LOML | Love Of My Life (137)

๐‹๐Ž๐Œ๐‹ (๐‘ณ๐’๐’—๐’† ๐’๐’‡ ๐’Ž๐’š ๐’๐’Š๐’‡๐’†) โฃ๏ธ:137
Nilimtazama na kusema โ€œsijaongea na dokta unajua, hata sielewi.โ€
Alitabasamu na kusema โ€œpole sana, get well soon, Ricky.โ€

Niliposikia kizungu hivyo nilitabasamu lakini sasa kila mtu cha get well soon anajua. Nilimchokoza kidogo na kusema โ€œthanks so very much Pina, thanks!!โ€
Alitabasamu na kunishika mkono wangu, aliniuliza โ€œfor What Ricky?โ€
Nilimshangaa na kumuuliza โ€œunajua lugha hii?โ€

Alitabasamu kidogo na alisema โ€œmuone, watu wengi hufikiria watu maskini hatujasoma. Mimi nimesoma ingawa sio sana ila ninajua mengi kuhusu afya. Nilisoma diploma ya clinical Officer, nilifanya kazi kidogo na baadaye nikaacha.โ€

Nilishangaa nikisema โ€œwaooooo!!, waooooo!! Kumbe nipo na dokta hapa.โ€
Alicheka kidogo akisema โ€œacha kelele mgonjwa.โ€

Nilitabasamu na wakati huo Willy alikuwa anaingia. Willy alisema โ€œumepona sasa hata sauti inatoka, au Pina ana dawa tofauti.โ€

Nilitamani kucheka ila sikuwa naweza, nilitabasamu nikitazama Pina anachela na kusema โ€œna bora umesema ukweli maana ungenidanganya?โ€

Willy alicheka na kusema โ€œmimi ni msema kweli. Sasa naomba sogea kidogo nimlishe.โ€
Pina alitabasamu na kusema โ€œnaomba niandalie vizuri, nitakusaidia kwakuwa mimi nipo.โ€

Willy alishangaa, kisha Pina alisema โ€œnaweza, hakuna kitu siwezi kufanya. Naomba.โ€
Basi Willy aliandaa Supu, na kisha mimi alinikalisha vizuri na kisha nilianza kunyweshwa Supu.

Usawa uleule alianzia mwanzo wakati anatafuta mdomo wanngu ndiyo alinipa. Alinilisha kwa upendo sana, nilikuwa natabasamu tu, hata Willy alikuwa anaona hilo. Nilikuwa nafurahia kulishwa na Pina sana.

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

UKO HOME NIJE FULL

JOGGING MASTER FULL