringa alishapatkana mana yule wa zamani alishaenda kwao, wakasema anakuja kesho yake ivo nikawasiliana na d ampitie anavotoka mbeya,d alikubali na alimpitia wakafika dar salama,d alifikia kwangu,alivofik tu alimchukua mwanae akawa anacheza nae, akasema ameshaongea na wajomba zake na baba zake kuhusu mtoto ivo jumapili atanipeleka na mtoto wakatuone siku io ilikua jtatu ,nilifurahi,wakati huo bdo nawasiliana na rod vizuri tu d tulilala nae pale, nyumba ilikua na vyumba vinne vya kulala,sebule dining,jiko na stoo nyumba ni nzuri na ina geti,kesho yake nilipelekwa chuo nikaandikisha kila kitu tena na nikapiga simu mzumbe kuwa siendi tena nikajisajili coz zangu nikamaliza mengine wakasema nimalizie kesho yake nikakarudi nyumban na d na mtoto,kesho yake nikapelekwa tena nikamaliza usajili na nikachukua ratiba nikaenda kulipiwa ada bnk na d wakati huo rod alishanipa ada nikarud nyumbn,nilimuelekeza dada wa kazi kuhusu mtoto pia chuo na nyumbn sio mbali ivo naeza rudi kula na kurudi chuo,uzuri dada alikua muelewa na anapenda watoto.
Ilikua alhamis rod akaniambia anakuja dar mana anakikao cha familia kwao nikasema sawa akasema akifika atanitafuta tuonane mahali mana alijua naishi kwa ndugu nikasema sawa,alivofika akanitafuta tukaonana hotel tukala tukaongea, akasema anataka anipangie mm nikakataa nikasema hapana nitakaa kwa ndugu tu pia sababu ya mtoto,yani nilidanganya mno hadi huruma,basi tuliongea sana akataka utamu nikasema nabrid kumbe mwenzie natiwa kila siku na d naish nae yani analala na kuamka nayo kwa wakati huo,rod akaondoka kwenda kwao tuliendelea kuwasiliana kwa simu, jmos d aliaga anaenda kwao ovo ikafika jpil d akaja nifata niende kwao sasa na mtoto,nilivaa vizuri nguo za heshima tukaenda,tulifika kwao aiseee ni kwa kishua haswaaaaa, nilikaribishwa vizuri na wazazi wake nikamkuta na yule dada aliekujaga shule,nikatambulishwa baba na mama na dada yake pia na bavake mdogo na mjomba ake, familia yao wapo njema ni matajiri wana bonge la mjengo na magar pia makampuni,baba na mamake wakamchukua mtoto , mm d alinitambulisha kama mwanamke anaenipenda,wakanikaribisha sana, sasa babake d akauliza kakako yupo wapi mbna alikuepo hapa, d akasema alikua anaongea
na simu chumbani huko mara akasema aah yule anakuja,mm nlikua naongea na mama mkwe wakati huko ananihoji mambo mbalinbali sasa d akasema mama dj msalimie kakangu huyu nikanyanyua uso kumwangalia huyo shemeji yangu uwiiii nilistuka nusu nife mwenzenu,alikua si mwingine ila rodney kaka alienipenda sana na mie niliemdanfanya sana amesimama nae amepigwa na butwaa ..mm nikabanwa na haja hapo hapo,mkojo unataka kutoka tumbo la kuharisha linauma jmn nn hiki
mm?uwiiii mimi jmn ,je nn kilitokea unafkir?
USIKOSEEEEE
All Rights Reserved © | Simulizi TAMU