Mahaba ya Dhati (22) 💞❤️

Sehemu ya 22

Nikapiga simu kwa d akapokea mwanamke,akasema unasemaje ww?una jipya?si umepigiwa simu hutaki kupokea?sasa nini unataka? ndoa ishakushinda bibi ww fanya kuleta mtoto,sikujib chochote nikakata,baada ya muda nikampigia simu tena nikiamini atakua peke ake lkn alipokea Yule yule dada akasema ww mbona unamsumbua baba k wangu na hataki kuongea na ww?agu tupo busy tunakuzia si unajua mmeo anavopenda uchi? Niliumia nikasema nikasema naomba mpe simu nataka kuongea nae,Yule dada akacheka kwa dharau afu akasema unajidhaua ee haya akasema d mkeo huyu anataka kuongea na ww,nikamskia d anasema mke gani?

si amezila sa iv anataka nn?sitaki kuongea nae kwanza achana na io simu toa nguo unipe k yamoto ioo nienjoy mimi niliendelea kuksiliza huku machozi yakinimwagika,niliona kama ndoto vile yani Dylan huyu?niliyeona kama dunia ni ya mm na yy tu?mara nikaskia miguno wnaguna kimahaba mwanamke analia bby aaaasssss ingiza taratiib jmn aaassssss usiingize sna bby si unajua mm mjamzito na ww io kunwa sana uwiii bby d jmn… Alilia yule mwanamke niliumia nikaamua kurecord nikaweka simu pemben huku ipo hewani mm siskii ila narecord,walitiana wakamaliza nikakata simu huku moyo wangu ukiwa na maumivu makali sna,nilimpenda sana d na kumuamini nililia sanaa hadi nikavimba,leo hii d anatia mwanamke na mm naskia?ananiponda na mm naskia?niliumia sana nilikua naumia mno,

rod alirudi akakuta nimekaa nalia sana akasema nn shida tena utalia hivi mpaka lini santa?nikampa simu nikaweka yale mazungumzo,akayaskiliza akasema huyu dogo ,mshenzi sanaa Yule aisee,akanikumbatia niakasema rod kwa nn sio ww?kwa nn rod,rod akanikumbatia akasema santa nakupenda sana bby sanaaaaaa nakupend sana ,naomba usiwe na wasiwasi sawa santa akanikumbatia baada ya hapo akaanza niangalia usoni huku ananifuta machozi na mm nikamuangalia tuligongana macho tukaanza angaliana mm niliona rod kawa tofauti,mwanzo nilikua namuona kawaida sana lkn sa iv nikaanza kumuona kawa handsome zaidi pia anavutia japo kiukweli ni handsome zaidi tena kuliko hata d lkn nilikua naona d ndio zaidi,tulibaki tunaangalia na rod,

lkn rod akanisogelea nikajua anataka nibusu kiukweli nilihitaji faraja sna,nikajikuta nakua tyr nikafumba macho ishara ya kukubali kubusiwa lkn rod alinibusu kwenye paji la uso kisha akanikumbatia,tulibaki vile kwa muda mm nikiwa nalia sana na nafsi yangu najuta mnoo mimi jmn,nilistuka mtoto analia sana nikaenda mchukua nikampa nyonyo chaajabu mtoto alinyonya kidogo lkn akaendelea kulia nikaminya nyonyo nikagundua inatoa maziwa madogo sana yani kama matone nikamuhamishia titi lingine mambo yakawa vile vile yanatoka kidogo halafu yanakata,Rodney akasema nini shida nikasema sijui maziwa hayatoki akasema ngoja nimuandalie selelak fasta we tulia mbembeleze, 

akaenda akaandaa uji fasta akaleta nikampa mtoto akatulia nikajiuliza mbona maziwa hayatoki nikaanza kuyaminya lkn yalitoka kidogo tu lingine halitoki kabisa hadi lina uma hapo mtoto ana miezi 10 hiv,nikampigia dokta wangu simu akasema unamatatizo yoyote yanayo kusumbua?nikasema matatizo yanaweza sababisha dokta akasema ndio stress zikizidi na presha ikiwa juu inasababisha hivo,hapo tafuta njia mbadala mtoto awe anashiba na ww punguza sana mawazo ,nikasema sawa rodney akasema santa ebu acha mawazo jifkirie ww na watoto wako acha kumuwaza mpuuzi Yule kwenye vuzi zilizokomaa,nikasema rod naumia sabu nilimpenda sana sikutegemea hayo toka kwake ila acha nijitahidi kusahau Rod akasema snta uliwahi mpenda baba yako mazazi?nikasema ndio sana tena ,

akasema yupo wapi sa iv?nikasema alifariki akasema lkn bdo unaishi na kupemda trma si ndio?nikasema ndio akasema sasa Dylan ni nani hadi akuumize hivo?ebu acha mawazo nikasema sawa,nikapata wazo nikachukua simu nikampigia mama nikamuelekeza kila kitu bila kuficha mama akasema mwanangu pole sana ebu rudi kwanza mkajaribu kuyaweka sawa inawezekana amekasirika ww kutokuwepo nyumbna anaona umeonesha kiburi we rudi mtayamali,akanipa na ushauri ule wa ndoa ngumu sijui nini basi nikasema sawa mama,nikamuaga rod nikasema naomba aniitie uber niende rod akasema sawa lkn nilivotoka na uber Rodney alikua anatufata nyuma nyuma hadi tukafika,

nikaingia ndan rod akasema chochote kitakachoendelea nimjulishe pia akasema uwe makini usimjibu jibu atakupiga nikasema sawa,nilivofika nyumbn nikamkuta dada wa kazi nikauliza kama d yupo akasema hajarudi tokea ww umeondoka nikasema mwanangu je akasema yupo vizuri kaenda shule,basi nikaingia chumbn kwangu sijui nani alimwambia d nimerudi baada ya muda akarudi akaja hadi chumbn mm nilikua na mtoto namvalisha,d akaja moja kwa moja akaninyanyua akasema ehee ww ulikua wapi mke wa mtu siku zote hizi?nikasema d unaniumiza akasema nakuuliza ulikua wapi ww?unataka tushindane humu ndani kuna wanaume wawili si ndio?nikasema hapana sijasema tushindane,akasema kilichokufanya uondoke hapa ndani n nn?nikasema d ivi hujui au unanifanyia kusudi?ulionifanyia huyaoni?akasema nn cha ajabu nnimekufanyia?kwa hio ulitaka nisilee mwanangu?

mbona una roho mbaya ivi ww mwanamke?nikasema nimekuuliza mara ngap ulikataa akasema ningekuambia ukweli si ndo ungekufa ww?haya umejua kuna wanawake watatu wana mimba zangu na monica pia ana mimba yangu si unataka ukweli?ndo huo nikasema ivi unajiskia d?akasema si unataka ukweli haya niambie ulikua wapi?umemchukua mwanangu ukaenda kufanya umalaya nikasema d unaniumiza mm nilikua hotel,akasema yani umeacha nyumbn umeenda hotel ww kweli Malaya sana ww,ujue mm nilikupenda na kukupa heshima ya kukuoa unajua wanawake wangapi wananitaka mm ww,unajua wangapi wanatamani kuolewa na mimo?mm nina hela na ni handsome najua kukojoza wanawake kukuoa ww ndo unataka kunipanda kichwani?unanifatafata kwa watu?mwanamke mswahili mshamba ww sijapata ona,haya ongoza njia nipeleke hotel ulipokua mm nikasema d niache tafadhali mbna unanitesa iv?iv n ww kweli uliesema unanipenda ww ni ww kweli?

akasema bana ww unilete mahubiri hapa ww kilichokufanya uanze kunifata fata ni nn?nimekununulia nyumba ya nzuri kitu ambacho hukuwahi ota nimekusomesha unakula na kunywa n kunya bure unaniaibisha kwa watu ebu ongoza hotel hio bana, nikasema mm siendi popote niache yn umalaya ufanye ww uanze nisema mm?niache,akasema naona hunijui ww mshenzi akavua mkanda wake wa suruali akanivuta niwe mbali na. Mtoto akanza kunipiga nilipigwa kipigo cha mbwa koko hakuchagua usoni wala wapi nilipigwa hadi nikapoteza fahamu,nikastuka nipo hospital na dada wa kazi,nimeumia vibaya sana dada wa kazi akawa nalia tu nikamuliza niko wapi akasema jospitali dada, nikasema imekuaje?

yule dada akasema shemeji amekupiga sana ukazimia afu yy akaondoka mm nikaita jirani tukakuleta hapa,nililia snaaa nilijuta mnoo nilimchukia Dylan sanaa yoka Moyoni nilikaa wiki hospital ikaja bili natakiwa kulipa sina hata mia,nikachukua simu bahati nzuri dada wa kazi alikumbuka simu yangu nikaangalia nimtumie nani msg?nikaogopa kumtumia Rodney nikampigia dada silvia akasema pole mdogo wangu mm tena nipo morogoro kikazi nimehamia hapa nakuja huko sasa iv naenda panda basi nikasema sawa asante,nikiwa pale nimelala na dada wa kazi amekaa hata chakula cha maana hakuna maana nilimuagiza dada wa kazi akachukue kadi ya bnk akatoae hela akaambiwa kadi imefungiwa inaonesha d alinifungia kadi,nilipigia wasimamizi wa ndoa na washenga wakaja hospital wakaniona na dokta akawaambia hali yangu na nikawaambia kila kitu wakasema nikipona tutaongea,nikasema haya,siku hio nimepumzika nikahisi mtu ananigusa bega nikageuka kumuangalia alikua Rodney niliangua kilio cha kufiwa kile niliskia huzuni kuu kumuona mwanaume anipendae, yeye akasema pole santa pole sana,nikaona machozi yanamlenga lenga mm ndio nalia kabisa akasema nimeshalipa matibabu kadi ya bank hii hapa kama mtahitaji chochote ,

mm nakuja sasa ivi natoka,nikasema kadi hapana rod siwezi tumia pesa yako tafadhali umenisaidia sana sina wema mimi ni mjinga acha nife tu, akasema santa usiniuzi na wewe aliongea akiwa amekasirika,nikatulia tu,akatoka pale akiwa na hasira amekasirika sana,sikujua ameenda wapi akaja kurudi baadae kaumia mkono amefungwa klip bandage kwenye kiganja hafi juu karibu na kiungio cha kipepsi 😂nikasema ulikua wapi na mbona umeumia hivo?akasema nilikua kumfundisha Yule mshenzi adabu na kuheshimu wanawake,nikasema imekuaje akasema nimempa kipigo nae yupo hospital sa iv mshenzi kabisa na nikimuona tena nampiga yani mimi na yeye tulionana tu ni vita mshenzi sana,mm nikasema rod huoni kuwa mm nagombanisha nyie ndugu?rod akasema ndugu kitu gan mjinga Yule?

nikasema mm nitaonekana ndio sababu,rod akasema potelea mbali,kumbebda silvia ndie aliempigia simu rod bana hatimae nae akaja jioni wakawa wananihudumia, nilikaa pale hospital wiki mbili Rodney na da silvia wakiwa wauguzi,nikarudi nyumbn ksa Rodney maana d aliondoka na watoto wote,nikawapigia washenga na wasimamizi wa harusi kuwa nimepona wakasema kesho tuonane kwangu tukaongee,kesho yake niliwahi nikafika kikao kikaanza nilisimulia kila kitu na mwishoni nikasema nataka taraka yangu siwezi kuwa nae,d akaulizwa akaanza kulia tena machozi haswa afu akasema mm nampenda sana mke wangu hakuna mtu hajui kama mm nampenda mke wangu sana,

ila yeye anatembea na kakangu kabisa tumbo moja na ndo wanataka tuachane ili wakaishi pamoja abishe hapa mana nilimuliza mke wangu akanitukana sana na akaondoka akaenda kwa kakangu kaka nilipomwambia amuache mke wangu akanipiga sana hadi nikalazwa karatasi za kutibiwa mm hizi hapa na kama mnavoona usoni nimeumia,ivo nilipojua nikapata hasira kama binadamu nikampiga mke wangu lkn


mm nampenda na nimemsamehe nipo tyr kumrudisha nyumbn tulee watoto wetu mana nao hawapendi aliwatelekeza akaenda kwa mwanaume wake aliongea d huku analia kwa uchungu,nilishangaa nikazidi kujua mm nimeolewa na kichaa jmn ,…..je nn kiliendelea hapo?

USIKOSE

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!