LOML | Love Of My Life (201)

๐‹๐Ž๐Œ๐‹ (๐‘ณ๐’๐’—๐’† ๐’๐’‡ ๐’Ž๐’š ๐’๐’Š๐’‡๐’†) โฃ๏ธ:201
Alitabasamu na kusema โ€œkwa upande wangu mimi ni historia tu ya maisha yangu. Bibi yangu analipenda sana kanisa lile ingawa kila mahali kuna kanisa. Baada ya kuhamia kwake nilijikuta nakwenda na bibi kanisani Mara nyingi sana.

Kanisani pake palianza kuwa nyumbani kwangu. Nikilia, nikiwaza wapi nimekosea, nikiumia, nikifanya lolote basi kanisa lile ndiyo kimbilio langu.

Hata nikazoea kabisa. Nikiwa pale ninakuwa na furaha sana. Nafurahia kฤฑla kitu ni kama huwa naongea na Mungu kabisa. Unajua kinacho nivutia zaidi?โ€

Nilitabasamu na kusema โ€œeenh Nipe siri.โ€
Alitabasamu na kusema โ€œni lile grotto pale. Pana Siri zangu nyingi sana pale. Napenda kila kitu.โ€

Nilitabasamu tu na kusema โ€œunakuwa mzuri sana ukifurahi unajua.โ€
Alinitazama akitabasamu na kusema โ€œunanifanya nafurahia sana Ricky.โ€

Nilitabasamu na kusema โ€œkaribu sana.โ€
Akaniuliza kwa upole โ€œna wewe Unaendeleaje?โ€
Nilishusha pumzi na kusema โ€œnaendelea vizuri sana, lakini nachoka sana hapa nilipo natamani sana kujilaza.โ€

Alitabasamu na kusema โ€œni vizuri ukajilaza ili mwili ukae vizuri na hutakiwi kujitesa kwa mawazo hata kidogo. Kunywa dawa na vipi ushakula?โ€

Nilitikisa kichwa na kusema โ€œbado kipenzi, lakini Nina hakika sio muda nitakula.Tutakula wote.โ€

Alitabasamu tu, na wakati huo mama Babuu anatoka na vitu akisema โ€œBoss unaweza kwend tayari.โ€
NIlimshika mkono Pina na kusema โ€œtunaenda wote?โ€

Alitabasamu na kusema โ€œbila Shaka.โ€
BaลŸฤฑ kWa upendo tuliongozana mpaka chumbani.Tulipofika, alisimama katikati ya chumba akisema โ€œwaoooo!!, pananukia vizuri sana.โ€

Share kwa ndugu na marafiki

WhatsApp
Facebook
Twitter

Chagua kipande kinachofuata

KIAPO CHA MASIKINI FULL

CONNECTION YA BALTASAR FULL

UTAMU WA JAMILA FULL

BIOLOGY TEACHER FULL