
LOML | Love Of My Life (181)


๐๐๐๐ (๐ณ๐๐๐ ๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐) โฃ๏ธ:181
Shemeji yangu alitabasamu na kusema โpole sana shemeji yangu.โ
Willy alicheka na kusema โshemeji yako hapo roho kwatu alijua sijui nashinda wapi usiku kapambana aje haya sasa mgonjwa huyu hapa.โ
Tulicheka tu, kisha nilimtambulisha Pina, mke wa Willy hanaga maneno yeye ni heshima tu. Tulikuwa tunacheka pale hata baba aliingia. Walimsalimia na kisha alisema โMwanangu, unaweza kunifuata mara moja?โ
Tulitazamana, kisha baba alisema โPina binti yangu unaweza kunifuata?โ
Nilitabasamu na kusema โnilikuambia mimi, sasa si umeona.โ
Pina aliinuka, baba yangy alimshika mkono na huku Willy akiniuliza โwanaenda wapi tena?โ
Nilitabasamu na kusema โwapi kama sio kwa dokta wa macho. Si unamjua baba Ricky?โ
Willy alisema โwee usinambie, mzee wako ana upendo sana lakini na hapo tena roho ya kijana wake. Maskini Pina haamini pale.โ
Nilitabasamu tu, huku shemeji akisema โnafurahi kuona unaendelea vizuri shemeji yangu.โ
Nilitabasamu na kusema โnashukuru kwa upendo na chakula. Ubarikiwe sana.โ
Alitabasamu tu, na kisha alisema โna leo nimebeba ila nishawahiwa.โ
Tukacheka huku Willy akisema โtutakula wenyewe kwanza mimi mwenyewe nina njaa.โ
Mke wake alisema โbaba huna aibu wewe cha mgonjwa ujue.โ
Basi tulicheka sana.
Muda ulizidi kwenda baba na Pina hawakurudi hata Willy na mke wake waliaga na nikabaki peke yangu. Baada ya muda walirudi, Pina hakuonekana kuwa na furaha. Nikauliza โbaba kuna nini tena?โ
Baba aliniambia โusijali mwanangu, dokta wamemchek, kadri anavyozidi kukaa na hali hii bila kutibiwa anazidi kuharibikiwa. Lakini wameshauri twende India. Na nimeona ni kitu kizuri.