Sehemu ya 17
Nilikosa pozi kabisa nikawa nashindwa hata kuongea,akasema santa nakuskiliza hapa,unavokua kimya una maanisha nini?nikasema bby niskilize akasema nakuskiliza ongea usinichanganye,nikasema mm nilikutana na Rodney iringa na ndie alienisaidia mm ktk kipindi chote hadi najifungua.d akasema Yule mwanaume uliekua unaniambia kuhusu yy kumbe ndo kakangu?nikasema ndio akasema santa kwa io kakangu kakutomba?nikakaa kimya najiuma uma akasema daaaaaa santa yn umetembea na mm na kakangu we mwanamke?nikasema sikujua mm kama rodney ni kakako na hukuwahi nitambulisha mm,na sio ww tu hiki kitu ni kigumu kwa wote bby,d akasema unasemaje?kwa hio leo umeenda onana na kakangu si ndio?umeongea nae si ndio?santa nakuuliza ww umeonana nae?nikasema d mbona hivo?mbona unanihukumu sana kama nimependa kuwa na nyie ndugu?mm nilikua sijui jamn alikua kama mwanaume mwingine yu kunitaka nikaona anastahili nikakubali, akasema ina maana ulikua unatembea na mtu hujui jina la babake?nikasema yy alikua anatumia jina la kati mm nilikua sijui jmn,d alionesha kukasirika sana mara akakaa kwenye sofa huku machozi yanamtoka akasema santa kwa nn ulivojua hukuniambia?na yy akawa kimya mnapanga nn?mnataka kuendelea kunizunguka? nikasema hatujapanga sisi wala hakuna kitu tumeongea, akasema una uhakika hakuna kitu,nikafkiria asije kua anajua nimeonana nae afu nikamficha bure ikawa makubwa,nikasema alinifata leo chuo nikaongea nae, d akasimama akasema nini?nikasema ndo ivo alinifata nae kuuliza nn kimetokea afu basi,d akasema kwa hio mkaonana bila mm kujua?unanizunguka santa?unanisaliti si ndio? nikasema hapana bby sio ivo nikaanza kumshika akasema usinishike santa kama mbali n Mimi sitaki maigio, sasa nijibu kitu kimoja tu,mimi na kakangu unamtaka nani?mana namjua Rodney hawezi kuacha kirahisi namjua sana hawezi kama kimya hivi hivi anapenda sana kunichallenge ,kabla hata sijajib Rodney akawa napiga simu,d alivoona simu yangu inaita akaninyang`anya akaangalia akaona imeandikwa Rod* akasema ooh naona star wako anakupigia sasa, subiri akapokea akasema bro najua kila kitu kati yako ww na mwanamke wangu,na ww umeshajua kila kitu naomba achana na mwanamke wangu bro,nashkuru kwa kumjali kipindi sijui alipo yeye na mwanangu lkn sa iv najua naomba mlichokua mnafanya kiishie hapa sawa usimpigie mwanamke wangu simu wala kuwa karibu nae bro unanijua tutagombna sanaa na u anijua vizuri bro,Rodney hakumjib kitu akakata simu,d akaondoka na simu yangu akaenda chumbn,niliwaza sana cha kufanya kumpenda nampenda sana Dylan baba ya mwanangu lkn sikutaka wagombane sabu wao ni ndugu pia namjua rodney ni mpole na mstarabu sana sikutaka aguswe,nikamfata chumbn d nikamwambia bby samahani naomba niskilize,akasema ongea nakuskia nikasema nakupenda wewe Dylan wangu hata iwaje ww ndio chaguo langu nakupenda sana mpnz wangu,ww ndio kila kitu kwangu na ww ndio unanifanya mm nijione n mwanamke nilokamilika mpnz,nakuomba nielewe baba mtoto wangu,sikujua kama rod n ndugu yako pia sijawahi tembea nae tokea nimekua na ww Dylan nakuchagua na nakupenda wewe mpnz wangu,unavonikasirikia unaniumiza sana moyo wangu,kwa vile hutaki kukubali ukweli wangu basi nitaondoka kwenye maisha yako,d hakujibu kitu,mm nikageuka nikaanza kufungua kabati naweka nguo kwenye begi d akanifata akanikumbatia kwa nyuma akasema unaenda wapi?unaenda wapi santa?mm ndo mme wako unataka uniache si ndio?unanitelekeza?unataka uende kqa kakangu afu mie nibaki kama fala nimepokonywa make na kakangu si ndio? Hakuna kwenda popote utabaki hapa na mimi, nikasema noo siwezi ishi na ww nakukumbusha kakako unanikasirikia najua nilikosea kutokusema mara tu nilivojua lkn nlikua naogopa lkn hunielewi akasema santa nakupenda sana nilikua naweweseka penzi lako muda mrefu sana na rodney anajua na anajua jina lako na anajua wapi nilikua nafundisha nashangaa kwa nn hajakujua ww ndio santa wangu,hilo liliniwazisha, ina maana inawezekana rodney alinijua? Mana nilimsimulia pia maisha yangu, lkn nikasema usimlaumu wakati kanisaidia d akasema kakusaidia vip akati alikua nakutia?huo ni msaada unafkiri?angekusaidia bila kukutia,naumia na nachukia kuona kakangu kamtia mke wangu,nikasema ndo uniache basi niache niende sasa, d akasema siwezi kukuacha nakupenda santa niko tyr kupigana na dunia yote ila siwezi kukuacha ww hata huyo kakangu pia nitapigana nae kila vita ila mimi kukuacha sahau,nikasema d wazazi wako wakijua kuhusu hili unafkiri watanipenda?d akasema mm nitakulinda mke wangu nitakulinda kwa lolote,kabla baya halijakupata ww nitahakikisha linanipata mm kwanza,nikamkumbatia huku nalia akasema usilie mke wangu,mm nimekubali kuyabeba yote,nikasema asante,siku io alinipikia na kuniogesha tukala mda wa kulala nilibebwa hadi chumbni nikatolewa gauni la kulalia nikanyonywa k nilitiwa vizuri sanaaa siku io tena kuliko siku zote,nilipewa raha mnoo nikazidi data na d,kesho yake akanipeleka chuo mahaba yamenoga wenyewe ,akaondoka hapo tumeongea kuwa anahamia dar kabisa nasafari ya nyumbn ipo pale pale tena anataka akatoe na mahali kabisa ibaki ndoa tu,nilishkuru sana lkn mtihani ukabaki kwa Rodney,nikaingia kwenye kipindi siku io nilikua busy nikatoka jiono,ile natoka nikakuta Rodney yupo ananisubiri nikasogea alipo,akasema anaomba tukaongee nikasema hapana nawahi akasema pliz kuna jambo muhimu sana tuongee kuhusu d nilivoskia ivo nikakubali,nikapanda kwenye gar nae hadi mliman city,tukafika samaki samaki tukakaa yy akaagiza kinywaj mm nikaagiza maji,nikasema ehee d kasemaje akasema d hataki niwe karibu na ww,nikasema sawa akasema santa unajua nakupenda sana,nikasema najua akasema naomba tuondoke twende ulaya tukaishi huko mda huo kanishika mikono,mm nikasema Rodney nisamehe siwezi fanya ivo,najua nakuumiza lkn siwezi kukuumiza zaidi mm nimeshafanya maamuzi,ulisema nichague kati yako na d,mm d nimetoka nae mbali na tuna mtoto na sio ivo tu moyo wangu…..kabla sijamaliza akaniwekea kidole mdomoni kuonesha nisiseme akasema usiseme unachotaka kusema santa pliz nikasema hapana naomba ujue mm Dylan ndio….kabla sijatamka Rodney akaanza ninyonya mate,namsukuma lkn wapi ameniganda…mara nikastuka mtu anapiga makofi ile kama anatushangilia anasema wow ..endeleeni naona mna act muvie,alikua ni Dylan….sijui itakuaje jmn,na busu lile na hasira za Dylan…na navompenda yn nimekwisha mm….
USIKOSEE
All Rights Reserved © | Simulizi TAMU