
SEHEMU YA 01
😂😂😂😂Em kwanza nicheke mieee , hivi mnakumbuka zile issue za yule baba wa kule sijui wapi wapii mi hata sijui bwana anatokea wapiii yulee wa 400+ video 😜😜😜
  Siku enyewe nilikuwa saloon bwana nimeenda kuosha osha nywele hivi nisuke kilimanjaro yangu ya buku 🤗🤗🤗
 Wamama wa saloon hapo wakaanza kupiga story sijui kuna mbaba video zake zimevuja anafanya mapenzi na wanawake 400 heee🙄🙄 nikashtukaa aaweeh hii tena mbona mpyaa , Sikutaka kuchangia mada mana mie mpole mpolee 😅😅najifanya sina hatia ila nikawa nameza maneno na mie nirudi mtaani kuwahadithia shost zangu
Mana habari zilikuwa bado za motooooo😜😜😜wakawa wanasema kuna huyo baba sijui wa nchi gani huko, ni kiongozi mkubwa tu serikalini , amekutwa na video 400+ za ngono kwenye Laptop yake akifanya mapenzi na wanawake tofauti tofauti
Embu Imagine yaan wanawake 400 halafu hizo video zotee ni zake yeye ila wanawake ndio tofauti tofauti wanafika 400 tena na kupita we huogopiii
Nakuuliza we huogopii??😅😅😅Mi niliogopaa mwili ukanisisimkaa,
Ndio maana mie sitaki kuwa na bwana akaa bora nitunze kidude changu😜😜 tena nilichoka baada ya kusikia et ni mume wa mtu mmh🙄🙄mi sitaki kuolewa bwana😫😫😫, Umbea nikaumeza wotee .
Nilipo toka hapo sasa mimi ndio kinara mtaani story zote ninazo nawakarisha watu chumvi kama zoteee 😂😂😂
  Basi mie nina Tambo langu bwana , yaan nikisema tambo namaanisha lisiimu kubwaa la Tecno lakini mie ndio natambia nalo si langu
Hata siwekagi bundle nikupigiwa tu nakupokea kwanza niweke bundle nina hela miee ya kuchezea😅😅😅
Sasa kwakua mie mtaani nishaonekana star mana kila mtu alikuwa ananifata kuniuliza kama ni kweli , nikimuhadithia huyu nae anaenda kuhadithia wenzie hukoo wakimuuliza alipotoa anasema kwangu nao wanakuja kuthibitisha ,Â
 Â
 Ilibidi  nimuibie jero mama ili niweke bundle la jero ili namie nipate habari kamili mana nilisikia wale wa mama wanasema huko mtandaoni kumechafuka kila sehemu ni habari za huyo baba tu na video zake zimesambaa kila kona
Nikaweka zangu ki bundle cha jero tu( 500Tsh) safari ya kwanza ni mjini FACEBOOK 😅😅😅Niingie insta kufanya nini yaan mie insta jamani naonaga kumepoooza hata hakunogi sijui ndio mshamba hata sijui ila kule kwa mr Fb aloooo🙌🙌🙌Â
Huko ndio naonaga umbea full full, sasa nikaingia ili niongeze materia ya bwana mianne plus😅😅😅 ili niwaadithie vizuri mtaani nikiwa na ushahidi wa kuona mwenyewe
Nilikuwa napita kila page nasomaaaa tena kwa umakini hatarii , kila page kila page , kila taarifa inayo muhusu mr mianne plus nilikuwa siiachi inipiteee
 Sasa nikapita kwenye page moja hivi nikakutana na post inasema et bwana mianne plus mbona anapenda kushika chuchu hii inamaana gani??
 Nikazama kwenye Comments ili nipate data namie , nikikaa kusimulia nitoe udaku mzitoo😅😅😅😅
  Kuna Comments zingine zinasema anatema tema mate mie ananikera mwengine anasema hata mimi sipendi linavyotema mate basi tuuu
 Namie roho ya kutaka kuona video sasa si ndio ikanivamiaaa🙄🙄🙄
All Rights Reserved © | Simulizi TAMU