MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ❤❤

MAPENZI NDANI YA GEREZA (17) ❤❤
Umri………………..18+

Asante kwa kufatilia story hii, tafadhali soma sehemu iliyopita ili ufurahie hii sehemu zaidi…..

ENDELEA……
Nikiwa bado kwenye mshangao ghafla Afande alinisogelea na kuanza kuninyonya kwenye mdomo wangu, nikiwa bado sijakaa sawa mkono wake aliupitisha chini na kuanza kunipiga dole. Nilijikuta nikianza kulegea mwenyewe na kitumbua changu kilianza kuloa, mkono mwingine wa Afande ulishika makalio yangu, aliyabinya binya na kunifanya nizidi kusisimka zaidi na nyege zilizidi kunipanda.
Nilianza kumpa ushirikiano Afande kwa kufungua mkanda wa suruali yake na kuutoa mtalimbo wake uliokuwa tayari umeshasimama huku tukiendelea kulana denda.
“Acheni mapenzi ya wazungu nyinyi, tianane haraka mda unazidi kwenda” Afande wa kike aliyekuwa akitutazama aliongea, aliona kama tunapoteza mda kwa kuanza kunyonyana kwani ata Asha pamoja na Afande Cheusi nao walikuwa bado hawajaanza kulana.

Basi baada ya kutuambia mambo yalianza. Afande alinivulisha na kwenda kunikalisha kwenye gunia la mahindi lililokuwa mle store, kiuno changu kilikuwa kwenye usawa kabisa wa kiuno cha Afande aliyekuwa bado amesimama. alinishika mapaja na kuniweka vizuri huku akijisogeza katikati ya mapaja yangu.
Moyo ulizidi kwenda mbio na nilihisi kuwa ndiyo nafanya mapenzi kwa mara ya kwanza.
Afande aliushika vizuri mtalimbo wake taratibu na kuuingiza taratibu kwenye tundu lenye thamani zaidi duniani.

Miili yetu ilianza kugongana na milio ilizidi kusikika mazingira hayo ya store. “Mme wangu aaaah hapohapo…” Asha naye alivyomjinga alianza kutoa masauti yake ya kimahaba yaani Asha bhana! utafikiri alikuwa anasikia raha peke yake tu!? Kuna mda nikimkumbuka huwa nabaki nacheka tu!.

Tuliendelea kufanya mapenzi na ndipo niliposhangaa kumuona Afande wa kike aliyekuwa akitutazama akivua nguo zake na kusogea tulipokuwa sisi, nahisi uvumilivu wa kuangalia ulimshinda na alitaka awe mshiriki kabisa.
Alinisogelea nakuanza kubinya chuchu zangu wakati huo mimi nikizidi kupelekewa moto na Afande.
“Afande mbona upo uchi tena?”
“Acha maswali ya kijinga Afande kwani mimi sina? hata mimi ninayo na ninataka unioneshe ufundi wako Afande” Afande wa kike alimwambia Afande aliyekuwa akiendelea kufanya mapenzi na mimi.

Chuchu zangu ziliendelea kushikwa na Afande wa kike huku mtalimbo wa Afande wa kiume ukiwa bado kwenye papuchi yangu. kuna ute uliokuwa ukiangukia kwenye gunia la mahindi nililokuwa nimekaa lakini hakuna aliyekuwa akijali zaidi ya kuendelea na burudani.
Afande aliuchomoa mpini wake kwenye kitumbua changu na kumgeukia Afande mwenzake wa kike.
“Zamu yako na wewe”
“Sawa Afande” Afande wa kike aliongea na kusogea mbele yangu huku nikiwa bado nimepanua mapaja yangu.

Aliinamisha kichwa chake na kuanza kuchezea kiharage changu kwa kutumia ulimi wake.
mkono wake aliupeleka kwa nyuma na kuishika bakora ya Afande na kuichomeka kwenye jicho lake la nyuma.
Afande hakutaka kuuliza kwanini bakora asiiweke kwenye kitumbua na aiweke kwenye mlango wa nyuma!?.
Aliendelea kujipimia utamu na sauti za makalio ya Afande wa kike zilizidi kusikika, Wakati huo Afande aliendelea kunyonya kiharage changu na kukisugua, upande wa Asha naye aliendelea kukolezwa utamu na Afande Cheusi.

Ushirikiano tuliokuwa nayo kama ingetokea mtu ametufuma asingeamini kama mimi na Asha niwafungwa na tupo kwenye mambo ya kidunia na Asikari wanaotulinda karibu kila siku gerezani.
Tukiwa tunaendelea kupeana raha king’ora upande wa nje kilisikika.
“Lazima kutakuwa na tatizo Afande!” Afande aliyekuwa akimtia afande aliyekuwa akininyonya aliongea na kuichomoa bakora yake kwenye jicho la nyuma la Afande mwenzake na kuirudisha vizuri ndani ya suruali yake.
Afande wa kike naye alifata nguo zake nakuanza kuvaa, hata Afande Cheusi aliyekuwa na Asha naye alianza kuvaa kama wenzake, mimi na Asha tu ndiyo tulikuwa tukiwatazama.
“Mnashangaa nini nyinyi vaeni haraka!” Afande Cheusi alituambia hivyo tulianza kuvaa na baada ya kumaliza maafande wa kiume waliondoka na kutuacha kwenye mikono ya Afande wa kike aliyetuambia tuanze kufanya usafi ndani ya store ya chakula kwa kuzuga.

Tulianza kufanya usafi lakini mda huohuo tulifikishiwa taarifa kuwa tunahitajika wafungwa wote haraka sana sehemu ya mkutano. Tulienda na kuwakuta wafungwa wenzetu wakiwa tayari mameshakusanyika. Tulianza kuitwa namba tunazozitumia mfungwa mmoja baada ya mwingine, kulikuwa na jambo zito lililokuwa limetokea na ndiyo maana tulihitajika haraka sehemu ya mkutano….

Kuna mfungwa mwenzetu mmoja iliyekuwa katoroka. Karibu kila mfungwa alikuwa kwenye mshangao! taarifa zilithibitishwa baada ya kugundulika kuwa mfungwa mmoja hayupo. haikujulikana ilikuwaje mpaka mfungwa akatoroka na alipitia wapi!? kwani uzio uliokuwepo ilikuwa ngumu sana kwa mfungwa kuluka fensi ya gerezani!, Angeanzaje kuluka kutokana na urefu wa fensi uliokuwepo!? labda kama alitumia njia nyingine kutoroka ila sio kuluka!

Basi wafungwa wote tulirudishwa selo na maafande walikuwa wakali ghafla, hawakutaka kuwa na mazoea na sisi kabisa yaani hata wale maafande tuliokuwa tukifanya nao mapenzi mda mfupi uliopita hawakutaka kutuchekea kabisa mimi pamoja Asha…….ITAENDELEA.

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!