
LOML | Love Of My Life (108)


ππππ (π³πππ ππ ππ ππππ) β£οΈ:108
Alinyamaza, nilimtazama na kusema βbinti yangu mzuri, sikufanyii wewe, wala sitaki unichungulie. Mama akiwa chumbani tulia sawa mwanangu. Naomba uwe hujaona chochote.β
Binti yangu aliniambia tu kwa upole huku machozi yakimtoka βsijaona chochote mama.β
Kiukweli sijui kama alielewa kitu chochote, nakumbuka tu namna anapendana na baba yake. Kwa aibu nilitoka chumbani, nikarudi tena kula maisha.
Baada ya mwezi ungeniona tena na mwingine, hata nikakutana na mwanaume ambaye sasa kwake mapenzi ndiyo kama nyumbani kwake. Huyu akifika kwangu hata mlangoni.
Kwenye makochi sebuleni, jikoni na mimi nilikuwa najisahau kama nina binti ndani. Sikuwahi kujua kabisa kuwa binti yangu ananifuatilia, na kile kitu nafanya anaenda kufanya na watoto wengine huko shule.
Sikuwahi kujua mpaka ile siku niliyoenda shule Baada ya kupokea wito.Mwalimu alinisalimia kwa upendo na kuniambia kitendo cha mwanangu kumwambia mtoto mwingine wa kiume alale juu yake, na haitoshi alimngβata mwenzake uume wake akijua ndiyo ana mnyonya.
Kama mzazi nilishtuka hata nilitaka kumpiga nikisema βtabia mbaya sana hii, ni tabia ya wapi hii wewe mtoto unanidhalilisha namna hii mama haki umejifunza wapi?eenh utaniambia umejifunza wapi?β
Mwalimu aliniambia βmama Gabriella tulia tafadhali. Sikia Gabriella anasema wewe ndiyo una mafundiso haya nyumbani. Kama mwalimu imenishtua sana.β
Hata mimi nilishtuka, na hata mwalimu akamuuliza tena swali βmtoto mzuri, uliona wapi haya mambo?β
Gabriella alinitazama na kusema βkwa mama, naona kwa mama akifanya.β
Niliinamisha kichwa changu kwa aibu. Kisha mwalimu alishusha pumzi na kusema βnenda kacheze nje halafu nitakuita tena sawa eenh, mimi naongea na mama yako.β
Mpaka mwanangu anatoka mimi namtazama. BaΕΔ± niliongea mengi na mwalimu zaidi ni kutokubali kufanya mapenzi sehemu ya kuonekana namna hii na mwisho mtoto na yeye anataka kufanya.