LOML | Love Of My Life (179)

๐‹๐Ž๐Œ๐‹ (๐‘ณ๐’๐’—๐’† ๐’๐’‡ ๐’Ž๐’š ๐’๐’Š๐’‡๐’†) โฃ๏ธ:179
Nilimtazama na kutabasamu nikisema โ€œwewe ndiyo maombi yangu ambayo nilimuomba Mungu. Pina mimi nakupenda sana na nitafanya lolote ujue kuwa nakupenda sana. Ninakupenda mno.โ€
Pina alitabasamu na kusema โ€œchakula, kinapoa sasa. Tule kwanza.โ€

Nilitabasamu na kusema โ€œ unataka kuniambia ulienda nyumbani kupika?โ€
Alitabasamu na kusema โ€œnilisikia muda ule mke wa Willy ndiyo kapika nikaona sio mbaya nimsaidie.โ€

Nilimtazama na kusema โ€œungesema basi nikupe pesa ukanunue chakula.โ€
Alinitazama na kusema โ€œkumbe hospitali wanagawa pesa kwa wagonjwa mbona sijui nianze kuumwa pia.โ€

Nilicheka sana nikisema โ€œunajua wewe huna akili?โ€
Alicheka na kusema โ€œupo sahihi, lakini wewe huna kabisa haya sasa nisaidie niweke vizuri nisimwage.โ€

Nilipokea mfuko na kumsaidia kupakua chakula na kuweka kwa sahani. Zilikuwa sahani za plastiki ila nilifurahia sana. Ndizi hizi na utumbo vimeandaliwa kwa upendo sana.

Nilikuwa nahamu ya kula kweli. Tulisali, na kisha alinilisha kijiko kimoja nikasema โ€œni bibi sio wewe, huwezi kupika ndizi tamu hivi.โ€
Alicheka na kusema โ€œunafanya masihara ernh, mimi najua kupika sana acha masihara. Bibi yangu anajua lakinj unajua vya kurithi vinazidi.โ€

Nilisema nikitabasamu โ€œacha kuongea naomba chakula.โ€
Alitabasamu akisema โ€œumekipenda eemh, naona umekipenda sana.โ€
Nilitafuna nikisema โ€œsanaaaa, unajua naona kama nimepona hivi?โ€

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

CHAGUO LA MOYO FULL

BINTI MDUNGUAJI FULL

SHEM MI NATAKA FULL

KATOTO KA FORM ONE ๐Ÿ”ž FULL