
LOML | Love Of My Life (145)


ππππ (π³πππ ππ ππ ππππ) β£οΈ:145
Familia haikuwa imenipokea kwa furaha kabisa naona kwenye sura zao. Mama huyu alinitazama na kusema βIsack kwa hiyo huyu ndiyo unataka kumuoa.β
Isack alinitazama na kusema βndiyo mama, anaitwa Pina ni mwanamke mzuri sana kuwahi kutokea kwenye maisha yangu.β
Huyu mama na binti yake walitazamana na Kisha huyu mama akasema βkwahiyo huyu ndiyo atakuwa mama wa kambo wa mjukuu wangu, una Hakika atakuwa mama wa mambo mzuri kwa mjukuu wangu?β
Nilishtuka hata Isack alishtuka na kunitazama. Halafu akaita βbibi I!!, bibiiii!! Njoo bibi yangu.β
Alikuja mtoto wa kiume ambaye mimi huwa naona mpenzi ana Mpost na Kisha huyu mama alisema βbibi yangu,huyo hapo ndiyo mama yako wa kambo sasa, msalimie.β
Mimi hapo nilikuwa nashangaa hata mama huyu alisema βau hajakwambia ana mtoto?. Wewe Isack inakuaje hujasema una mtoto. Kama ulikuwa hujui huyu ndiyo mjukuu wangu wa kwanza kwa Isack. Na wewe ndiyo utakuwa mama wa kambo utaweza binti?β
Unajua kama ugomvi, mimi hali tayari nimechukia kwanini mpenzi wangu hakuniambia na tayari nilimuuliza akasema ni wa kaka yake. Kiukweli alinikera Sanaa. Ila nitafanyaje, ilinibidi niigize pale nikisema βHujambo mtoto mzuri?β
Mtoto huyu alinitazama tu, na Kisha mama mkwe alisema βKaribu sana, hapa ndiyo nyumbani kwa Isack. Mimi ni mama yake. Karibuni sana. Mimi naenda zangu kupumzika.β
Nilishangaa sana, Nilidhani labda tulihitaji kufahamiana zaidi. Na Kisha mama huyu alisema βNaenda kupumzika msiniamshe jamani.β