LOML | Love Of My Life (195)

π‹πŽπŒπ‹ (𝑳𝒐𝒗𝒆 𝒐𝒇 π’Žπ’š π’π’Šπ’‡π’†) ❣️:195
Pina sasa alivyo na makusudi, alisema kwa madekoβ€œbaby please, unajua bado haupo ok. Fanya kwaajili yangu. Usigombane na looser mpenzi utamaliza nguvu zako bure. Relax ataondoka mwenyewe.

Eti Gabby kwani hujui kukataliwa mke, nilikuambia umepoteza ina maana hukunielewa. Please ondoka bila kumuudhi mpenzi wangu.”

Gabby aliinuka na kufoka β€œunapata wapi nguvu ya kuongea hivyo ndani ya nyumba yangu kwa mume wangu. Kama hujui huyu bado ni mume wangu. Ni hasira tu Ila haibadilishi ni mume wangu.”

Pina alitabasamu wakati mimi Nina hasira, nilisema β€œkelele Gabby, sauti yako inanikera. Beba mizigo yako na uondoke hapa. Ondoka ni mambo mengi ya kufanya tafadhali.”

Pina kwa upole alinisogelea, na alinishika mdomo akisema β€œbaby, usipige kelele please utaumwa tena.”
Halafu alinipa midomo yake, mbele ya Gabby na mama babuu alianza kunibusu tena kwa upole kabisa. Ushawahi kuwa na hasira halafu ukatulizwa na Busu. Pina hakuweza hata kutazama hasΔ±ra alianza kuondoka bila hata begi zake huku analia.

Pina kwani ana acha, ndiyo kwanza ananishika vizuri. Huyu binti kipofu ananifanya nachanganyikiwa mimi, mambo yake yananipa raha anatembea na hisia zangu zote, na mimi nikamshika vizuri kama sio mgonjwa vile, hasira zimepoa na kuanza kumbusu vizuri.

🫣🫣🫣🫣sasa mbona kama mimi ndiyo Pina mwenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ au basiiiiiiii wapiii Team GabbyπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚uwiiii Afu Vipendwa acheni kuniita Gabby mimi simtakiiiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈsa itakuaje jamaniii eeneh nyieeee nyieeee amkeeeeeniiii amkeeeeniiii amkeniiiiiiiiiiiiiiii amkeniiiiiiiiiii Penziiiiiiii Mungu fundiiii dongo kalifinyanga πŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†Gabbyyyyyyyy, baba naye eti anasaga unga tenaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

UKO HOME NIJE FULL

BIOLOGY TEACHER FULL

SHEMEJI UMECHOMEKA KWELI? FULL