SHEM MI NATAKA (13)

SEHEMU YA 13
Sadiki alinyanyua mkono na kumuwekea begani halafu akamuongelesha “Tafadhali usilie kwa ajili yangu mimi nashindwa kufanya hivyo kwa sababu nakuheshimu wewe na kaka” alisema

Husna aliinua uso na kumgeukia wakawa wanatazamana kwa ukaribu tena. Husna hakuwa na aibu hata chembe, alikuwa na nia madhubuti alimtazama kwa sekunde chache halafu akataka kurudisha kichwa ila Sadiki alimshika kichwa na kukizungusha ili waendelee kutazamana
“Umenisikia shem?” alisema Sadiki.

Husna hakuongea tena alimtazama Sadiki machoni, na Sadiki alizitazama lips za shemejiwe zinamtetemeka. Alijikuta anamtamani taratibu, shemeji alikuwa mzuri ila alikosa matunzo plus msongo wa mawazo

Sadiki alimsogezea mdomo taratiiiibu hadi ikafikiana kugusana, hakika Husna hakuwa na kipingamizi hata chembe, aliupokea kwa mikono miwili huku akijikuta ananyanyua mikono yote miwili na kutaka kumkumbatia shemeji yake

Sadiki alianza kusimama, Husna naye akasimama ili midomo isiachiane, wakikumbatiana kwa nguvu sana mikono miwili ya Husna ilikuwa imemzunguka shingoni Sadiki na Sadiki alishika kiuno cha shemeji yake kwa mikono miwili huku akimpapasa taratiiibu…..UKAWA MWANZO WA UKARIBU MKUBWA
Husna alisikia kusisimka mwili kila alipokuwa akikutana na ulimi wa Sadiki ukiwa na matemate

“mwaah mwaah mwaah mwaah” zilikuwa sauti za ndimi huku miili ikiwatetemeka wote wawili ny….zimewapanda mpaka wanajisahau.

Nyonyo kubwa za Husna ambazo hazikuwahi kunyonywa na mtoto mchanga zilikuwa zinatua kifuani mwa Sadiki taratibu na alifanikiwa kumuangusha sadiki kitandani na kumpanda juu

Sadiki hakusita hata kidogo kuhakikisha shemeji yake anapata furaha anayoitaka ya busu, cha kushangaza sasa, shemeji baada ya kunogewa alinyanyua dera lake na kutaka kulivua kupitia juu kichwani

“Kwanini unavua”

“Shem bhaan” alisema Husna

“Subiri” alisema Sadiki na kujitahidi kumzungusha chini halafu yeye ndo akakaa juu yake, katikati ya mapaja
“Ulisema unataka busu si ndio?” aliuliza Sadiki

“Ndio shem ila….”

“Aah ah, nimeshakupa busu mi naondoka” alisema Sadiki huku akitoka na kuondoka

“Wewe….shem” alisema Husna “Bado sijaridhika nahitaji busu bado…..aah” alisema binti alikuwa ameshapagawa anajifanya anataka busu lakini kiukweli mwili wake kwa muda ule ulikuwa unahitaji kitu zaidi ya busu

Sadiki alienda akaandaa pa kulala zake, hata hivyo, Husna alivua nguo maana alikuwa ameshalowa katika nguo zake za ndani halafu akajifunga kitenge kifuani na kutoka akaelekea bafuni

Sadiki aliingia ndani ya shuka lake, anawaza itakuwaje lakini kwa kifupi alikuwa amemuacha shemeji yake katika wakati mgumu sana, shemeji alikuwa bafuni anajaribu kujiridhisha lakini akili inamuambia hamna haja ya kujiridhisha mwenyewe wakati Sadiki yupo ndani na wapo peke yao

Alioga vizuri na kuelekea chumbani akavaa taiti nzito ya rangi ya bluu bahari halafu akashusha neti na kujifunika kitandani

Alisikia akiwashwa yaani anahitaji kukunwa kwa namna yoyote, alijipapasa maziwa alifanya chochote maana alikuwa bado yuko katika hali ngumu sana

“Inabidi niende kwa namna yoyote ile” alisema mtoto wa kike kwa sauti ndogo huku akiuma ukucha wake wa kidole kidogo cha mkono wa kuume

Akiwa anazidi kuwaza alishuhudia yule mtu ambaye ana tabia ya kumchungulia usiku akija ikabidi ajilaze na kuanza kukoroma kwa kuigiza.

Yule mtu alimulika kule chumbani na tochi kwa sekunde kama 10 halafu alipomaliza alihamia dirisha lingine kama kawaida

Binti alihisi ni mumewe anamtuma aje kuchunguza, hivyo alishuka kitandani taratiibu na kumchungulia kwa mbali akamuona akianza kuondoka, ule mwendo kama anaujua
“Huyu sio Vidax kweli?” alijiuliza “Nahisi ni yeye, lazima ametumwa na mume wangu……sasa kwa taarifa yake nampa mdogo wake maana yeye hataki” aliwaza.

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

error: Content is protected !!